Hajielwi ulofa na ubahiki mbaya sana
Mtoto anasoma na watoto wa viongozi wakubwa serikalini, bungeni na Mahakama na WA wa wanyabiashara wakubwa na wanasiasa wakubwa nk wanaoajiri na kutoa fursa
Baadaye ndio hao huanza kupiga yowe kuwa ohh sababu mtoto Hana connection
Hapa Kama una hela peleka Norway,Sweden, Finland,uk and usa Kama unataka uhakika wa connection Mana namuona jamaa mmoja my Ethiopia Ana date na binti wa Obama Kama kweli ndicho utafutacho.
Ila hapa hapa bongo sioni tofauti ishu kubwa unasukumwa na EGO yaani kununua sigara ya Bei mbaya hakukufanyi uwe tajiri Ni Ile low self esteem and low self image unadhani kuwa ukimiliki iPhone na wewe utakuwa matawi Ila uhalisia nafsi yako inakuambia.
Kuna mdau akasema labda Kama umempeleka ambazo anasoma na watt wa mabalozi wa nje za above $10k kwa mwaka hapo sawa Ila below sijui 17M tzs bado unapigwa.
So mwanao anaenda kutafuta elimu ama konekesheni,yaani Kama Ni konekesheni sio lazima ahangaike huko anaweza akawa mpambepambe na Kama ana sura nzuri mbona atapewa u dc, u rc ama unasemaje??
Kikubwa kila mtu afanye kulingana na uwezo wake Mana watu hatulingani uwezo na sio ukose Raha kutumia kibatani mbele ya mwenzako mwenye smartphone.
Mfano unaweza ukawa na chombo Cha usafiri wenzako Wana magari.
Kuteseka mtu anajitesa mwenyewe what I know to live a happy life is accepting reality,and not trying to control uncontrollable,
Don't do comparison with others since this will steal your happiness and inner peace,
Do what your you're capable of na sio kulazimisha uwezo nje ya your young modulus.
Pia tusipangiane maisha kila mtu huwa ana k yake ambayo humsimumua automatically bila ya kuambiwa ama kushawishiwa.
Accept differences hata ulaya wapo wanaopanga mstari kupokea hela ya chakula Cha msaada ama coupon.
We're living in our own mind and not in big houses and bungalows or in our luxury cars