Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Sukuma gang, mie nilikuwa mmoja wa watu waliowashambulia sana na kumsifia sana mama SSH.
Lakini hii ya kuanza kuwashtaki watu kuwa ni magaidi imenifanya nitafakari na kuanza kurudi nyuma!
Anachotakiwa kufahamu ni kuwa magaidi wapo ndani ya chama chake ccm na anaishi nao. Time will tell.
tena ukizingatia SSH ni Muislamu na neno ugaidi ni silaha maalum ulimwenguni inayotumiwa na mabeberu dhidi ya waislamu [emoji23]mama yupo upande wa mabeberu ...no body in no bady out .kazi ya mama ni moja tu kumsujudia mzungu
 
Aisee! Kumbe kweli “Sukuma Gang” aka “MATAGA” ni real persons? Nilifikiri ni acronyms za mizaha ya kisiasa tu. Thanks Msemajiukweli for the insight.

Anyways, JPM alipambanua kikubwa maadui wa nje (kina Mbowe + mabeberu) na wa ndani (Msoga Gang?, I presume) na kudhamiria kusambaratisha wote ili kujisafishia njia yake kuelekea kwenye ufalme (uzima?) wa milele! Akatuachia “MATAGA/Sukuma Gang” as a byproduct.

Wakuu sahauni kitu nafuu kwa yeyote. Ajidhaniye amesimama aangalie asianguke, 1 Wakorintho 10:12. Siasa za Tz ndio zimeshatiwa sumu kuvu hivyo. Hakutakuwa na raha tena si kwa MATAGA wala makamanda. It’s a no joy situation. Hizi ni enzi za tribal/family matters, thanks to JPM. Mlioamua kuendelea kumuomboleza, endeleeni kumlilia. Lakini muwe na uhakika Mama SSH atakuwa anashusha mkong’oto kwa zamu: leo kwa makamanda, kesho kwa MATAGA hadi akili ziwakae sawa.

Ndio matunda ya kukataa katiba makini, strong institutions na utawala wa sheria in favor of entrenched personality cults and shtl politics!
magufuli legacy awezani nayo zaidi hata jiumiza mwenyewe kwa chuki yake kwenda kuchomwa sindano ya covid hakidhani anamuumiza magufuli na team yake kumbeanajiumiza mwenyewe
 
Kwa wale wakongwe wa Jamiiforums wananifahamu kuwa mimi ni mmoja wa watu tulikuwa nyuma ya aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano, Rais Magufuli tokea kwenye mchakato wa kumpata mgombea Urais ndani ya CCM mpaka alipoitwa na Mwenyezi Mungu. Rais Magufuli amenifundisha mengi sana mazuri na mabaya lakini kikubwa zaidi ameacha mijadala ambayo haitaisha sio nchini pekee bali hata nchi za nje.

Kifo cha Rais Magufuli kama vifo vya wapendwa kwanza kilianza kwa kutia mshangao, baadaye kuhudhunisha na mwishoni kuukubali ukweli na kuangalia ya mbele. Mbele niliyoiangalia ni utawala ujao baada ya Rais Magufuli huku nikijua vizuri siasa za nchi yetu zilivyo.

Baada ya Rais Samia kuingia madarakani na kuanza kupanga ''safu yake'' ya uongozi huku akitoa maagizo ya hapa na pale. Wale tulikuwa tunaitwa MATAGA wakati wa utawala wa Rais Magufuli tukaongezewa jina jingine na kuanza pia kuitwa ''sukuma gang''.

Kwa wasiozijua siasa za nchi hii walituona kama ''laughing stock'' huku wakimhimiza Rais Samia kuhakikisha ''anatufagia'' katika serikali yake na tukilalamika tunaambiwa tuende Chato bila wao kujua kitakachowakuta pia mbele ya safari yao ya kisiasa!

Miezi minne baada ya kifo cha Rais Magufuli wale waliokuwa wanatucheka na kutukejeli kwa sasa wanalia na hata yale majina ''waliotubatiza'' kwa sasa wameyasahau na yamepotea kwa haraka sana!

Waliokuwa wanatucheka na kutukejeli hawakujua kama ''atatumaliza sisi'' basi watafuata wao! Wahenga walisema, kulia kupokezana!

Sisi kwa sasa hatucheki wala kukejeli bali tunashangaa na kuuangalia huu mchezo wa kisiasa mpaka dakika za mwisho!

Kwa sasa najiuliza, kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''MATAGA'' na ''sukuma gang''?

Siasa za nchi hii zinakwenda kwa haraka sana!
Mama anacheza Kama Pele,alianza akawapa pipi kwa kumtia nguvuni Sabaya,wakashangilia,alipopiga tikitaka hatari majibu mazuri atatupa yule mwenyekiti wa kudumu.
 
Kwa wale wakongwe wa Jamiiforums wananifahamu kuwa mimi ni mmoja wa watu tulikuwa nyuma ya aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano, Rais Magufuli tokea kwenye mchakato wa kumpata mgombea Urais ndani ya CCM mpaka alipoitwa na Mwenyezi Mungu. Rais Magufuli amenifundisha mengi sana mazuri na mabaya lakini kikubwa zaidi ameacha mijadala ambayo haitaisha sio nchini pekee bali hata nchi za nje.

Kifo cha Rais Magufuli kama vifo vya wapendwa kwanza kilianza kwa kutia mshangao, baadaye kuhudhunisha na mwishoni kuukubali ukweli na kuangalia ya mbele. Mbele niliyoiangalia ni utawala ujao baada ya Rais Magufuli huku nikijua vizuri siasa za nchi yetu zilivyo.

Baada ya Rais Samia kuingia madarakani na kuanza kupanga ''safu yake'' ya uongozi huku akitoa maagizo ya hapa na pale. Wale tulikuwa tunaitwa MATAGA wakati wa utawala wa Rais Magufuli tukaongezewa jina jingine na kuanza pia kuitwa ''sukuma gang''.

Kwa wasiozijua siasa za nchi hii walituona kama ''laughing stock'' huku wakimhimiza Rais Samia kuhakikisha ''anatufagia'' katika serikali yake na tukilalamika tunaambiwa tuende Chato bila wao kujua kitakachowakuta pia mbele ya safari yao ya kisiasa!

Miezi minne baada ya kifo cha Rais Magufuli wale waliokuwa wanatucheka na kutukejeli kwa sasa wanalia na hata yale majina ''waliotubatiza'' kwa sasa wameyasahau na yamepotea kwa haraka sana!

Waliokuwa wanatucheka na kutukejeli hawakujua kama ''atatumaliza sisi'' basi watafuata wao! Wahenga walisema, kulia kupokezana!

Sisi kwa sasa hatucheki wala kukejeli bali tunashangaa na kuuangalia huu mchezo wa kisiasa mpaka dakika za mwisho!

Kwa sasa najiuliza, kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''MATAGA'' na ''sukuma gang''?

Siasa za nchi hii zinakwenda kwa haraka sana!
Ukiona mwenzio ananyolewa zako weka maji kujiandaa, Hata hivyo wengi walioumia na kifo Cha anko ni wananchi wa hali ya chini , hata hivyo wanasiasa waliokuwa wanapingana na mjomba walifulahi Sana akiwemo Lema pale aliponukuliwa akimjibu waziri Mkuu was Uingereza kwenye Twitter kuwa hajahuzunika na kifo Cha magufuli na wengi bila kujua kuwa hata baadhi ya wapiga kura wao walikuwa kwenye majonzi makubwa ambapo Chadema na vyama vingine waliungana na baadhi ya wanaccm (wapinga Magu) kufurahia kifo Cha huyu jamaa,, Lakini wenye akili tulijua kuwa Chadema lazma watakuja kuungana na hawa wanyonge siku moja, hata dakika 45 bado kuisha tayari washaungana, Achana na kitu inaitwa maslahi mapana ya kuendelea kushika dola.
 
Sukuma gang, mie nilikuwa mmoja wa watu waliowashambulia sana na kumsifia sana mama SSH.
Lakini hii ya kuanza kuwashtaki watu kuwa ni magaidi imenifanya nitafakari na kuanza kurudi nyuma!
Anachotakiwa kufahamu ni kuwa magaidi wapo ndani ya chama chake ccm na anaishi nao. Time will tell.
Kulia kupokezana!
 
Mkuu nakuunga mkono, nami bado nauchungulia mchezo kwa mbali. Ni ukweli kuwa timu moja inatumia $ na ingine CITIZENS, na mchezo ndio unaanza. Mtanange una matokeo ya aina tatu; timu moja KUSHINDA, au SARE au MPIRA KUVUJIKA. Bado nauangalia.
Tuendelee kuangalia huu mchezo wa kisiasa mpaka mwisho!
 
Umesahau ya Lowasa?
Niikuja kugundua wana shida sana

Sijui huwa wanaweka akili pembeni[emoji848]
JamiiForums934375959.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Kumbe kweli “Sukuma Gang” aka “MATAGA” ni real persons? Nilifikiri ni acronyms za mizaha ya kisiasa tu. Thanks Msemajiukweli for the insight.

Anyways, JPM alipambanua kikubwa maadui wa nje (kina Mbowe + mabeberu) na wa ndani (Msoga Gang?, I presume) na kudhamiria kusambaratisha wote ili kujisafishia njia yake kuelekea kwenye ufalme (uzima?) wa milele! Akatuachia “MATAGA/Sukuma Gang” as a byproduct.

Wakuu sahauni kitu nafuu kwa yeyote. Ajidhaniye amesimama aangalie asianguke, 1 Wakorintho 10:12. Siasa za Tz ndio zimeshatiwa sumu kuvu hivyo. Hakutakuwa na raha tena si kwa MATAGA wala makamanda. It’s a no joy situation. Hizi ni enzi za tribal/family matters, thanks to JPM. Mlioamua kuendelea kumuomboleza, endeleeni kumlilia. Lakini muwe na uhakika Mama SSH atakuwa anashusha mkong’oto kwa zamu: leo kwa makamanda, kesho kwa MATAGA hadi akili ziwakae sawa.

Ndio matunda ya kukataa katiba makini, strong institutions na utawala wa sheria in favor of entrenched personality cults and shtl politics!
Yaani katiba ''makini'' uipate kwenye nchi za Afrika ambazo zinategemea misaada ili sijiendeshe? Are you kidding me?

Katiba kwa nchi za ulimwengu wa tatu niza kunufaisha wanasiasa na sio wananchi kwa ujumla wake. Hata Katiba ya South Afrika inayodaiwa ni katiba ''nzuri'' inanufaisha wanasiasa na sio wananchi kwa ujumla. Ghana vivyo hivyo.

Hoja yako ni kama mzaha fulani!
 
Sikuwahi kujuta kuitwa Sukuma gang bali jina hilo lilinikumbusha umuhimu wa ujasiri ninaposimamia kile ninachokifahamu. Yanayoendelea yanastaajabisha lakini hakuna namna, kulia kupokezana. Wacha wanyolewe kwa chupa bila maji.
Roho ya Hayati Dr JPM ipate Rehema kwa Mungu na apumzike kwa Amani. Amina.
Mimi haikuwahi hata kusumbua akili yangu kwa sababu haikuwa nguvu ya hoja bali ilikuwa ni kejeli na matusi. Kejeli na matusi hayajawahi kushinda nguvu ya hoja ndio maana kwa sasa husikii tena wakiita MATAGA au Sukuma gang.
 
Huko Space kwenyewe main speakers ni wale wale tunaojua misimamo yao sijui kwanini hawatoi mwaliko kwa wenye mawazo tofauti.

Hawapendi challenge ndio maana hao ndio mabingwa wa kutembeza blocks [emoji724] . Imagine Kigwangalla ameomba ashiriki lakini hawamkaribishi! Zamani Maccm hata kujiunga JF yalikuwa yanaogopa lakini siku hizi wanawakimbia. Wawaalike akina January Makamba, Nape n.k maana mada zipo wazi na ni mjadala tu.
Enzi za Slaa ccm walikuwa wanakimbia mijadala ila siku hizi chadema ndio inakimbia mijadala!

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
mama anaonyesha kisasi chake juu yamagufuli kwa kupeleka tako lake lichomwe sindano ya covid hii mother ni kituko kwa kweli[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Dah! Maneno yako ni makali sana!

Punguza ukali wa maneno!
 
Back
Top Bottom