Zaidi ya hapo ni ubatili, ongezea na kuishi nao Kwa akili
Maisha ndo haya haya wakitaka kutushusha chini basi tunatakiwa tuwaonyeshe tunaweza kufanya mara elfu ya wao😂😂😂😂 yaan wewe huwezekaniki aisee
Tigo ni tunu mume akikuomba mtunukuWanaomba mpaka Tigo mkuu....nashauri utii uwe na kiasi
Alimanisha vile vile labda.Sasa alimaanisha nini mleta mada, hem nifafanulie Maki.
Shauri ako😂😂😂😂😂😂aisee
Mimi nilizani una japo miaka mitano..Ilitakiwa nikae muda gani mkuu? Au baada ya kuharibu ndo ningekuja?
Anadekaa kihisia au kitapeli🤣🤣🤣 maana kuna njonjo zinaamsha hisia za huba ila kuna zile feki hadi unaona hiki nini sasa.Mkuu nna demu jamani,demu anadeka yule khaaa yaani mpaka kero sasa.
Vizuri kabisa kumbe unajiheshimuSiwez huo ushetani
✌️Imenipasa nijue kwanza ndo niweze kuifikia hiyo mitano na forever mkuu
Hayo mambo hayajadiliwi wazi namna hii Maki, yani sio rahisi kuyasema...kwanza mi nna aibu🤭Alimanisha vile vile labda.
Michezo ya Wakubwa[emoji1787]
Kudeka kumezidi? Raha sana kudekewaMkuu nna demu jamani,demu anadeka yule khaaa yaani mpaka kero sasa.