Jibu ni rahisi sana ...
Bank zote zipo kwenye majengo na hakuna jengo lisilo na choo, tatizo ni kwamba vyoo vilivyopo sio kwa ajili ya public bali staffs. The same kwa biashara nyingine zote, vyoo vya umma vinapatikana nje na huduma ni ya kulipia, ukikamatika sana sana sana si vibaya ukaanzia huko ndio uingie kupata huduma otherwise, kama ni dharura sana then jaribu kuwasiliana na Meneja huduma kwa wateja, naamini atakusaidia.
Haiwezekani kuweka choo kwenye kila ''frame'' ya duka ama biashara, mwisho wapo watakaotaka pia wawekewe hotel kisha na vitanda then wengine watataka vyote hivyo viwemo pia kwenye saloon, retails shop, wakala, daladala, taxi mpaka na bodaboda
(Ni mtazamo binafsi)