Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Uchumi wa Africa hausimamiwi na mabepari, hizo ni conspiracies tu.Umesah
umesahau pointi moja muhimu sana. Uchumi wa Afrika unasimamiwa na mabepari. Nchi ikienda speed kimaendeleo, itapigwa tukio ili kuipunguza kasi.
Hii ndiyo sababu kubwa ya umaskini wa nchi zetu.
Makampuni makubwa kama ya madini yanavyotenda Africa ndivyo yanavyotenda kote duniani yakipata hiyo nafasi. Tofauti ni kwamba nchi nyingine wana taasisi imara za kudhibiti mambo kama ukwepaji kodi.
Hakuna nchi ya mabepari inayolazimisha kununua V8 kwa viongozi wenu huku mkishindwa kuwapa watu huduma muhimu za miondombinu n.k, hakuna nchi ya mabepari inayowalazimisha kuwa na sera mbovu zinazozuia ukuaji wa mitaji na biashara kwa raia wenu, hakuna nchi za mabepari zinazowalazimisha muibiane kura na kuharibu uchaguzi,