Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Asante sana hii historia sijawahi kuisikia, kila siku tunajifunza vitu vipya

Historia kama hizo huwezi kuzipata kwa wanakondoo, sana sana wao akili zao zimejikita waarabu makatili, mashetani walitesa babu zetu na kuwahasi 🤣🤣🤣 mtu mzima na akili zake timamu lakini bado anafikiriaga huo upumbafu tu
 
Ukitaka kufahamu dini ni upuuzi, angalia mada husika then angalia comments.

Watu wamegeuza mada kua Ukristo Vs Uislam, badala ya huyo mwanamke anaedhalilishwa!
 
Wewe hata mwarabu akikwambia Umpanulie utampanulia...
 
Yaani nyinyi munapita nje wao wako ghorofani wakasikia munaongea kiswahili?

Hii tumbaku ya leo kwa kweli imekolea!!!!!
Sio wakasikia mkuu walituona watu weusi wakabahatisha kutuita kwa kiswahili ndio tukawasikia. Huzijui gorofa za familia uarabun ni ndogo sana mtu anaongea unamsikia. Na tulikuwa mkoan sio mjin sehem mojainaitwa al alain kusin mwa Dubai hata hivyo ckulazimish kuamin
 
Nimekaa na kufanya biashara nchi za kiarabu karibu miaka 10 nawajuatabia zao nje ndan so Mi sio wa kuhadithiwa chief nakuelezea experience ya maisha yangu nchi za uarabun
 
Your browser is not able to display this video.
 
SAUDI ARABIA HAWAFUNGI MBWA NI HARAMU HAIRUHUSIWI MSIJARIBU KUPIGA PICHA ZA UCHAFU NJE YA SAUDI ARABIA HALAFU UKAISINGIZIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…