Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Kuna Mhudhuri humu kwa jina la Sangudi, kiunagaubaga ameandika sehemu....Taratibu wataelewa ni nini maana ya 'Uongozi' ni nini maana ya 'Ujasiri' ni nini maana ya 'Uzalendo' ...kiufupi, Ni nani hasa aliyewaletea heshima Watanzania na Waafrika kwa Ujumla katika kuchanganua na kufanya yale yanayowafaa!

-isitoshe, tumeona na kusikia jinsi nchi mbali mbali hapa Afrika na huko Ulaya wakifanya maamuzi ambayo yalikuwa yakionekana kama yanaweza kuleta mfaragano aidha baina ya nchi au watu wake. Mfano mpya ni Pale nchi ya Denmark kwa sasa kuelekeza fedha zinazotumiwa kwenye sherehe, kuelekezwa kwenye miradi yenye Chanya. Hiyo ni #MAGULIFICATION of Denmark.

mic drop.

Makamba anajua hapo alipo ni, na , zilikuwa nguvu za Hayati Raisi J.P.M katika uelewa wake wa kujali na kuongeza nguvu za Vijana katika kujenga Nchi. kwani wao ndio Nguvu ya kesho.

Aluta Continua.
 
Lakini ssh amesema wazi kuwa ujasiri na maamuzi ya awamu ya tano chini ya magufuli,

Na shangwe nyingi sana.

R.I.P magufuli
Watu ni walalamishi kinoma..

SSH kampa heshima yake kabisa kwamba JPM alisema kivyovyote lazima ujenzi uanze na akapongeza uthubutu wake.

Hawa washamba wanataka nini cha ziada kifanyike?
 
Nimeona twitter Lema nae anamponda Makamba kutowaalika PM na Makamu wa Rais kwenye hiyo shughuli, kama hii ni kweli, naona Makamba sasa anaonekana kama mtoto wa mama anayedekezwa sana.
 

Watanzania wangekuwa wanajua yeye ni nani angepora uchaguzi? Ukiishi kwa hujuma hata ukifa unalipwa hujuma.
 
Nimeona twitter Lema nae anamponda Makamba kutowaalika PM na Makamu wa Rais kwenye hiyo shughuli, kama hii ni kweli, naona Makamba sasa anaonekana kama mtoto wa mama anayedekezwa sana.
Itakua kweli , huyu jamaa Kwa Sasa ni mtoto pendwa .

Alafu ana ujanja ujanja Fulani ivi ambao Kwa Sisi akili kubwa, tunamuona mjinga.


Anamtanguliza Samia mbele, yeye anakua nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…