Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
HAPO ME NDO NAPOCHOKA. KWANIN WAZUIA CHADEMA WAKAT WENGNE WAMEFANYA ____THIS IS NOT DEMOCRACY
 
Andiko lako ni la kipumbavu
nikuhakikishie tu,
upende, usipende. Jeshi la polisi mkoa wa mbeya na sehemu nyingine nchini, halitamfumbia macho, wala kumuonea aibu muhalifu yeyote anaekusudia kufanya uhalifu na kusababisha uvunjifu wa amani na usumbufu kwa wananchi, atashughulikiwa vilivyo na kukabiliwa bila huruma 🐒

hiyo kiburi itaisha tu
 
nikuhakikishie tu,
upende, usipende. Jeshi la polisi mkoa wa mbeya na sehemu nyingine nchini, halitamfumbia macho, wala kumuonea aibu muhalifu yeyote anaekusudia kufanya uhalifu na kusababisha uvunjifu wa amani na usumbufu kwa wananchi, atashughulikiwa vilivyo na kukabiliwa bila huruma 🐒

hiyo kiburi itaisha tu
Jiwe alikuja na ujinga kama huo na akafa kibwege sana
 
Hii Nchi watu wafikirie plan B. Plan A imeshindikana. Hakuna R nne Wala 5. Hakuna namna hii Nchi itakuja kuwa ya haki. Watawala wanajua hakuna nguvu ya Umma Wala chochote kinachoweza kuwatisha. Uchaguzi wanaandaa wenyewe, Tume ya uchaguzi wanaunda wenyewe,idadi ya kura wanajichagulia wenyewe, wanajitangaza wenyewe. Polisi iko chini yao, ni suala tu la kuamua lini wamkamate Nani, wampoteze nani, wampige risasi nani kwa wakati gn.
Matumaini kuwa haki itakuja kutolewa katika sahani ya dhahabu kutoka kwa watu waliolewa mamlaka km hawa ni ujinga
 
Jiwe alikuja na ujinga kama huo na akafa kibwege sana
kama inakusaidia ongeza bidii kukariri tu,

lakini ile muhimu zaidi ni kujizuia na kujitenga na uhalifu wa aina yoyote kwasabb hapata kua na kumuonea mtu haya wala huruma katika kudhibiti na kukabili uhalifu 🐒
 
kama inakusaidia ongeza bidii kukariri tu,

lakini ile muhimu zaidi ni kujizuia na kujitenga na uhalifu wa aina yoyote kwasabb hapata kua na kumuonea mtu haya wala huruma katika kudhibiti na kukabili uhalifu 🐒
Hoja zako ni za kijinga mno! Chadema ina miaka 30 unaweza kuweka ushahidi wa Uhalifu wowote wa chama hiki unaoujua?
 
Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?
Jambo la kwanza kabisa ni kuung'oa mzizi kunako anzia upumbavu huo.

Mimi naomba tu kujuwa, kwa nini waTanzania wasistushwe kwa wingi wao na ujinga wa namna hii?

Kunatakiwa kufanyike kitu gani ndipo waTanzania wajue kuwa nchi yao ina hali mbaya sana kiutawala?
 
kama inakusaidia ongeza bidii kukariri tu,

lakini ile muhimu zaidi ni kujizuia na kujitenga na uhalifu wa aina yoyote kwasabb hapata kua na kumuonea mtu haya wala huruma katika kudhibiti na kukabili uhalifu 🐒
Hoja zako ni za kijinga mno! Chadema ina miaka 30 unaweza kuweka ushahidi wa Uhalifu wowote wa chama hiki unaoujua?
 
Jambo la kwanza kabisa ni kuung'oa mzizi kunako anzia upumbavu huo.

Mimi naomba tu kujuwa, kwa nini waTanzania wasistushwe kwa wingi wao na ujinga wa namna hii?

Kunatakiwa kufanyike kitu gani ndipo waTanzania wajue kuwa nchi yao ina hali mbaya sana kiutawala?
Mbeya inaweza kuwa chachu ya jambo hili nje ya uchaguzi
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Policcm.
 

Attachments

  • 5793447-d05126d2cf760a954dec3168c92d63a7.mp4
    8 MB
Mbeya inaweza kuwa chachu ya jambo hili nje ya uchaguzi
Mtu yeyote ambaye bado anaamini kuwa chaguzi hizi zinazokuja karibuni zitakuwa tofauti na zile nyingine zote zilizokwisha pita; huu hapa ni mfano mzuri sana wa kumpa jibu.
Kwa hiyo, ninakubaliana na maneno yako hapo juu, kwamba Mbeya iwe ndiyo iwe chachu ya mwanzo kuachana na ujinga.
 
Hoja zako ni za kijinga mno! Chadema ina miaka 30 unaweza kuweka ushahidi wa Uhalifu wowote wa chama hiki unaoujua?
hata hiyo mihemko kwenye kuambiwa ukweli, ikiwa inakusaidia ongeza juhudi zaidi ufaidike...

Jeshi la polisi nchini mpaka sasa limeshadhibiti genge la wahalifu walikukusudia kuleta fujo, na bado linaendelea na doria maeneo mbalimbali ili kulinda amani na usalama wa watu, biashara na makazi yao....

naendelea kukusihi wew na wananchi wengine kujiepusha na magenge ya uhalifu popote nchini ili kuepuka usumbufu na athari mbalimbali zinaweza kuwaletea madhara 🐒
 
kama inakusaidia ongeza bidii kukariri tu,

lakini ile muhimu zaidi ni kujizuia na kujitenga na uhalifu wa aina yoyote kwasabb hapata kua na kumuonea mtu haya wala huruma katika kudhibiti na kukabili uhalifu 🐒
"...uhalifu..." unajulikana ulipo.
Pamoja na kujitoa akili kama ilivyo kawaida yako; hatimae utajuwa maana ya "uhalifu" ni kitu gani. Vuta subira kidogo.
 
hata hiyo mihemko kwenye kuambiwa ukweli, ikiwa inakusaidia ongeza juhudi zaidi ufaidike...

Jeshi la polisi nchini mpaka sasa limeshadhibiti genge la wahalifu walikukusudia kuleta fujo, na bado linaendelea na doria maeneo mbalimbali ili kulinda amani na usalama wa watu, biashara na makazi yao....

naendelea kukusihi wew na wananchi wengine kujiepusha na magenge ya uhalifu popote nchini ili kuepuka usumbufu na athari mbalimbali zinaweza kuwaletea madhara 🐒
Umedanganywa kijinga sana!
 
Back
Top Bottom