Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Taja waziri mweusi huko China au Middle East??..
Sio issue hiyo. Unaweza kunitajia waziri mweusi huko Ujerumani, uswis, Denmark, Hungary, urusi, Japan, Argentina, nk? Usiangalie China na uarabuni tu ukakengeuka.

Marekani watu weusi waliingia kitambo sana, tena wazungu si asili yao huko. Ufaransa walikuwa ba policy yao inaitwa assimilation. Halafu angalia Afrika.... Kuna waarabu wengi tu wamezaliana na blacks. Hata Chinese na wahindi vilevile.

Acha inferiority na kutukuza wazungu. Kwanza wazungu ndio wana roho mbaya kuliko race zote huwezi amini.
 
Sio issue hiyo. Unaweza kunitajia waziri mweusi huko Ujerumani, uswis, Denmark, Hungary, urusi, Japan, Argentina, nk? Usiangalie China na uarabuni tu ukakengeuka.

Marekani watu weusi waliingia kitambo sana, tena wazungu si asili yao huko. Ufaransa walikuwa ba policy yao inaitwa assimilation. Halafu angalia Afrika.... Kuna waarabu wengi tu wamezaliana na blacks. Hata Chinese na wahindi vilevile.

Acha inferiority na kutukuza wazungu. Kwanza wazungu ndio wana roho mbaya kuliko race zote huwezi amini.
Mzungu (America na Europe) ndio wanaofanya dunia kuwa pahala salama zaidi pa kuishi..
 
Sio issue hiyo. Unaweza kunitajia waziri mweusi huko Ujerumani, uswis, Denmark, Hungary, urusi, Japan, Argentina, nk? Usiangalie China na uarabuni tu ukakengeuka.

Marekani watu weusi waliingia kitambo sana, tena wazungu si asili yao huko. Ufaransa walikuwa ba policy yao inaitwa assimilation. Halafu angalia Afrika.... Kuna waarabu wengi tu wamezaliana na blacks. Hata Chinese na wahindi vilevile.

Acha inferiority na kutukuza wazungu. Kwanza wazungu ndio wana roho mbaya kuliko race zote huwezi amini.
Soma hiyo >>>> https://www.france24.com/en/africa/...f-sub-saharan-african-migrants-amid-crackdown
 
Sio issue hiyo. Unaweza kunitajia waziri mweusi huko Ujerumani, uswis, Denmark, Hungary, urusi, Japan, Argentina, nk? Usiangalie China na uarabuni tu ukakengeuka.

Marekani watu weusi waliingia kitambo sana, tena wazungu si asili yao huko. Ufaransa walikuwa ba policy yao inaitwa assimilation. Halafu angalia Afrika.... Kuna waarabu wengi tu wamezaliana na blacks. Hata Chinese na wahindi vilevile.

Acha inferiority na kutukuza wazungu. Kwanza wazungu ndio wana roho mbaya kuliko race zote huwezi amini.
Ninaomba unitajie Chinese au Arab aliyeenda kuchukua mtoto nchini Haiti baada ya yale maafa ya mwaka 2010..
 
Wako wakipata majanga nani anayewaadapt.

Hizo ni dalili za umasikini, tulipaswa kupambana kuhakikisha tukipata shida tunaweza kujisaidia wenyewe.
Kaa karibu na wazungu upate maendeleo. Ukombozi mlianza kuupigia kelele more than 50 years ago, ila mpaka leo mmefanya nini mkuu?? Kumuua Mzee Ally Kibao kikatili, ndio mmefanikiwa au sio??..
 
Halafu wa kisha wa Asili wanawabdilisha na jinsia kabisa wanaume wanakuwa wanawake.

Hakuna Taifa Duniani ambalo limechukua watu weusi, likawafanyia asimmiliation na kutengeneza jamii ya watu weusi Wenye hela zaidi kuliko Waarabu.

Oman na Saudia kuna Watu weusi ambao hawana njaa wala hawahitaji kuwa adopted ili wawe relevant.

Ni Arabuni pekee utakuta viongozi weusi Wanaongoza bila kuwa mafisadi na kuongeza nchi zenye matrilioni ya utajiri.
Baba Mwajei haupo kijiwe cha gahawa acha kamba
 
Nenda Marekani ukawaone akina Serena na Venus Williams ndio uje uandike tena huu upuuzi wako..
Then why mtu mweusi Tajiri awe anapokezana msaudia na Dangote? Weusi Wa Saudia wana hela karibia wote wana contribution kubwa kwenye Uchumi ni MA CEO wa makampuni yao na wanashika nafasi kubwa kubwa , ila weusi USA wenye hela wachache wengi wamejaa jela na sehemu za watu masikini that's a fact.
 
Kwa nini watu weusi tunajiona races nyingine zina wajibu wa kutusaidia? Uzae wewe halafu uulize ni kwa nini watu hawa-adopt watoto wako. Afrika ina raslimali nyingi sana na badala ya kulialia kutaka misaada ilibidi tufanye kazi kwa bidii.
Wewe huna akili, una uhakika kuwa waafrika hawafanyi kazi kwa bidii? una uhakika kuwa afrika ndio bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote? Una uhakika rasilimali za afrika zinaweza kuwaondolea umaskini waafrika? hivi korea kusini na japan zina rasilimali kuizidi afrika? je tuko sawa nao kiuchumi? fikiri nje ya box ndugu usikariri
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICA.

~ SIPENDI SIASA ~
Ni uamuzi tu hatuwadai chochote. Sisi wenyewe bado wahindi waliozaliwa hapa tunawaita magabachori bashe mpaka leo anaitwa msomali halafu unataka mwafrika awe kiongozi kwa wachina na waarabu.
Ni nchi za ulaya na marekani zinazokubali hayo. Hata hapa tz ni vigumu umkute mwarabu tena aliyehamia yuko jeshini.
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICA.

~ SIPENDI SIASA ~
Ila nyie watu wapumbavu sana.

Ni laana mimi kuzaliwa katika race hii sometimes huwa nafikiri hivyo maana wamejaa watu wajinga wajinga tu.
 
Back
Top Bottom