johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwamba anawanyima usingizi
Mbowe alone Ni kama ccm wote walio hai+waliokufa
Mbowe ni kibakaNijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Umemaliza kaziMwamba anawanyima usingizi
Mbowe alone Ni kama ccm wote walio hai+waliokufa
Mtu kaanza kumiliki Benz mwaka 1982 utadhani ni mwenzio! The guy is smart aiseeeee yaani bongo nzima walikua wawili tu, yeye na Nyerere halafu kuna mbwa kama Sabaya anaropokaMwamba anawanyima usingizi
Mbowe alone Ni kama ccm wote walio hai+waliokufa
Tokea lini ulishakuwa na akili timamu.Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Mbowe ni kibaka
Kamanda mbwakachoka!Tokea lini ulishakuwa na akili timamu.
Kibaka ni babakoMbowe ni kibaka
Mbowe ni kiboko ya maccm na hakuna anayeweza kumkwaza kwa sasa.Mbona kuna watu umewaacha
Mwendazake
Clouds media
Wewe mwenyewe
Mataga
UVCCM
Covid 19
.......
Kwa kiufupi sana Mbowe hana njaa na hajawahi kuwa na njaa.
Na hii ndio principle wanatumia nchi za wenzetu kuwapata viongozi.
Elimu uliyosoma isipokusaidia haina tofauti na gari Ya fire inayokuja bila Maji Wakati nyumba inateketea na moto
Keeping moving Mwamba Mbowe
Mtu kaanza kumiliki Benz mwaka 1982 utadhani ni mwenzio! The guy is smart aiseeeee yaani bongo nzima walikua wawili tu, yeye na Nyerere halafu kuna mbwa kama Sabaya anaropoka
Maana yani mpaka leo choo ni mtihani , hawa ni viongozi au ni njaa zimejaa ofisini.Mbowe ni kiboko ya maccm na hakuna anayeweza kumkwaza kwa sasa.
Hawa watu hawana kinyaaa kabisaMbona takataka Sabaya mnalitaja bila sababu .
Ya Freeman AikaeliHiyo Benzi ilikuwa inamilikiwa na freeman au ilikuwa inamilikiwa na mbowe??? Ufafanuzi please!