Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hata kulitaja hilo jina Sabaya ni kumpaisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kulitaja hilo jina Sabaya ni kumpaisha
Very sure.Mwamba anawanyima usingizi
Mbowe alone Ni kama ccm wote walio hai+waliokufa
Alafu mbowe wa watu hana hata time nao masikiti ya munguNijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
UKIFUATILIA MAKALA YA HISTORIA YAKE INAYOENDELEA KWENYE GAZETI LA MWANANCHI, FREEMAN AIKAEL MBOWE MWENYEWE AMEELEZEA KWAMBA HIYO BENZ ALIAGIZA YEYE NA NYERERE ALIMSAIDIA KULITOA BANDARINI.Hiyo Benzi ilikuwa inamilikiwa na freeman au ilikuwa inamilikiwa na mbowe??? Ufafanuzi please!
Mti wenye Matunda siku zote hupigwa Mawe waache hao Wapumbavu wajifurahishe Mbowe ni ShujaaNijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Kibaka keshanyooka mkuuMbowe ni kibaka
Kwa unavyomchukia Mbowe hii post yako ni unafique mtupu JoNijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Nani kamuandama Mbowe? Kasema kafanya Nini, au umeota anaandamwa?Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Nyumbu kasikia Mbowe kajuwa ni Freeman Mbowe. Mbowe ni jina la ukoo hata baba Yake anaitwa kwa jina Hilo Mbowe.Hiyo Benzi ilikuwa inamilikiwa na freeman au ilikuwa inamilikiwa na mbowe??? Ufafanuzi please!
Mbowe atakua mwenyekiti mpka pale atakapoona ametosheka maana wanachama wengi wako na akili kama zako.Mwamba anawanyima usingizi
Mbowe alone Ni kama ccm wote walio hai+waliokufa
Magufuli ndio muhasisi wa siasa za kuchafuana na kuuanaSiasa haiitaji fitna imepitwa na wakati muasisi wake mwenyewe ameshapata malipo yake. Watu hawasomi nyakati,subiri soon Mbowe anaenda kuwa boss wao
Kama ni kibaka ndio aongelewe Kila mahali!! kwanini musimupuze?? jaribu kuleta hoja yenye mashiko, usilete vihoja!!Mbowe ni kibaka
Kona zipi? Ngapi? mjinga, mwenye uwezo mdogo wa kufikiri mmoja na muuaji , mtekaji, mmoja ndio kila kona?Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Bwasheee kidogo kidogo unawageuka wenzio. Au ndio umepata akili sasa?Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!