johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Hahahaaaa...... Nyie ndio wachonganishi!Kwa unavyomchukia Mbowe hii post yako ni unafique mtupu Jo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa...... Nyie ndio wachonganishi!Kwa unavyomchukia Mbowe hii post yako ni unafique mtupu Jo
Mtoto wa tajiri ni tajiri kama ulivyo wewe mtoto wa maskini utazeeka maskini!Nyumbu kasikia Mbowe kajuwa ni Freeman Mbowe. Mbowe ni jina la ukoo hata baba Yake anaitwa kwa jina Hilo Mbowe.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hawa wote Mbowe si saizi yao, na ndiyo maana hawaishi kumtajataja.Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa Chadema tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa Nccr mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Falsafa ya CCM kwa sasa, ili upate cheo au upande cheo , Lazima umtukane Mzee Mbowe.Mwamba anawanyima usingizi
Mbowe alone Ni kama ccm wote walio hai+waliokufa
Kwa ajili zako fupi mtu kumiliki benzi 1982 ni sifa kubwa eeh ?Mtu kaanza kumiliki Benz mwaka 1982 utadhani ni mwenzio! The guy is smart aiseeeee yaani bongo nzima walikua wawili tu, yeye na Nyerere halafu kuna mbwa kama Sabaya anaropoka
Vipi toa neno kwa mwendazake tumwiteje nje ya neno shujaa?Mbowe ni kibaka
Hata kama unashinda kila kitu lazima kiwe na kikomo, inafika sehem useme bhasi uwaachie na wengine, haiwezekani ukae madarakani zaid ya miaka 20, mbowe hana 'kiasi' na huo ni udhaifu mkubwa sana .Huwa anashinda mbona CCM inaongoza nchi kibabe miaka yote na hamsemi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kisiki cha mpingo CCM na mwendazake walijaribu lakini hafiki bei, CCM wanajua wakimpiga mchungaji na kondoo wanatawanyika, Magu alitumia mbinu ya kumdhohofisha kiuchumi, kabomoa billcanas, kamfungia account,kuharibu mashamba, gazeti, kambambikia kesi, kafungwa lakini mwamba yupo pale pale zaidi akaona fursa kwenda nje kufungua biashara. Ndiyo sababu kinawauma kutokana na misimamo yake na imani kubwa kwa chama.Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Hata Nyalandu mwenyewe alikiri wanachama na mashabiki wa chadema wanaupendo mkubwa na chama tofauti na ccmWale wanaojua "kweli" kuhusu chaguzi zetu, hawawezi kuacha kuisakama CDM. Chama mmekizidi kila kitu, pamoja na kuwanyanyasa, kuwanyima airtime, nk lakini mnashangaa wananchi wanakipenda na kukipa kura kwa wingi....bila hata kuhonga au kutumia mabilioni kwenye kampeni zao! Mnaona kabisa msipoiba kura, hicho chama kinawabwaga kwenye sanduku la kura!
Wataachaje kumchukia mwenyekiti wa chama hicho?
Mbona CCM inashindwa na haiachii wengine?Hata kama unashinda kila kitu lazima kiwe na kikomo, inafika sehem useme bhasi uwaachie na wengine, haiwezekani ukae madarakani zaid ya miaka 20, mbowe hana 'kiasi' na huo ni udhaifu mkubwa sana .
Kwani Mzee Mgaya anasemaje?Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
ndio maana Chadema imefariki maana Mbowe yeye mwenyewee kilaza amezungukwa na vilaza na mashabiki zake vilazaNijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!
Kumbe!ndio maana Chadema imefariki maana Mbowe yeye mwenyewee kilaza amezungukwa na vilaza na mashabiki zake vilaza
Ukoo wenu wote mulieahi kumiliki Benz 1982?. Au unafikiri kumiliki Benz ni sawa na kumiliki toroli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumiliki benzi 1982 ni kuwa na akili?
Duh.. Hizi akili za bavicha
Na angekuwa na njaa, pale walipofunga account zake, ilikuwa asalimu amri na kuunga juhudiKwa kiufupi sana Mbowe hana njaa na hajawahi kuwa na njaa.
Na hii ndio principle wanatumia nchi za wenzetu kuwapata viongozi.
Kwahiyo wewe ni mtoto wa Mbowe au mkewe?Ukoo wenu wote mulieahi kumiliki Benz 1982?. Au unafikiri kumiliki Benz ni sawa na kumiliki toroli?
Gwaji boy naye leo kaibuka na MboweNijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman Mbowe anaandamwa kila kona?
Je, Mbowe ni mti wenye matunda?
Mwenye majawabu Tafadhali!