Kwanini mitume na manabii huishiwa upako baada ya muda? Je, hizi pako zao ni za kweli au za mchongo?

Huo ni uongo. Tukiwa duniani kila kitu kina mwisho haijalishi kimetoka wapi.

Refer:
 
Gwajima anaombea wafuasi wake ulinzi kiimani wkt huo yy kiunoni ameficha gun[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yeye anazungumzia nguvu wewe unaongelea pesa. Pesa wanazo je nguvu za mwanzo bado zipo?
Kila siku na kila wilaya naona misukule inarudishwa, wanaosema ni ya michongo sawa, wanatimiza andiko, Baba Ibrahimu alimwambia tajiri (yule aliyekufa na Lazaro, akitaka mmoja wa wafu aende kuwahubiri ndugu zake), Ibrahimu anasema" .... hata mtu akifufuka kutoka kwa wafu, hawatashawishwa"

Ni nguvu gani nyingine tunataka kuiona?
 
[emoji120] [emoji120]
 
Hapo utajua ni mambo tu ya "kalumanzila" ni mikataba inayofifia. Ukiona watu wapo juani wanakusikiliza ujue Kuna nguvu inayowasukuma katika ulimwengu wa roho.
 
Pumbafu sana wewe biblia inakupa tadhari kuwa watakuja watu watajiina manabii na mitume watawapotosha wengi lakini wakiristo amuamini pamoja na kubeba kitabu hicho kwapani kila mala pumbafu pumbafu
 
Mitume aina ya Mwamposa wana tabia kama hii; wamefanikiwa kuwateka wanawake wanawapiga hela bila huruma.

Your browser is not able to display this video.
 
Waliitwa na Mungu
Wakapofushwa na pesa pamoja na umaarufu wakaacha wito mkuu wa kuwahubiri watu kuwaandaa kwa unyakuo.
Mungu akawaacha katika njia zao za upotevu. Mostly wanadubiriwa jehanamu
 
HAKUNA MTUME MJINI..
MNADANGANYWA KWA KUTOYAJUA MAANDIKO.
 
Waliitwa na Mungu
Wakapofushwa na pesa pamoja na umaarufu wakaacha wito mkuu wa kuwahubiri watu kuwaandaa kwa unyakuo.
Mungu akawaacha katika njia zao za upotevu. Mostly wanadubiriwa jehanamu
Hakuna mtume mjini, mtume hanaga kanisa
 
Hapo utajua ni mambo tu ya "kalumanzila" ni mikataba inayofifia. Ukiona watu wapo juani wanakusikiliza ujue Kuna nguvu inayowasukuma katika ulimwengu wa roho.
Hakuna mtume mjini
Hakuna mtume mwenye kanisa...ukisikia mtu mjini kimbia ufe
 
Nliendaga Tanga kanisani kwake na mgonjwa wangu pale tukataka kuelezea shida yetu tukaambiwa tutoe laki kadhaa , duh hatukuwa nazo ikabidi tuwe wapole.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Sasa jamani kwa ''mtu wa mungu'' unaelezea tena shida? Mimi nilidhani huwa wanaombea na mtu anaponywa? Anyways wajinga ndiyo waliwao.
 

Swali zuri sana! 👍
 
Huo ni uongo. Tukiwa duniani kila kitu kina mwisho haijalishi kimetoka wapi.

Refer:
hamna ki2 kinachomaliza upako kama,uzinzi,ushirikina{shirki} natamaa ya kuupenda ulimwengu!!!!''''{yaani kuna wa2 wanauona ulimwegu ndio pepo yao}
 
Hivi watumishi kama vile Kiboko ya Wachawi ukiwatazama kwa undani kuna nabii pale kweli au mpigaji tu?
 
Mkuu umemaliza kila kitu, siongezi chochote. Ubarikiwe sana kwa ufunuo huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…