Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Bila kutumia matamshi au maandishi unaweza kuniambia mawazo yanaexist or not? Kama yanaexist, can you measure and present them in their own form?
Mkuu umenibariki sana kwa majibu yako! Ila watu wajue kuwa kuna ulimwengu mwingine mbali na huu tunao uishi. Na ulimwengu wa roho ni Timilifu! Aiseh nina ushaidi kabisa personally wa hili! Vitu vyote tunavofanya na vikatokea aidha ni vibaya au ni vizuri chanzo chake ni ulimwengu wa Roho! Wanasema kwamba ukiweza kuufahamu ulimwengu wa Roho utamiliki na kutawala!
All in All nina uhakika Mungu yupo 100% kwa haya yaliyotokea na yanayotea katika maisha yangu!

Shetani kazi yake kuua, kuharibu na kuangamiza mwanadamu! Shetani hana jema katika maisha ya mwanadamu. Hilo watu tunatakiwa tuelewe.
 
Hivi ungezaliwa ukajikuta dini nyingine sio mkristu ungeyasema haya unayoyasema hapa sasa hivi?
Kuwa mkristo ni bahati. Inaitwa bahati ya kupata habari njema ya ulimwengu.
Hakuna imani inayo tangaza Amani na Upendo kwa jirani yako hapa duniani zaidi ya Ukristo.

Mathayo 22:36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?

37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
39 Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
40 Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.

Ukristo ndio imani pekee duniani inayosema.

Mathayo 18:21 Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba?

22 Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Na inasisitiza

Mathayo 5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;

44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?

Imani ya Kikristo ndio pekee inayofundisha haya mafundisho bora sana na yenye manufaa kwa kila mtu.

Na hayapatikani kabisa kwenye imani nyingine.

Waislamu ukimdhihaki Muhamaadi hakuna msamaha ni wa kuchinjwa tu.

Ukiiba unakatwa mikono hakuna msamaha.

Ukizini ni kuchinjwa
Ukiwa shoga ni kuchinjwa

Usipo vaa hijabu ni kuchinjwa.
Ni afadhari hata Dini ya Shetani, yaani Rusiferian religion.

Katika Satanic religion ukifanya hayo mambo unapendwa sana na unapewa na zawadi.

Nadhani mnaona na kusikia.
 

Na ule upande mwingine wanaamini pia kuwa dini yao ni sahihi.
Unataka kusema wanapoteza muda ni wewe tu ndo umebahatika? Why Mungu afanye kuchanganya watu kwa makusudi?
 
Shiriki hapa.

Bila kutumia matamshi au maandishi unaweza kuniambia mawazo yanaexist or not? Kama yanaexist, can you measure and present them in their own form
Mawazo ni nadharia sio kitu phyisical, tunakubaliana hapa?
 
Biblia imesema dunia iliumbwa siku ya ngapi?
 
What is it that left the body for it to be dead? Biblia inatujibu kwamba ni nafsi na roho ambazo huwezi kuziona lakini zipo. Hizo ndio life force ndani yako. Ndio inayotengeneza electrical signals zinazoufanya moyo udunde.
Nafsi na roho unazithibitishaje?
 
Kwahiyo Mungu huko aliko, Hana kazi yoyote ya kufanya zaidi ya kukaa akisubiria umwabudu?
 
Kwani kuwa na upendo lazima uwe na dini?, Mbona nimewasikia baadhi ya atheists wanasema kanuni Yao ya maisha ni, kuhakikisha kitu usichopenda kufanyiwa, basi usiwafanyie wengine and vice versa.
 
Kwani kuwa na upendo lazima uwe na dini?, Mbona nimewasikia baadhi ya atheists wanasema kanuni Yao ya maisha ni, kuhakikisha kitu usichopenda kufanyiwa, basi usiwafanyie wengine and vice versa.
Waambie hao
Ambao hawana msamaha kwa mkosaji.
Nimekuambia ni bora Atheists au Satanist wanasameheana wao kwa wao.
Waislamu wao kwa wao wanachinjana kila kukicha huko kwenye nchi za Kiislamu.

Baada ya Swala wanamwagika kiwanjani kukata vichwa wazinzi na mashoga. Na kukata mikono ya wezi waislamu wenzao.

Huku wengine wakiwa pembeni kushangilia hayo matendo.

Islam is the deadliest religion.
Hata huku kwetu wanalilia Sharia Laws ili wachinje vijana wetu.

Furaha yao ni kuona wanamwaga damu za binadamu wenzao jambo ambalo Mungu mwenyewe halipendi na amri yake inatamka neno moja tu.

USIUE.

Allah anasema UWA.

Bila kupepesa macho wala kuona aibu.
Allah ni Shetani. Yaani Ibirisi mkuu.

Njoeni sasa mnichinje pumbaf zenu.
 
Wewe ni kiumbe hujajiumba umeumbwa huna haki ya kusema unasumbuliwa sababu hujimiliki, its like leo wewe utengeneze robot lako uamue licheze singeli, robot litacheza singeli wewe ndo umelitengeneza.
Huu mfano hauna uhai..., ukitengeneza Robot halina feelings..., mfano wako ungesema kwamba hata kama ukiamua labda kufunga ndege ili wakikua ujifurahishe kwa kuwapiga risasi au kuwatumia kama kiburudisho chako..., na huku duniani tuna neno la characteristics za namna hiyo wala sio character ya kujivunia....
Inategemea hio game imekuwa programmed kufanya nini kama game ipo programmed either kuhassle ili kumridhisha programmer na si vinginevyo bado huyo programmer aliyetengeneza hio game kama ili mtu kumaliza game vizuri anapitia pains lazima uone kwamba programmer kuna vitu petty (as kunyenyekewa) anavi-mind which goes against a superior entity... in any civilization Kwahio kuliko kuchomana moto kwa wanokwenda against si bora hao watu wasinge-exist in the first place..., My way or the Higway is not a choice...
 
Hawezi kujua choice utakayochukua.., hauwezi kusema kwamba kwenye kapu kuna chungwa na limao alafu mimi nina free will ya kula tunda lolote wakati sungwi hazipo kwenye kapo..., na kama nikichukua sungwi yangu mfuko wa nyuma nikala unipe adhabu ya kulala njaa kwa wiki tatu..., Utaona hapo indirectly unanilazimisha kula sungwi....
 
Mfano wako unaonyesha ufahamu wa outcomes ila sio choice mtu atakayochukua...

Mfano mimi najua mechi ya Simba na Yanga ijayo itakuwa either Simba; Draw au Yanga...; kwahio hakuna binadamu ambaye hajui outcome za hio Mechi..., Pia ingawa inajulikana mfungaji atatoka katika wachezaji 22 ila hakuna anayejua for sure kama goli litafungwa au nani atafunga..., na nadhani hakuna atakayechagua goalkeeper kufunga ingawa nayo inawezekana...

Ubishi unakuja kwamba Mungu anajua yote yatakayotokea dakika ya kwanza mpaka ya mwisho second per second na yeye ndio aliyapanga sasa hapo utasema vipi kwamba Mungu hakupanga matokeo hata kabla ya Simba na Yanga asija-anzishwa au mpira kuvumbuliwa ?!!!
 
Kilichozaliwa kwa roho tupu hakifi, shetani ni roho hafi, hiyo ndio kanuni ya Mungu. Ndio maana shetani atateseka milele hatapotea baada ya mateso ya jehanam. Kwahiyo binadam ana mwili na roho, makosa yake yanafanyika katika mwili kwa ushawishi wa roho. Binadam hafanyi makosa katika roho bali mwili ambayo ufanya roho yake ife kidunia pia. Shetani amefanya makosa hakiwa katika ukamilifu wa roho hawezi samehewa milele, sababu amekosa kwa makusudi akiwa katika utukufu (amekufuru). Tofauti na binadamu akiwa hajui na udhaifu mwingi amekosea katika mwili. Yesu alisema ukikufuru roho takatifu husamehewi, maana Mungu wetu na shetani ni roho kamilifu.
 
Spirit realm iko perfect hivyo ukifanya kosa kule ni absolute choice ambayo haitokani na influence ya kitu cha nje ndio maana shetani hawezi kusamehewa pamoja na malaika wote walioamua kuungana naye.
Kama ipo perfect inakuwaje mtu anafanya kosa? Kitu kilicho perfect hakiwezi kufanya kosa
 
Ushahidi ni uwepo wa uhai katika mwili wako na wangu. Ile life force ndani yetu inatuhakikishia ndani yetu beyond the tangible world uwepo wa maisha beyond ulimwengu huu. Ila specifics zake ndio tunazipata katika biblia.
I can say ushahidi wa mimi kuishi ni mitishamba ya babu zangu na mazimwi wa kule kijijini kwanini ninachoamini mimi kiwe inferior kwa unachoamini wewe ?

Na mimi beef yangu kubwa na watu wa Imani ni hiyo ndio maana ninarespect sana Bahai kwa uvumilivu wao wa Faith zote...

Yaani nikiambiwa nichague jirani wa kuishi nae nitachagua huyu, au kule motoni au peponi nitakuwa mwenye furaha nikiwa na hawa watu kuliko wale ambao wanaamini kwamba wao ndio superior kuliko wengine
 
Tena kwa mujibu wa kitabu cha ayubu shetani na mungu kuna siku huwa wanakutana na KUYAJENGA aisee..

Walimtesa Ayubu,wakaua watoto wake,mifugo yake, wakabomoa nyumba ili wampime halafu wenyewe wako kando wanapiga story...

Haya mambo ukiwaza kwa akili ya kawaida tu don't make no sense. Ukiwaambia hawa wafia dini wanasema ni kufuru
 
Mungu anatafuta Utiii tu kutoka kwa mwanadamu, mwanadamu hawezi kumpenda Mungu wala kumshawishi, ila shetani anaweza kumshawishi Mungu maana wote ni roho (Kumbuka Ayubu). Shetani alibarikiwa ana baraka, na alilaaniwa ana laana. Kanuni ya Mungu ni Utiii wa ndio Mzee. Uchawa ni Utiii kwa Mamlaka.
 
haina feeling sababu technology yetu ndio ilipoishia kwa sasa, with Ai na tech kukua tunaelekea huko, sasa hivi sio siri tena DNA zetu zina binary like language, sisi tupo programed sio na herufi mbili kama Binary ila herufi 4 ama 3 etc watu wa Biology wanajua zaidi. so concept ni ile ile.
hio ni concept tu nakupa haimaanishi Akili ya creator ni kama yetu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…