Hivi ungezaliwa ukajikuta dini nyingine sio mkristu ungeyasema haya unayoyasema hapa sasa hivi?
Kuwa mkristo ni bahati. Inaitwa bahati ya kupata habari njema ya ulimwengu.
Hakuna imani inayo tangaza Amani na Upendo kwa jirani yako hapa duniani zaidi ya Ukristo.
Mathayo 22:36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
39 Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
40 Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.
Ukristo ndio imani pekee duniani inayosema.
Mathayo 18:21 Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba?
22 Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
Na inasisitiza
Mathayo 5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
Imani ya Kikristo ndio pekee inayofundisha haya mafundisho bora sana na yenye manufaa kwa kila mtu.
Na hayapatikani kabisa kwenye imani nyingine.
Waislamu ukimdhihaki Muhamaadi hakuna msamaha ni wa kuchinjwa tu.
Ukiiba unakatwa mikono hakuna msamaha.
Ukizini ni kuchinjwa
Ukiwa shoga ni kuchinjwa
Usipo vaa hijabu ni kuchinjwa.
Ni afadhari hata Dini ya Shetani, yaani Rusiferian religion.
Katika Satanic religion ukifanya hayo mambo unapendwa sana na unapewa na zawadi.
Nadhani mnaona na kusikia.