Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Yani hii ni aibu yenu tutawezaje kutunza vitu vilivyoshindwa kutunzwa na mama zenu? Na wangevitunza mngekuwepo nyie wana wa chura kiziwi? Mna uhakika baba zenu walizitoa hizo bikira? Au walikutana na mapango ya amboni! Tuanzie hapo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎπŸ™ŒπŸΎ
Wasituchoshe yani kwa vile mtu kapata au anataka bikira basi tusio nazo km mizimu kumbe na mama zao tupo nao kundini
 
Wasituchoshe yani kwa vile mtu kapata au anataka bikira basi tusio nazo km mizimu kumbe na mama zao tupo nao kundini
mi hua najiulza,hawa much know wa jf hawapo mitaani,, mbona sijawahi ona wanaotaka hivi vigezo huku mitaani!!!!!!?
 
mi hua najiulza,hawa much know wa jf hawapo mitaani,, mbona sijawahi ona wanaotaka hivi vigezo huku mitaani!!!!!!?
Nisaidie kushangaa, hawa ni wahanga wa njaa wapo humu kujifariji na njaa zao
 
Mwanaume hata kama alishafanya mapenzi na wanawake wengi, akikuambia hakuwahi huwezi thibitisha.

Lakini mwanamke anakifanya ngono inajulikana.
Mkuu you are smarter than this hebu elewa hiyo logic suala hapa siyo kuweza kuthibitisha ila suala ni wanaume wenyewe kukosa wanawake bikira pale wanapotaka kuoa, wewe ukilala na wanawake wengi huwakomoi wanawake bali unajikomoa mwenyewe kwa sababu mwisho wa siku wewe ndio utakuja kuhitaji mwanamke bikira ukitaka kuoa ambapo utakuta wengi wameshatumika, ndio maana nasema wanawake wote wakijitunza hadi ndoa maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao hivyi nao itabidi wakubali kujitunza kitu ambacho wanaume wengi hawako tayari sasa wa kulaumiwa ni nani
 
Nisaidie kushangaa, hawa ni wahanga wa njaa wapo humu kujifariji na njaa zao
wanapigwa vitu vizito huko , hasira wanakuja kutumalizia sie huku,,ivi hizo bikira hadi zinatoka,tunajichokonoa na vijiti?, waende vijijini huko wakaeke oda za mabikira huku mjini wanaume wenyewe wanataka wataalam wa mapenzi bwan πŸ˜„,, hawajui mapenz wanataka wakutane na washamba wenzao.

Sasa hao wakija mjini wakipewa ujanja na wanawake wa salun au mtaani,pale anaposhauriwa kua hogo hazifanani radha,ndo watajuuuta,,, mxiuuu zao.

Nb:KUOA BIKIRA SIO KUPATA NDOA TULIVU,,AMKENI BASI NYIE MUCH KNOW.
 
Naona hapa,,ilaumiwe SERIKALI pia wao si hawataki.
 
Wa kulaumiwa wanawake kwanini wakubali.
 
Wao wapate bikira hata 100 sioni tatizo, sababu ni haizuii mimi ama yule kuolewa kisa hana hiyo bikira, tatizo lao ni kejeli πŸ˜…πŸ˜… hapo ndo nawakumbusha mama zao nao hawanazo wasijisahaulishe
 
Wao wapate bikira hata 100 sioni tatizo, sababu ni haizuii mimi ama yule kuolewa kisa hana hiyo bikira, tatizo lao ni kejeli πŸ˜…πŸ˜… hapo ndo nawakumbusha mama zao nao hawanazo wasijisahaulishe
wanao wakejeli wenyewe wanajali sasa,hii ndo dunia tuliyopo,kejeli zao n kama chura kupigwa teke,,labda waliwachungulia hao mama zao wakaona izo bikira bwan tutajuaje
 
Sisi wazoefu tunaigiza vizuri tu.
huo uzoefu umeutolea wapi,, kwenye vitobo vya sindano au wanawake,, afu mnataka bikira πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
wanao wakejeli wenyewe wanajali sasa,hii ndo dunia tuliyopo,kejeli zao n kama chura kupigwa teke,,labda waliwachungulia hao mama zao wakaona izo bikira bwan tutajuaje
🀣🀣🀣 hapo ndo huwa nauliza swali mtu anasema umemtukana, mwenye alikuwepo wakati ya baba yake anatoa ya mama yake basi ana haki ya kukejeli na kutafuta bikira asisahau kuhakikisha wanae wanashuhudia ili waendeleze kaukoo ka mabikira,

Kuna walioandika tusio nazo tuuliwe, mwingine ni malaya, wanasahau uwepo wao ni kielelezo tosha kuwa mama zao hawana hizo bikira
 
Ndio, nimemuoa.
Sasa kama umeoa malalamiko ya kila siku dhidi ya wanawake ni ya nini
wanaume hao hao ndio
Hakuna mwanaume wa aina hiyo
Sasa kama ni rahisi kwanini ninyi wanaume mnapoona wanawake wanawashawishi kwa kuwasilisha matamanio yao msiachane nao tu, kwa sababu mwisho wa siku lengo lenu si kuoa wanawake mabikira hivyo ili hao mabikira wawepo sharti wasitumike kabla ya ndoa, kama mnaona ngono ni hitaji la msingi sana na hamko tayari kuvumilia hadi ndoa basi msiwalaumu wanawake tu bali pia jilaumuni na ninyi kwa tamaa zenu
wanawake bikira wapo na wwasiokua bikira wapo ni suala la mwanaume kufanya vetting tu
Hapa suala siyo kuwepo suala ni hawapo wa kuwatosheleza wanaume wote wanaotaka kuoa wanawake mabikira elewa hoja
 
Wa kulaumiwa wanawake kwanini wakubali.
Hebu nipe sababu ya msingi kwanini anayetongoza asiwe na makosa ila anayekubali ndio awe na makosa, kwahiyo ikitokea mwanamke ndiye ametongoza na mwanaume akakubali maana yake mwanamke hana makosa mwanaume ndio ana makosa, nikija kwenye hoja yako mwanamke anakubali kwa sababu mwisho wa siku siyo yeye atakayehitaji kigezo cha bikira pale anapotaka kuingia kwenye ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…