MmmmMacho, pua, masikio, ulimi na Ngozi ya mwili huwa vina tabia ya kuchoshwa na kukinaishwa na kuona, kunusa, kusikia, kuonja na kugusa kitu cha aina moja tu kilekile kukiona, kukinusa, kukisikia, kukionja na kukigusa kila mara kwa muda mrefu.
kuonana, kutianam kurambana,m kusaidiana na kuwasiliana hadi pale atakapotokomea kabisa.
Sawa wameshasikia rambarambaMacho, pua, masikio, ulimi na Ngozi ya mwili huwa vina tabia ya kuchoshwa na kukinaishwa na kuona, kunusa, kusikia, kuonja na kugusa kitu cha aina moja tu kilekile kukiona, kukinusa, kukisikia, kukionja na kukigusa kila mara kwa muda mrefu.
, kuonana, kutianam kurambana,m kusaidiana na kuwasiliana hadi pale atakapotokomea kabisa.
Sisi wenye vitambi bwana anene nasi๐ ๐Umbile la ndani haliishii kwny tunda mkuu,
Ni mwonekano general mwanamke akivua nguo ukimtizama anavutia Kias gan
Acha chupli chupliHiyo njoo inbox, lakini njoo ukishamaliza kusoma vitu vifuatavyo: Johari Windows, Abraham Maslow's hierarchy of needs, Motivation theories, Operant conditioning ya BF. Skinner na Schedules of reinforcements,
Sio kumuacha,hapa wamezungumzia kumchoka...Tabia gani kwamfano itakuchukiza wewe hadi umuache mwanamke?
Hiyo sio kweli, kuna siku utajiona huna jipya kwake na hana jipya kwako. Hataua hiyo itafika haraka kama utakuwa unamkagua kila siku kona zote za mwili wake kwa macho, masikio, pua, ulimi na kupapasa. Binadamu siku zote anatafuta jipya ambalo hujalifanya, hujaliona, hujalionja, hujalisikia na hujaligusa. Hata watoto huwezi kuwapeleka zaidi ya mara 3 kuangalia wanyama walewale Simba na nyoka kwenye banda la maliasili kule sabasaba. watakugomea kama hakuna mnyama mpya.Kuna manzi yangu inanipa yote ila siichoki yani naipiga hadi natamani nichomoke nayo aisee.
NB:
Acha unaa
Niko na hiyo manzi zaidi ya miaka 4 na tunacheza Kamasutra zote na sijamchoka.Hiyo sio kweli, kuna siku utajiona huna jipya kwake na hana jipya kwako. Hataua hiyo itafika haraka kama utakuwa unamkagua kila siku kona zote za mwili wake kwa macho, masikio, pua, ulimi na kupapasa. Binadamu siku zote anatafuta jipya ambalo hujalifanya, hujaliona, hujalionja, hujalisikia na hujaligusa. Hata watoto huwezi kuwapeleka zaidi ya mara 3 kuangalia wanyama walewale Simba na nyoka kwenye banda la maliasili kule sabasaba. watakugomea kama hakuna mnyama mpya.
Anadanganya, unapoenda kuoa mwali siku za kwanza utakuwa hutoki nje na pengine hata chakula huli kazi ni kutiana tu muda wote kutwa mara sita, lakini kadiri utakavyo muona kila sehemu kwa mwingi, mnusa kwa wingi, mramba sana, mpapasa sana na kumtia sana kila tundu ndivyo unavyopunguza hali hiyo na ikiwezekana kutafuta mchepuko mwingine, maana pale umeshamaliza yote umeona na kunusa kila kona, umekinai. Hii sio kanuni yangu mimi kavulata, bali ni kanuni ya behaviorists, humanists na cognitsSio kumuacha,hapa wamezungumzia kumchoka...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko na hiyo manzi zaidi ya miaka 4 na tunacheza Kamasutra zote na sijamchoka.
Chief kama umeichoka manzi yako ni wewe usilazimishe wote tuwe kama wewe.
Eiwaaaa!! ndio maana mwanamke ili adumu na huyo kaka lazima awe na vitu vingine vya ziada zaidi ya uchi wake, matiti yake, mapaja yake, matako yake, sauti yake , miguu yake, kucha zake na hata nywele zake. Na baadhi ya sifa hizo ni kuwa na watoto na huyo mume, kuvumilia na kusamehe sana, kumpunguzia mume matumizi ya hovyo, usafi, kupika vizuri, kumsaidia mwanaume kukamilisha miradi/mambo yake kwa wepesi zaidi, nk.Ni kwasababu tunaanza kwa kutamani kinacho tufanya tuendelee kuwavumilia na kuendelea kuwa nao kwa muda mrefu ni tabia zao, akifeli na kwenye tabia ndo hapo hata kuwaona huwa hatutaki tena
Wanaume wazuri called handsome hawataki kujituma wanataka kutumia so ningumu kusonga naoNi kwasababu tunaanza kwa kutamani kinacho tufanya tuendelee kuwavumilia na kuendelea kuwa nao kwa muda mrefu ni tabia zao, akifeli na kwenye tabia ndo hapo hata kuwaona huwa hatutaki tena
Nikisema siyo wote mtasema najisifu kuwa mi ni handsomeWanaume wazuri called handsome hawataki kujituma wanataka kutumika so ningumu kusonga nao
Jaah ndiye nani?๐๐ค๐๐ฃ๐ฉ ๐ ๐ช๐๐ฌ๐ ๐จ๐๐ฃ ๐ ๐ฌ๐ ๐จ๐๐จ๐ ๐ ๐๐ฏ๐๐ฏ ๐๐๐ 2000 ๐๐๐ก๐๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐ช๐ฃ๐๐ก๐๐ก๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐๐ก๐ ๐๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐ ๐ข๐จ๐๐๐๐ฃ๐ ๐ช๐ฃ๐๐ ๐ข๐ฉ๐๐ข๐๐ฃ ๐๐ช ๐ ๐ช๐ข๐ช๐ค๐ฃ๐ ๐ฌ๐ ๐จ๐๐ฏ๐ ๐ฃ๐ ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐ฉ๐ค๐๐๐ช๐ฉ๐ ๐๐๐ก๐๐๐ ๐๐๐ค๐ ๐ฏ๐๐ฉ๐ช ๐๐๐ฏ๐๐ฉ๐ค ๐๐ช๐ข๐ช ๐ ๐ฌ๐๐จ๐๐๐ ๐ฉ๐ฎ๐ง ๐ฉ๐ช๐จ๐๐๐ค๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ค๐ฃ๐๐ ๐ ๐๐ก๐ ๐ก๐๐๐๐ ๐ ๐๐ก๐ ๐๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐ ๐ข๐ฌ๐๐ฃ๐๐ข๐ ๐ ๐จ๐๐จ๐ ๐๐ฃ๐๐๐ ๐ ๐ข๐๐๐๐ก๐ ๐ข๐ ๐ ๐ช๐ฃ๐๐ ๐๐ ๐ฃ๐๐ ๐๐๐๐๐๐จ ๐ ๐ฌ๐๐จ๐๐๐๐๐ช ๐ฃ๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐ช๐ข๐ ๐ก๐ ๐ฃ ๐๐๐จ๐๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐๐๐จ๐ ๐ ๐๐๐ค๐๐ค ๐๐๐ข๐๐ค ๐๐ข๐๐๐ก๐ค ๐๐ฟ๐๐ผ ๐ฏ๐๐ฉ๐ช ๐ ๐ช๐๐ช๐ข๐ช ๐ ๐๐๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐ก๐๐ ๐ ๐๐ฉ๐
Ni kweli uzuri wa sura na umbo unanafasi ndogo sana kwenye ndoa maana hata mtu awe mzuri vipi ukiishi nae baada ya muda unamzoea unamuona wa kawaida kinacho baki kufanya muendelee ni kuheshimiana, kuvumiliana na kuhurumiana ukipata ambae hana hivyo vitu ni ngumu sana kutoboa nae hata awe mzuri vipiEiwaaaa!! ndio maana mwanamke ili adumu na huyo kaka lazima awe na vitu vingine vya ziada zaidi ya uchi wake, matiti yake, mapaja yake, matako yake, sauti yake , miguu yake, kucha zake na hata nywele zake. Na baadhi ya sifa hizo ni kuwa na watoto na huyo mume, kuvumilia na kusamehe sana, kumpunguzia mume matumizi ya hovyo, usafi, kupika vizuri, kumsaidia mwanaume kukamilisha miradi/mambo yake kwa wepesi zaidi, nk.
๐๐ฃ๐๐ฎ ๐๐๐๐ ๐๐ช๐ฎ๐ค ๐๐ช๐ฎ๐ค ๐ฃ๐ก๐ค๐ข๐ช๐๐ฃ๐๐ ๐ ๐๐๐ฅ๐คJaah ndiye nani?