Kwanini mwanaume anamchoka mwanamke Haraka?

Kwanini mwanaume anamchoka mwanamke Haraka?

Macho, pua, masikio, ulimi na Ngozi ya mwili huwa vina tabia ya kuchoshwa na kukinaishwa na kuona, kunusa, kusikia, kuonja na kugusa kitu cha aina moja tu kilekile kukiona, kukinusa, kukisikia, kukionja na kukigusa kila mara kwa muda mrefu.
kuonana, kutianam kurambana,m kusaidiana na kuwasiliana hadi pale atakapotokomea kabisa.
Mmmm
 
Macho, pua, masikio, ulimi na Ngozi ya mwili huwa vina tabia ya kuchoshwa na kukinaishwa na kuona, kunusa, kusikia, kuonja na kugusa kitu cha aina moja tu kilekile kukiona, kukinusa, kukisikia, kukionja na kukigusa kila mara kwa muda mrefu.

, kuonana, kutianam kurambana,m kusaidiana na kuwasiliana hadi pale atakapotokomea kabisa.
Sawa wameshasikia rambaramba
 
Sidhani kama kuna anayemchoka mwanamke kwa kumtumia sana,tabia ikishabadilika na ukachukizwa sidhani hata kama hamu ya mapenzi na muhusika itakuwepo...
 
Hiyo njoo inbox, lakini njoo ukishamaliza kusoma vitu vifuatavyo: Johari Windows, Abraham Maslow's hierarchy of needs, Motivation theories, Operant conditioning ya BF. Skinner na Schedules of reinforcements,
Acha chupli chupli
 
Kuna manzi yangu inanipa yote ila siichoki yani naipiga hadi natamani nichomoke nayo aisee.

NB:
Acha unaa
Hiyo sio kweli, kuna siku utajiona huna jipya kwake na hana jipya kwako. Hataua hiyo itafika haraka kama utakuwa unamkagua kila siku kona zote za mwili wake kwa macho, masikio, pua, ulimi na kupapasa. Binadamu siku zote anatafuta jipya ambalo hujalifanya, hujaliona, hujalionja, hujalisikia na hujaligusa. Hata watoto huwezi kuwapeleka zaidi ya mara 3 kuangalia wanyama walewale Simba na nyoka kwenye banda la maliasili kule sabasaba. watakugomea kama hakuna mnyama mpya.
 
Hiyo sio kweli, kuna siku utajiona huna jipya kwake na hana jipya kwako. Hataua hiyo itafika haraka kama utakuwa unamkagua kila siku kona zote za mwili wake kwa macho, masikio, pua, ulimi na kupapasa. Binadamu siku zote anatafuta jipya ambalo hujalifanya, hujaliona, hujalionja, hujalisikia na hujaligusa. Hata watoto huwezi kuwapeleka zaidi ya mara 3 kuangalia wanyama walewale Simba na nyoka kwenye banda la maliasili kule sabasaba. watakugomea kama hakuna mnyama mpya.
Niko na hiyo manzi zaidi ya miaka 4 na tunacheza Kamasutra zote na sijamchoka.

Chief kama umeichoka manzi yako ni wewe usilazimishe wote tuwe kama wewe.
 
Sio kumuacha,hapa wamezungumzia kumchoka...
Anadanganya, unapoenda kuoa mwali siku za kwanza utakuwa hutoki nje na pengine hata chakula huli kazi ni kutiana tu muda wote kutwa mara sita, lakini kadiri utakavyo muona kila sehemu kwa mwingi, mnusa kwa wingi, mramba sana, mpapasa sana na kumtia sana kila tundu ndivyo unavyopunguza hali hiyo na ikiwezekana kutafuta mchepuko mwingine, maana pale umeshamaliza yote umeona na kunusa kila kona, umekinai. Hii sio kanuni yangu mimi kavulata, bali ni kanuni ya behaviorists, humanists na cognits
 
Ni kwasababu tunaanza kwa kutamani kinacho tufanya tuendelee kuwavumilia na kuendelea kuwa nao kwa muda mrefu ni tabia zao, akifeli na kwenye tabia ndo hapo hata kuwaona huwa hatutaki tena
 
Ni kwasababu tunaanza kwa kutamani kinacho tufanya tuendelee kuwavumilia na kuendelea kuwa nao kwa muda mrefu ni tabia zao, akifeli na kwenye tabia ndo hapo hata kuwaona huwa hatutaki tena
Eiwaaaa!! ndio maana mwanamke ili adumu na huyo kaka lazima awe na vitu vingine vya ziada zaidi ya uchi wake, matiti yake, mapaja yake, matako yake, sauti yake , miguu yake, kucha zake na hata nywele zake. Na baadhi ya sifa hizo ni kuwa na watoto na huyo mume, kuvumilia na kusamehe sana, kumpunguzia mume matumizi ya hovyo, usafi, kupika vizuri, kumsaidia mwanaume kukamilisha miradi/mambo yake kwa wepesi zaidi, nk.
 
Ni kwasababu tunaanza kwa kutamani kinacho tufanya tuendelee kuwavumilia na kuendelea kuwa nao kwa muda mrefu ni tabia zao, akifeli na kwenye tabia ndo hapo hata kuwaona huwa hatutaki tena
Wanaume wazuri called handsome hawataki kujituma wanataka kutumia so ningumu kusonga nao
 
𝙋𝙤𝙞𝙣𝙩 𝙠𝙪𝙗𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙣 𝙠𝙬𝙖 𝙨𝙞𝙨𝙞 𝙠𝙞𝙯𝙖𝙯 𝙘𝙝𝙖 2000 𝙝𝙖𝙡𝙖𝙛 𝙪𝙬𝙚 𝙪𝙣𝙖𝙡𝙖𝙡𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙖𝙞𝙣𝙖 𝙮𝙖 𝙢𝙨𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙚 𝙢𝙩𝙖𝙢𝙖𝙣 𝙖𝙪 𝙠𝙪𝙢𝙪𝙤𝙣𝙖 𝙬𝙖 𝙨𝙞𝙯𝙚 𝙣𝙖 𝙨𝙝𝙖𝙥𝙚 𝙩𝙤𝙛𝙖𝙪𝙩𝙞 𝙒𝙖𝙡𝙖𝙖𝙝 𝙉𝙙𝙤𝙖 𝙯𝙚𝙩𝙪 𝙝𝙖𝙯𝙞𝙩𝙤 𝙙𝙪𝙢𝙪 𝙠𝙬𝙖𝙨𝙖𝙗𝙗 𝙩𝙮𝙧 𝙩𝙪𝙨𝙝𝙖𝙤𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙪𝙤𝙣𝙟𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙡𝙖𝙙𝙝𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙖𝙞𝙣𝙖 𝙮𝙖 𝙢𝙬𝙖𝙣𝙖𝙢𝙠𝙚 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙞𝙣𝙖𝙛𝙠𝙖 𝙢𝙖𝙝𝙖𝙡𝙞 𝙢𝙠𝙚 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙖𝙖 𝙣𝙖𝙚 𝙗𝙝𝙖𝙖𝙖𝙨 𝙠𝙬𝙖𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙣𝙞 𝙪𝙖𝙣𝙖𝙪𝙢𝙚 𝙡𝙠𝙣 𝙝𝙞𝙨𝙞𝙖 𝙣𝙞 𝙠𝙞𝙖𝙨𝙞 𝙠𝙞𝙙𝙤𝙜𝙤 𝙟𝙖𝙢𝙗𝙤 𝙖𝙢𝙗𝙖𝙡𝙤 𝙉𝘿𝙊𝘼 𝙯𝙚𝙩𝙪 𝙠𝙪𝙙𝙪𝙢𝙪 𝙅𝙖𝙖𝙝 𝙖𝙞𝙣𝙜𝙞𝙡𝙞𝙚 𝙠𝙖𝙩𝙞
Jaah ndiye nani?
 
Eiwaaaa!! ndio maana mwanamke ili adumu na huyo kaka lazima awe na vitu vingine vya ziada zaidi ya uchi wake, matiti yake, mapaja yake, matako yake, sauti yake , miguu yake, kucha zake na hata nywele zake. Na baadhi ya sifa hizo ni kuwa na watoto na huyo mume, kuvumilia na kusamehe sana, kumpunguzia mume matumizi ya hovyo, usafi, kupika vizuri, kumsaidia mwanaume kukamilisha miradi/mambo yake kwa wepesi zaidi, nk.
Ni kweli uzuri wa sura na umbo unanafasi ndogo sana kwenye ndoa maana hata mtu awe mzuri vipi ukiishi nae baada ya muda unamzoea unamuona wa kawaida kinacho baki kufanya muendelee ni kuheshimiana, kuvumiliana na kuhurumiana ukipata ambae hana hivyo vitu ni ngumu sana kutoboa nae hata awe mzuri vipi
 
Back
Top Bottom