Anaitwa naniYupo dc mkuranga
Ndio maana tunasema ninyi mnaakili kisoda kwa uandishi huo kweli Zanzibar ni wajingaKwahiyo shida yenu ni nafasi za Ukuu wa wilaya Zanzibar? Sasa hata mkipewa nafasi mbili mtagawana vipi watu milioni 60?
MkurangaSasa kile kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi kakitoa wapi?
Watajiju wenyewe.Sasa kwa mfano Muungano ukivunjika itakuaje,watamrudisha Hayati Mzee Mwinyi kwao Mkuranga?
Mtu anakuwaje raia wa wilaya ya Mkuranga??Raisi wa Zanzibar wa sasa, Dr. Hussein Mwinyi ni raia wa wilaya ya Mkuranga na baba yake aliamuru akifa azikwe Mkuranga wakaona aibu(karma itawalipa). Ila point yako imeeleweka vizuri, huu muungano ni feki hata wao wanajua tu.
Uwakilishi tu unatosha ili kubalance mambo.Kwahiyo shida yenu ni nafasi za Ukuu wa wilaya Zanzibar? Sasa hata mkipewa nafasi mbili mtagawana vipi watu milioni 60?
Katiba ya Zanzibari ni ya Kimchongo sana. Katiba ya Zanzibar inasema zanzibar ni kati ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini hiyo nchi nyingine haipo.Tujue kwanza katiba ya Zanzibar inasemaje kuhusu watu wenye sifa za kuteuliwa wakuu wa Wilaya huko Zanzibar.
Sasa kile kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi kakitoa wapi?
Kuna ma-DAS/DED kibao wamejaa huku utadhani upo UgunjaMnakubali vipi Mzanzibari kuongoza Bara, Tuanze na Shaka hamdu Shaka mkuu wa wilaya ni Mzanzibari mbona Zanzibar hakuna mtanganyika anayeongoza?
View attachment 2978848
Itakuwa ni Zanzibar na OmanKatiba ya Zanzibari ni ya Kimchingo sana. Katiba ya Zanzibar inasema zanzibar ni kati ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini hiyo nchi nyingine haipo
Kwani kule Ugunja hakuna Wilaya awe mkuu wenu wa Wilaya?Kwahiyo shida yenu ni nafasi za Ukuu wa wilaya Zanzibar? Sasa hata mkipewa nafasi mbili mtagawana vipi watu milioni 60?
Shaka asili yake ni OmanHata huyo Shaka ukimfuatilia utakuta kuwa wamekuja zenji baada ya mapinduzi. CCM zanzibar, 98% ni watu wenye asili ya bara. Wazanzibari asili wamekataa kabisa masuala ya muungano ndio maana kila kukicha tunaletewa jeshi na nyimbo ya mapinduzxi daima.
Technically, Zanzibar inaweza ikaamua leo kucheza deal na Oman, Iman ikaandaa Mkataba ikijifanya ndiyo ile nchi nyingine iliyoingia Mkataba na Zanzibar kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mkataba huo ukakubalika katika UN.Itakuwa ni Zanzibar na Oman
Aaah hizo mbwembwe tu za uandishi mkuu, ila point ni kwamba ni mtu wa huku bara. Wengi wameelewa. Mara nyingi tu unamkuta mchaga au msukuma Dodoma unamwambia naona umeshapewa uraia wa Dodoma.Mtu anakuwaje raia wa wilaya ya Mkuranga??