Kwanini ndugu wa mwanamke mara zote hukaa kwenye familia kuliko ndugu wa mwanaume?

Umemaliza shule?
 
Mbona unabadilisha maneno? Kuna mahali nimesema nachukia ndugu? Tabia mbaya sana kubadilisha maneno ya mtu na kujitungia yako [emoji4][emoji4] hii ndio wale tunasema umbea ambao watu wanasutwa
We ungeolewa na tajiri ingekuwa balaa!

Una ROHO MBAYA! hapunguzi chochote wala haongezi chochote anayekuja kwako, hata akiishi. Kubali kuwa daraja la mtu kupiga hatua maishani. "TABLE TURNS!" utaona aibu! Maisha ni ya ajabu sana!

Binafsi sinaga neno na ndugu kuja nyumbani kwangu... wenyewe wanaelewa, kila weekend watoto tele kwa Uncle Hohehahe kula pilau na vipande vya mdalasini! Kesho na keshokutwa atakayenikumbuka sawa asiyenikumbuka sawa ila ndugu wasiadhirike na ndugu zao wapo sio Ubinadamu. Badilika ndugu tunaishia kufukiwa tu! Be humble!
 
Huoni huko juu wanaume wanasema muache ujamaa kila mtu akae kwake? Kwahiyo na hao wanaume wana roho za korosho?
Wana ushoga ndani yao! Mwanamume anayejua maisha hayupo hivyo!

Katoka maisha ya umeme huyo. Kila kitu under-control, wali njegere na juisi ya passion na wengi wanaishiaga kuharabikiwa na kuwa na maisha ya kawaida labda warithi ushua. Sisi tuliopambana wenyewe na kuishi huku na kule mpaka tukaona mwanga huwa na nidhamu kidogo.

Binadamu yoyote ni Servant wa mungu tu, wekeni pembeni ego zenu. Tunaishia kufa huzikwi hata na bikini kwa taarifa yako!

BE HUMBLE!
 
Vyovyote vile🤣
 
Sasa hapa umepinga nini?
Kisayansi Mwanamke huinjoy zaidi na hili limethibitishwa na watafiti na Sayansi imekubali.

Afanye na ampendae au lah utamu ni ule ule.
 
Tuache Ujamaa kila mtu akae kwa wazazi wake.

Wazazi ndiyo wenye jukumu la kulea na kusomesha.

Ndoa changa ziachwe zenyewe

NB: Umasikini mbaya sana
Hili la ndoa changa ni vema watu wakalizingatia, watu wanaoana na kuanza kuishi na mashemeji jamani sio poa.
 
Hili la ndoa changa ni vema watu wakalizingatia, watu wanaoana na kuanza kuishi na mashemeji jamani sio poa.
Mazingira yetu ni ya kuinuana.
Kumbukeni halafu hao wanawake hawaachi kusaidia kwao.

Wewe watabaki na vinyongo wakwenu ila sio wakwao.

Kumbukeni hili
 
Nyumba ni ya mwanamke.... yeye ndio anaamua nani aishi kwa amani au kwa tabu kwenye nyumba. Same case na wazazi wa kambo, lini umewahi kusikia baba wa kambo katesa watoto wa mke wake?
 
Wanawake wana gubu sana kwa ndugu za mume.

Wanaume huwa hatuna gubu kwa ndugu za wake

Kiasili wanawake wana roho mbaya sana, wabinafsi na wachoyo

Ukitaka kujua wanawake wana roho mbaya wakati wa uchumba au hata ndani ya ndoa ni hadimu sana kupata mwanamke atakulizia wazazi wako au ndugu zako wa karibu wanaendeleaje na kuguswa na hali zao

Wanawake ni viumbe wa hovyo sana
 
Sasa hapa umepinga nini?
Kisayansi Mwanamke huinjoy zaidi na hili limethibitishwa na watafiti na Sayansi imekubali.

Afanye na ampendae au lah utamu ni ule ule.
Hakuna kitu kama hicho labda useme unalazimisha mawazo yako yawe uhalisia, mwanamke akifanya na mwanaume ambaye hampendi hafaidi chochote na ndio maana mnachunwa hela, kwa mwanamke lile tendo liko kihisia zaidi kuliko kimwili kama ilivyo kwa mwanaume
 
Hakuna kitu kama hicho labda useme unalazimisha mawazo yako yawe uhalisia, mwanamke akifanya na mwanaume ambaye hampendi hafaidi chochote na ndio maana mnachunwa hela, kwa mwanamke lile tendo liko kihisia zaidi kuliko kimwili kama ilivyo kwa mwanaume
Humu si Kuna Wanawake si tuwaite wake wa clarify hii issue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…