Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Tabu ilikuwa kuchapiwa haikuwa siri ya ndani.
 
Wewe jamaa mpuuzi sana

Ina maana kitu kama wewe hauna imani nacho kinakuwa cha uongo.
Kuwa na mashaka ndo chanzo cha maarifa. Hata mimi niliona kuna walakini kwenye hiyo aya baada ya jamaa kusema Winnie na Mandela wa bandia walilishwa maneno ili wakorofishane, kwanini alishwe maneno huyo Mandela bandia wakati anajua mchezo wote?
 
Hawa viumbe wa kike walishandikana toka enzi za Adam na Hawa,na ndo maana Mtume Paulo kaja kutuusis sisi wanaume tuishi nao kwa akili.
 
Basi winnie alikamatika kisawa sawa kwa bw dali mpofu
 
Winnie katuwakilisha vyema. Sisi ndio tuliongea na nyoka (“Shetani”) live.
Mlijua tulijadiliana nini?
 
Huu uongo muwe mnaacha huko Facebook
 
By my experience ukiwa jela huwezi waza mambo ya ngono. Unaeza kaa mwaka mzima bila kuwaza kuhusu kuchakata wachache ndo hugeuka mamende ishu huwa mbovu wanaposhtukiwa wengi wao huuwawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…