Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Single mwenzagu una taka kutengeneza bond ya nini ๐๐ค๐๐Hapo sawa๐ค, maana nilitaka nishangae how which when why
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mwenzagu una taka kutengeneza bond ya nini ๐๐ค๐๐Hapo sawa๐ค, maana nilitaka nishangae how which when why
Bond which when why howSingle mwenzagu una taka kutengeneza bond ya nini ๐๐ค๐๐
Sio leo, ni zamani ๐๐๐Pole Sana, Kama nakuona unavyo shindwa kunywa Hata uji๐คฃ๐๐๐
shida SI tulisomea njia panda, ticha akizubaa.Bond which when why how
Ina umaaa ehhh๐๐, Kama kupunjwa mboga au๐Sio leo, ni zamani ๐๐๐
Keep it upshida SI tulisomea njia panda, ticha akizubaa.
๐Tuna jifunza pande za dunia kwa vitendo๐๐
Yani we acha tu ๐๐Ina umaaa ehhh๐๐, Kama kupunjwa mboga au๐
Kwani Biblia ndio justification ya nini,Yale ni mawazo tu ya watuHata Biblia inasema ishini nasi kwa akili
Ova
I mean no malice to nobodyKeep it up
Hiyo haini fai๐๐๐, Nita kuja kuwa piga Hadi majirani zaangu๐๐Yani we acha tu ๐๐
Unaumia tu mwenyewe ndani kwa ndani hata majirani hawajui ๐๐Hiyo haini fai๐๐๐, Nita kuja kuwa piga Hadi majirani zaangu๐๐
Ni mstari wa ngapi kwenye biblia unasemaga hivyo?Hata Biblia inasema ishini nasi kwa akili
Ova
Mandela sio muasisi wa Taifa la South Africa.Kinachonishangaza unawezaje kumcheat mwamba kama Mandela...Mwanaharakati,mpambanaji,muasisi wa Taifa,the father of the nation[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]How??
Wewe jamaa mpuuzi sanaParagraph ya pili huu ni uongo sasa, khaaah
Sijawahi amini kitu km hiki, bas marehemu wangekua wanaletwa wakiwa wapyaaa.
Hii ni uongoooo.
Acha kuamini porojo za mtaani na movies.Ni kwasababu Mandela aliyeingia jela alikua ndie mume wa Winnie na alifia huko.Mandela aliyetoka hakua yule aliyeingia bali ni clone hivyo ni Winnie ndiye aliyemkataa sio yeye kukataliwa
NB
Inasemekana
Hakika Nelson Mandela alikuwa na busara nyingi na mvumilivu mno.Ukweli ni kwamba Winnie alikuwa na wapenzi wengi kipindi mandela yupo gerezani. miezi kadhaa kabla ya mandela kutolewa alikuwa na uhusiano na Dali Mpofu mwanasheria alietofautiana naye miaka 30 ambaye alikuwa katika timu ya wanasheria wa utetezi
Aliendeleza uhusiano huo hata baada ya Mandela kutoka gerezani, wanachama wa ANC waliokuwa karibu na mandela waliudukua mchezo kama ambavyo walidukua matukio kadhaa ya ulevi wa Winnie
Winnie alikuwa kituko katika kipindi cha miaka miwili baada ya mandela kutoka gerezani. kumfuata kumweleza ukweli
Ilifikiriwa kuwa hatua ya juu sana ya busara kwa wapigania uhuru hao wa ANC
Lakini ulifika wakati ambapo mandela au jamii isingeweza kujidanganya. maelezo kuhusu mapenzi ya Winnie na Mpofu yalifikia sehemu mbaya kiasi cha kuonakana hadharani, nakuandikwa kweye gazeti
Gazeti liliandika barua ya Winnie Mandela kwa Mpofu ikifichua wivu wa wazi kwamba Winnie Mandela alichukia kusikia Mpofu kapata mtoto na mwanamke mwingine
"...Kumbuka ni namna gani kila mara unaniumiza. Naendelea kukueleza kwamba hali ya uhusiano inazidi kuzorota nyumbani wewe haujali sababu umeridhika na huyo mwanamke.
mimi si mpuuzi Dali"
Si hivyo tu. Mandela alivumilia mateso ya unyumba kupita kiasi. Kisa kimoja kilichomuumiza sana kilihusu safari. Winnie alikuwa amepata mwaliko wa kwenda marekani kwa ajili ya shughuli za ANC. alitaka kwenda na Mpofu lakini Mandela alimkatalia.
Winnie alikubali kutosafiri naye.ikaaminika Winnie ameondoka mwenyewe nchini lakini Mandela alipomgia simu Winnie kwenye hoteli aliyokuwa amefikia New York, aliyepokea na kujibu alikuwa Mpofu ikiwa na maana alikuwa amesafiri naye. mandela alikuwa mwanamume aliyefanyiwa uzinifu wa kutisha sana.
Mandela anakaririwa akisema hakuwahi kumtarajia Winnie kuwa mseja wakati alipokuwa gerezani lakini alimtaka awe msiri. pia hakukubali kabisa aendeleze uhusiana na wapenzi wake wa nje baada ya yeye kuachiwa gerezani
Mwisho.Tuishi nao kwa akili๐๐ฅ
Wee Wanawake hamu eleweki, mki kanyagwa Hata na kinda.Unaumia tu mwenyewe ndani kwa ndani hata majirani hawajui ๐๐
Hata nisipoenda jela analiwa tu.swala ni kuondoa hali ya yeye kufanya akiwa guilt na kumpunguzia dhambiHata usipomruhusu ataliwa tu
Muasisi ni nani?Mandela sio muasisi wa Taifa la South Africa.
Vitu vingine sio vya kumwambia kila mtu, unakomaa tu mwenyewe kimyakimya ๐Wee Wanawake hamu eleweki, mki kanyagwa Hata na kinda.
๐Mta taka dunia nzima ijue๐๐๐คฃ๐๐