Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #261
Fafanua kidogo mkuuWanaume msiskip somo la How to be Sigma, Nje na hapo mtateswa sana na hivi viumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua kidogo mkuuWanaume msiskip somo la How to be Sigma, Nje na hapo mtateswa sana na hivi viumbe
Kawaida ndio kwa wiki mara ngapiHapana, kawaida tu mkuu.
Wakali wa hizi show ila unachosema ni sahihi na ndio uhalisiaBado havina uhalosia, haviwezi kukutouch touch kukupa ule msisimko. Ni plastic ile utumie miaka yote hiyo ni kujitesa
Yes for advance level ni history 2 but at higher level than that Kwa wale waliosoma history kuna optional course ya history of South Africa ....Nimekuelewa vyema kabisa mkuu umeeleza vizuri sana. Umenikumbusha boers sijui ilikuwa ni History two?
Ok mkuu kumbe kuna history kubwa zaidi ya advance, sikuwahi kufahamuYes for advance level ni history 2 but at higher level than that Kwa wale waliosoma history kuna optional course ya history of South Africa ....
Ila mwanaume je?Mwanamke Msaliti kwenye mapenzi huwa hasamehewi.
Uongo mtupuu.Lakin inasemekana Mandela alotoka jela alikua ni crone
Paragraph ya pili huu ni uongo sasa, khaaahKuna nadharia kama Mbili tulizisoma wakati tunasoma the history of South Africa HI 271 Chini ya usimamizi WA Mr Frank PhD
From reading Kwanini Mandela alishindwa kupatana na Winnie Mandela ni kwamba wakati Mandela akiwa jela winnie alishirikiana na wanaharati wengine kutumia radical ways kupambana na serekali ya makaburu Kwa kiasi kikubwa hizi njia zilifanikiwa kuwalazimisha Boers kukubali Mandela aachiliwe....
SASA Mandela aliye ingia jela na Mandela aliyetoka jela walikuwa watu wawili tofauti kimtazamo juu ya best approach ya kuleta majority rule in South Africa huyu aliyetoka hakutaka kabisa radical ways au violent ways katika kuendeleza mapambano badala yake alihubiri Amani na umoja na ushirikiano baina ya blacks na Boers kitu ambacho kilimdis appoint saana Winnie Mandela pamoja na wengine wote waliompambania Mandela atoke jela na Uhuru WA watu wengi WA South Africa.... From there zikaanza doubt kwamba huenda huyu sio Mandela Yule aliye ingia jela....kwann abadilike gafla hivi kimtazamo?? Kuna time baadhi ya wanaharakati walimuona Mandela Kama puppet WA white kutokana na huo mtazamo....
Ilifikia hatua tofauti ya kimtazamo WA namna ya kupambana na Boers ilikuwa kubwa kutaka kuigawa ANC Kati ya radicals na wale wenye mismamo WA wastani.... Kutokana na ushawishi mkubwa WA Mandela na Ile public image aliyokuwa amejengewa Mandela na blacks in South Africa as well as support from whites basi mtazamo WA Mandela ukashinda....
Secondly kuna theories zinasema Mandela alikufa gerezani kutokana na kazi ngumu na pia kuumwa so far ilikuwa Siri kubwa kwao Kwani kuna kipindi wasouth Africa waliamua liwalo na liwe walikuwa wakorofi mnoo waliharibu miundombinu na kila kitu cha white ikafikia hatua the only way ya kuwastop ni kumtoa Mandela... Inasemeka SASA Mandela keshakufa na wananchi hawaelewi huko kitaa wameliamsha the only way ni kutafufa Mandela fake..... Na aje kuaatuliza wasouth...MTU pekeee anayeweza kumgundua na kuthibitisha zaidi ni winnie Kwa sababu anamjua Inn and out... Kwa hiyo ukatengenezwa mchoro WA hawa watu wasipatane akitoka jela...ndio Mandela akalishwa maneno as well as Winnie akalishwa maneno...
Mpango ukatiki....
Morning dearSiwezi kabisaaa maana sitobaki salama 😄
Gudu moningii dear
Ndio maana nimeiandika Kama theories..hata Mimi siamini but I have just presented what was written....Paragraph ya pili huu ni uongo sasa, khaaah
Sijawahi amini kitu km hiki, bas marehemu wangekua wanaletwa wakiwa wapyaaa.
Hii ni uongoooo.
Oooh hapo sawa.Ndio maana nimeiandika Kama theories..hata Mimi siamini but I have just presented what was written....
Nmeamka poa kabisa sijui wewe mamy?Morning dear
Umeamka poa?
[emoji23][emoji23][emoji23] hata usijar, ntaweka uzi hapa kuwaalika wana JF wote mje mjumuike.Tupo pamoja engineer
Nasubiri mwaliko WA graduu
Alafu uje tuendelee kuilaumu serikali[emoji23][emoji23][emoji23] hata usijar, ntaweka uzi hapa kuwaalika wana JF wote mje mjumuike.
Lastborn wa JF navaa joho. [emoji91][emoji91]
Ndo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu uje tuendelee kuilaumu serikali
Naaam maana lile chimbo lenu la selfica mmefungiwa sijui chimbo jipya....[emoji23][emoji23][emoji23] hata usijar, ntaweka uzi hapa kuwaalika wana JF wote mje mjumuike.
Lastborn wa JF navaa joho. [emoji91][emoji91]
Jiajiri mkuuNdo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mingi hivyo? Yaan anavyoenda jela na mie natafuta wa kudeveleka nae siku hiyo hiyo.Naaam maana lile chimbo lenu la selfica mmefungiwa sijui chimbo jipya....
Mtoa Uzi unisamehe nipo out of topic. Japo huyu coca hawezi kuvumilia mume akifungwa jela even two months