Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Haina raha banaWakwake peke yake ni mkono 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina raha banaWakwake peke yake ni mkono 😂
Na akisamehewa anaachwaMwanamke Msaliti kwenye mapenzi huwa hasamehewi.
Kivipi mkuuKatiba ...
Mnakuja kimafumbooo..
..
Katibaa...
Pumbavu nyinyi
Inawezekana kwake, wengine tunapenda zaidi kitu halisiYeye kaweza kwahiyo inawezekana sana
Yenye raha ni nini? Chepuka basi na mmoja sio kijijiHaina raha bana
skuizi kuna vifaa kama dildos, vibrators vitakupa huo uhalisia😅Inawezekana kwake, wengine tunapenda zaidi kitu halisi
Unaonekana unapenda sana mchezoInawezekana kwake, wengine tunapenda zaidi kitu halisi
Hi story huwa naielewa Sana, Kutokana na kwamba Kuna movie ya 1960 huko Ina zungumzia clonning.Ni kwasababu Mandela aliyeingia jela alikua ndie mume wa Winnie na alifia huko.Mandela aliyetoka hakua yule aliyeingia bali ni clone hivyo ni Winnie ndiye aliyemkataa sio yeye kukataliwa
NB
Inasemekana
Ki hivyooo...🤣Kivipi mkuu
Hakuna cha hadhi mzee alikuwa anaponda kokoto balaaSidhani! Mi nahis kama alifungwa magereza ya viongozi wenye hadhi maalum na pia alikua na chance ya kukutana na mke wake
Ukorofi huoKi hivyooo...🤣
Imeisha hiyoo..Ukorofi huo
Inaitwaje hiyo albino mweusi?Hi story huwa naielewa Sana, Kutokana na kwamba Kuna movie ya 1960 huko Ina zungumzia clonning.
👉Kulikuwa na operation ya kufanya clonning ya wanyama, so powa
Haina keleleImeisha hiyoo..
ThanksHaina kelele
Hii ya cloning ni nadharia tu au ipo kweli?Ni kwasababu Mandela aliyeingia jela alikua ndie mume wa Winnie na alifia huko.Mandela aliyetoka hakua yule aliyeingia bali ni clone hivyo ni Winnie ndiye aliyemkataa sio yeye kukataliwa
NB
Inasemekana
Bado havina uhalosia, haviwezi kukutouch touch kukupa ule msisimko. Ni plastic ile utumie miaka yote hiyo ni kujitesaskuizi kuna vifaa kama dildos, vibrators vitakupa huo uhalisia😅
Hapana, kawaida tu mkuu.Unaonekana unapenda sana mchezo