Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Nasikia Winnie alikuwa na msimamo mkali kiasi kwamba isingewezekana Mandela aendelee na mipango yake ya upatanishi ambayo ilikuwa sharti la yeye kuachiwa huko gerezani.
Hivyo wakamtege ili wachukiane na kuepusha msimamo wa Winni e mambo yao yafanikiwe. Hujiulizi ilikuwa Mandela arudi mtaani mpole namna Ile mpk kusahau hata kile alichokuea akipigania?
Mtu anatoka gerezani hata ardhi waliyokuwa wanapiga ia kasahau!!!
Winnie angekubali yule na vurugu zake?
 
Ni kwasababu Mandela aliyeingia jela alikua ndie mume wa Winnie na alifia huko.Mandela aliyetoka hakua yule aliyeingia bali ni clone hivyo ni Winnie ndiye aliyemkataa sio yeye kukataliwa

NB
Inasemekana
Hi story huwa naielewa Sana, Kutokana na kwamba Kuna movie ya 1960 huko Ina zungumzia clonning.
👉Kulikuwa na operation ya kufanya clonning ya wanyama, so powa
 
Back
Top Bottom