Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #181
😂 si mliapa mpaka kifo kiwatenganisheKibanee baneee mwisho kiliwe na nyenyere🧷
Naungana na Winnie miaka 27🫣 hapana nehi nehi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 si mliapa mpaka kifo kiwatenganisheKibanee baneee mwisho kiliwe na nyenyere🧷
Naungana na Winnie miaka 27🫣 hapana nehi nehi
Punyeto ama?Solution sio lazima kuchepuka
Lisemwalo lipo mkuu..Kuna Mzulu mmoja tulijenga nae barabara Tinde na kampuni ya Afrika kusini Grinaker LTA.....alinieleza jambo hili...lakini sikumuelewa....wewe ni mtu wa pili baada ya miaka 18
Nasikia alomwambukiza gonorrhea Kali sanaUkweli ni kwamba Winnie alikuwa na wapenzi wengi kipindi mandela yupo gerezani. miezi kadhaa kabla ya mandela kutolewa alikuwa na uhusiano na Dali Mpofu mwanasheria alietofautiana naye miaka 30 ambaye alikuwa katika timu ya wanasheria wa utetezi
Aliendeleza uhusiano huo hata baada ya Mandela kutoka gerezani, wanachama wa ANC waliokuwa karibu na mandela waliudukua mchezo kama ambavyo walidukua matukio kadhaa ya ulevi wa Winnie
Winnie alikuwa kituko katika kipindi cha miaka miwili baada ya mandela kutoka gerezani. kumfuata kumweleza ukweli
Ilifikiriwa kuwa hatua ya juu sana ya busara kwa wapigania uhuru hao wa ANC
Lakini ulifika wakati ambapo mandela au jamii isingeweza kujidanganya. maelezo kuhusu mapenzi ya Winnie na Mpofu yalifikia sehemu mbaya kiasi cha kuonakana hadharani, nakuandikwa kweye gazeti
Gazeti liliandika barua ya Winnie Mandela kwa Mpofu ikifichua wivu wa wazi kwamba Winnie Mandela alichukia kusikia Mpofu kapata mtoto na mwanamke mwingine
"...Kumbuka ni namna gani kila mara unaniumiza. Naendelea kukueleza kwamba hali ya uhusiano inazidi kuzorota nyumbani wewe haujali sababu umeridhika na huyo mwanamke.
mimi si mpuuzi Dali"
Si hivyo tu. Mandela alivumilia mateso ya unyumba kupita kiasi. Kisa kimoja kilichomuumiza sana kilihusu safari. Winnie alikuwa amepata mwaliko wa kwenda marekani kwa ajili ya shughuli za ANC. alitaka kwenda na Mpofu lakini Mandela alimkatalia.
Winnie alikubali kutosafiri naye.ikaaminika Winnie ameondoka mwenyewe nchini lakini Mandela alipomgia simu Winnie kwenye hoteli aliyokuwa amefikia New York, aliyepokea na kujibu alikuwa Mpofu ikiwa na maana alikuwa amesafiri naye. mandela alikuwa mwanamume aliyefanyiwa uzinifu wa kutisha sana.
Mandela anakaririwa akisema hakuwahi kumtarajia Winnie kuwa mseja wakati alipokuwa gerezani lakini alimtaka awe msiri. pia hakukubali kabisa aendeleze uhusiana na wapenzi wake wa nje baada ya yeye kuachiwa gerezani
Mwisho.Tuishi nao kwa akili💔😥
Nehi nehi nehi hapanq🙌😂 si mliapa mpaka kifo kiwatenganishe
Kwamba huyu Mandela alietoka hakuwa yule aliefungwa mwanzoni? Kivipi?Yes, Mandela aliyefungwa siiye aliyetoka jela, inaweza kuwa kweli Nelson Mandela died or killed in prison.
Mission ni lazima Winne ajengwe kiasi cha kumkataa Nelson completely.
Was a mission na walifanikiwa.
But I was liked Winne as much as I liked Princess Diana.
sema 27 yrs na upwiru sio rahisi kuvumiliaNehi nehi nehi hapanq🙌
😂 hii ni uongoNasikia alomwambukiza gonorrhea Kali sana
Ndio maana
Haswaaa!!Tatizo ni kumpenda mtu asiyekupenda...
Inaonyesha Mandela alimpenda Winnie lakini Winnie alimpenda sana Mpofu...
Hiyo nayo ipo pia matibabuPunyeto ama?
🤣🤣🤣Kumbe we mtoto ni mkora kiasi hiki
Demi,nije nikukunje ile mikunjo ya kikatili kwenye battle fieldNi zile ambazo ukimuona mwanaume yoyote yule unaloa
Upwiru unakabaa koo🤣🤣🤣
Hamna mkuu tunaongea uhalisia
Upwiru sio 🤣🤣
Sio kila mtu anaweza na pia haitoi 100% satisfaction. Yaani miaka 27 yote mtu unapiga nyeto hata shetani atakushangaaHiyo nayo ipo pia matibabu
Hapana bana, napenda slowslow. Kuteguana viuno for what!Demi,nije nikukunje ile mikunjo ya kikatili kwenye battle field
Kuna kitu kinaitwa conjugal visit.Hivi maanake mandela kwa miaka 27 aliyokua kifungoni hakupiga mzigo? Aiseeee🤔🤔🤔
Me niko bomba🤗Umemisika pia mamy 😍
Mzima? Habari yako
Babu seyaKuchapiwa hakujawahi kumuacha mtu salama
Miaka 27 unatoka jela unakuta mke wako ana mtoto na mjukuu kabisa😁Kumpenda asiekupenda ni mateso makali sana na mtu wa hivyo hajali chochote.
Ni hatari sana
Sijui ila 27 yrs ni mingi waliowahi kufungwa miaka mingi watupe experience