Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Ni kwasababu Mandela aliyeingia jela alikua ndie mume wa Winnie na alifia huko.Mandela aliyetoka hakua yule aliyeingia bali ni clone hivyo ni Winnie ndiye aliyemkataa sio yeye kukataliwa

NB
Inasemekana
Kuna Mzulu mmoja tulijenga nae barabara Tinde na kampuni ya Afrika kusini Grinaker LTA.....alinieleza jambo hili...lakini sikumuelewa....wewe ni mtu wa pili baada ya miaka 18
 
Kwa ufupi tu...samora macheli aliwahi kumuaga mkewe Graca macheli kuwa yeye [samora] anaweza poteza maisha hivyo akamwambia nikifa uende kwa mandela naamini mandela atakuwa raisi wa RSA...hivyo baada ya samora kutunguliwa graca alikuwa mjane na mandela akawa raisi hivyo unabii ukatimia ....hivyo mandela alikuwa na akiba ya mke ...haikvwa rahisi kumrudia kahaba
Huo ndio urafiki wa kweli. Unamuachia mwanao mke kama ukifa ili aendelee kukuenzi kupitia friendly match. Vijana wa sikuhizi tunakwama wapi kutoa ULISI jamani 🤣🤣🤣
 
Huo ndio urafiki wa kweli. Unamuachia mwanao mke kama ukifa ili aendelee kukuenzi kupitia friendly match. Vijana wa sikuhizi tunakwama wapi kutoa ULISI jamani 🤣🤣🤣
We unaweza kumuachia rafiki yako mkeo ukijua unakufa?
Ukimwambia hvyo alafu ukachelewa kufa atakutanguliza
 
Yes, Mandela aliyefungwa siiye aliyetoka jela, inaweza kuwa kweli Nelson Mandela died or killed in prison.

Mission ni lazima Winne ajengwe kiasi cha kumkataa Nelson completely.

Was a mission na walifanikiwa.

But I was liked Winne as much as I liked Princess Diana.
 
Back
Top Bottom