Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Hiyo inasaidia sana....wengi sana ambao wameoana marafiki ndoa zao hazina mambo mengiKabisa , ningekua mshauri wa ndoa ningeshauri vijana waoane watu ambao tayari ni marafiki .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo inasaidia sana....wengi sana ambao wameoana marafiki ndoa zao hazina mambo mengiKabisa , ningekua mshauri wa ndoa ningeshauri vijana waoane watu ambao tayari ni marafiki .
Kwanini big boss 😃🤔Bahati mbaya ndio hutaacha kuwapiga...😁😁
ndo mlivyo, nikikuambia ueleze utaandika gazeti zima😆Hapana hata sio swala la maokoto😄😄😄😄
Hiyo inasaidia sana....wengi sana ambao wameoana marafiki ndoa zao
SureHiyo inasaidia sana....wengi sana ambao wameoana marafiki ndoa zao hazina mambo mengi
NakaziaTuwe makini ukigundua upati kadri ya unavyowekeza kimbia.
Mapenzi bila urafiki nakufanana lazima kiumane.Hiyo inasaidia sana....wengi sana ambao wameoana marafiki ndoa zao hazina mambo mengi
Wala hata,, nlimwambia usipende kushika simu yangu akawa haelewi nafanyaje sasa🤷♀️🤷♀️...alichokitafuta alikipata😃😃😃ndo mlivyo, nikikuambia ueleze utaandika gazeti zima😆
Kwakweli 😂😂😂Mapenzi bila urafiki nakufanana lazima kiumane.
[emoji23][emoji23]Ni zile ambazo ukimuona mwanaume yoyote yule unaloa
Na wapigania Uhuru hasa waliokuwa na misukosuko mfano wale wengine wa msituni walikuwa wana vitu vimetuliaIla Winnie alikuwa mzuri aisee!
Samahani mkuu, ilikuwaje mpaka akakubali kuhasiwa??Hakuna kazi Wala mateso yyt yanayoweza kusahaulisha uasili wa mwanadamu.
Kamuzu Banda pamoja na kuhasiwa (castration) lakini anakuambia kuna wakati alikuwa akipata kumbukumbu ya kutamani asingefanyiwa hivyo kwa hamu ya kutaka ku Do.
Vinginevyo kwa mtu aliyezaliwa na matatizo ya hali ya juu ya kimaumbile (abnormal)
BTW alijutia sana kitendo chake cha kukubali kuhasiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii story napenda sana kuisikia hiiKwahiyo wewe unaamini kabisa alietoka jela alikua Mandela og?
Ili awe daktari wa malkia alitakiwa akubali kuhasiwa akakubali.Samahani mkuu, ilikuwaje mpaka akakubali kuhasiwa??
Ukianza kucheat kuacha ni ngumu sanaKwanini big boss 😃🤔
Dada, we umetanguliza moyo au bado?ni kweli 😄😄
Winnie alikuwa mzuri sana.Ila Winnie alikuwa mzuri aisee!
Kuna mtu labda atapigwa tukio. Sema inawezekana hata hayupo jf, angeshtuka, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila sijui lakini maama you know what you know.hivi lee hujawahi mpiga mtu tukio kweli,
sema wadada wa jf mnajua kujifanya wastaarabu😂