KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Safi kabisa. Alete picha kudhihirisha tuhuma zake.Una Nongwa Wewe
Tuone Picture Akionyesha Hiyo Unayoita Dharau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa. Alete picha kudhihirisha tuhuma zake.Una Nongwa Wewe
Tuone Picture Akionyesha Hiyo Unayoita Dharau
Naungana na wewe 100% Mkuu, na mbaya zaidi mtu anafanya utani na huu utulivu anadiriki sema tuombe vita ya kirafiki mbaya mbaya zaidi akataja na nchi kabisa, stupid!.Kama kuna tukio hata mimi nimelidharau ni lile la Masanja na mwenzie nani sijui! Ulikuwa ujinga wa miaka 60 ya uhuru.
Dharau ni asili yake kale kamtu.PK ni kijana wetu. Ujasusi kaanza kujifunzia bonge hivyo lazima awe na heshima hawezi kuleta dharau.
Hao ni wazaramo walio zamia Mkuu!! si unajua utanda wazi!!! Mkurya halisi anakula amahemba!! tena kavukavu!! sasa mavi yake Baba yanakata km kisu! hawachambii maji wale! bali wana chamba kwa ncha ya sime!! kama kuchokonoa hivi!!Msubhati....tunazungumzia kupambana sio kukaa na waarabu. Rudi kusoma historia! Nimekaa Mara miaka sita, najua vizuri wakurya kuanzia Mugumu, waliopo Bunda,Tarme...ujanja na ujasiri wao ni kutandika wanawake na kupigana kwa kutumia mapanga.
Mashoga wengi wanatoka huko mikoani.
Acha uoga wewe!!! kwani wewe hivi..........mmm!! nisiseme sana!mbaya zaidi mtu anafanya utani na huu utulivu anadiriki sema tuombe vita ya kirafiki mbaya mbaya zaidi akataja na nchi kabisa, stupid!.
Humo wamejaaa vibakaraka si mchezo,,hawajajua tu.Mkuu darcity ,kongole maana maandishi yako yamemaliza kila kitu.
JWTZ ndiyo jeshi bora zaidi kusini mwa jangwa la Sahara. Anayebisha na abishe.
Kwa sisi tunaowasiliana na watu toka nchi mbalimbali,wanatuambia tuna jeshi la mfano katika Afrika.
Kagame anajua.
Nyusi anajua.
Museveni anajua.
Haikande anajua.
Ramaphosa anajua.
Tsishekedi anajua.
Farmaajo anajua.
Mohamed Abdullahi anajua.
Uhuru anajua.
Salva Kiir anajua.
Chakwera anajua.
Kuangaliwa kwa jicho zuri au baya,kwa dharau au heshima, haviondoi ukweli kwamba JWTZ ni balaa.
Taasisi pekee ambayo bado haijaingiliwa na kunajisiwa Tanzania ambayo Watanzania wanao uwezo wa kujivuna nayo ni JWTZ.
Usiwapangie watu cha kupost kama unaona haikufai ipotezee tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nimecheka sana😂😂😂😂🙌🙌Sasa watu ambao hata akina kingai wanajipigia makofi mpaka kuchoka, ulitegemea pk aangalieje sasa?[emoji1787][emoji1787].
Juzi kati hapa kingai kajipigia atakavyoo.
Mkuuu kuna vitu hua vina shangaza sanaaaa. Ukisikia sifa wanazopewa makomando wetu, halafu uje kusikia kua kuna makomando waliteswa na kingai ubaki kushangaaa tuuu.Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Jeshi lenye nguvu tu ya kupiga raia wasio na silaha,eti nalo linataka heshima!
List nyingine sijui zinaandaliwa watu wakiwa wanagegedana lodge??.Huku Congo ikishika nafasi ya 9?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] akili kichwani
JWTZ sifa kuubwa waliyo nayo, jua kabisa ni kuishi na adui yao!! usidhani hawawajui hao! wana wajua sana. mpaka muda wanao anza kutuma taarifa!!...maajabu hao hao wanawageukaga walio watuma! wanakuwa upande wetu!!Humo wamejaaa vibakaraka si mchezo,,hawajajua tu.
Aahhm.we nae ni popomaa tu! Hujui jk alichomfanyia kagame wakat wa mikwara mfu mzee! Sherehe za uhuru mwishon wakat jk anaondoka fuatilia alisema nn na baada ya hapo fuatilia kagame alisemaje..kama hujui mambo tuliza vikalio chini jomba..Ungeuliza nina maana gani kusema JK alinywea,wewe unaongelea issues za DRC nani kaandika habari hizo?
PK na M7 ni kweli ni majasusi wa USA,do you know what it takes 2b that?
Je unajua kuwa PK alishamtamkia JK kuwa angemshughulikia na JK hakusubutu kumbuguzi PK?
Soma na fanya tafiti utamjua PK,namuongelea PK kama PK sio habari za majeshi yetu yasiyo na meno,kucha kuvunja matofali wakati watu wanapigana kiakili na tech
Uoga silaha MkuuAcha uoga wewe!!! kwani wewe hivi..........mmm!! nisiseme sana!