Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kama kuna tukio hata mimi nimelidharau ni lile la Masanja na mwenzie nani sijui! Ulikuwa ujinga wa miaka 60 ya uhuru.
Naungana na wewe 100% Mkuu, na mbaya zaidi mtu anafanya utani na huu utulivu anadiriki sema tuombe vita ya kirafiki mbaya mbaya zaidi akataja na nchi kabisa, stupid!.

Sijui ni imepangwa iwe ujumbe kwa PK kuwa pale msumbiji tulimuacha tu na sio mwamba kiviiile, yaani ni ujinga ujinga tu tulifanya public
 
Msubhati....tunazungumzia kupambana sio kukaa na waarabu. Rudi kusoma historia! Nimekaa Mara miaka sita, najua vizuri wakurya kuanzia Mugumu, waliopo Bunda,Tarme...ujanja na ujasiri wao ni kutandika wanawake na kupigana kwa kutumia mapanga.

Mashoga wengi wanatoka huko mikoani.
Hao ni wazaramo walio zamia Mkuu!! si unajua utanda wazi!!! Mkurya halisi anakula amahemba!! tena kavukavu!! sasa mavi yake Baba yanakata km kisu! hawachambii maji wale! bali wana chamba kwa ncha ya sime!! kama kuchokonoa hivi!!

na vima yale ni magumuuuu heee!! ukifanya masihara yanakuchana chana!! km mie muongo jaribu kula ugali ya mtama au ulezi uone mziki wake sasa utawezaje kuweka dusherere kwenye kipande sime napita ... ivi hujitaki?? au.......labda kama una govi unataka kutahiriwa!

Hao mashoga ulio waona ni wakuja km walivo wakurya leo kipunguni!...sirikali iliamua kuwachanganya ajili ya ukorofi lkn hao siyo wakurya!!! tena wanafanya wao kwa wao na kwa siri ...

kwanza wakikujua dume unawolewa weye damu yao ni sime tu! kimyakimya! mchana kweupeee!! hawajifichi!! hawajuti! pia jua kuwa kure hata wanwake wana wowa!! zinajulikana Nyumba Ntobhuu! labda uliona hao!
 
Mkuu darcity ,kongole maana maandishi yako yamemaliza kila kitu.
JWTZ ndiyo jeshi bora zaidi kusini mwa jangwa la Sahara. Anayebisha na abishe.
Kwa sisi tunaowasiliana na watu toka nchi mbalimbali,wanatuambia tuna jeshi la mfano katika Afrika.
Kagame anajua.
Nyusi anajua.
Museveni anajua.
Haikande anajua.
Ramaphosa anajua.
Tsishekedi anajua.
Farmaajo anajua.
Mohamed Abdullahi anajua.
Uhuru anajua.
Salva Kiir anajua.
Chakwera anajua.
Kuangaliwa kwa jicho zuri au baya,kwa dharau au heshima, haviondoi ukweli kwamba JWTZ ni balaa.
Taasisi pekee ambayo bado haijaingiliwa na kunajisiwa Tanzania ambayo Watanzania wanao uwezo wa kujivuna nayo ni JWTZ.
Humo wamejaaa vibakaraka si mchezo,,hawajajua tu.
 
Mlikuwa mnacheza komedi tuu mbele ya Mr. Slim. TZ muache ujinga.
 
Sasa watu ambao hata akina kingai wanajipigia makofi mpaka kuchoka, ulitegemea pk aangalieje sasa?[emoji1787][emoji1787].

Juzi kati hapa kingai kajipigia atakavyoo.
Nimecheka sana😂😂😂😂🙌🙌

Jeshi lenye nguvu tu ya kupiga raia wasio na silaha,eti nalo linataka heshima!
 
Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Jeshi lenye nguvu tu ya kupiga raia wasio na silaha,eti nalo linataka heshima!
Mkuuu kuna vitu hua vina shangaza sanaaaa. Ukisikia sifa wanazopewa makomando wetu, halafu uje kusikia kua kuna makomando waliteswa na kingai ubaki kushangaaa tuuu.

Kweli makomando uwapakize kwenye mikokoteni yao tokea moshi hadi dar es salaam, salama salimini!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Humo wamejaaa vibakaraka si mchezo,,hawajajua tu.
JWTZ sifa kuubwa waliyo nayo, jua kabisa ni kuishi na adui yao!! usidhani hawawajui hao! wana wajua sana. mpaka muda wanao anza kutuma taarifa!!...maajabu hao hao wanawageukaga walio watuma! wanakuwa upande wetu!!

Ndo siri kubwa ya Jeshi km huamini!! kaguta huyo hapo ni mganda, muulize!! huyu jamaa mpaka kesho!! humwambii kitu kuhusu Bongo hasa Mama Maria anakatiwa posho mpaka sasa!! Kagame , kabila,kenyata,Tafawa balewa idadi ni ndeefu!

Mfano Gadaffi alikuwa Adui wa TZ lkn kafa anaitaja Bongo, akaomba msamaha waziwazi! na huyo huyo aliyekuwa adui yetu aliyepanga kutuua ajabu na misikiti katujengea uongo jamani??? adui tunamjua na ndg tunamjua!

Hujui kitu ndo nyie mlikimbiaga jeshi! kwanza mweusi tiii!! tena Mbantu atakuwaje adui yako? ok ili iweje?? aduiyako mpaka umri huo humjui? pwiiiiii!!kiriki!!! Membe ya gajuru!! Una akili kweli wewe?? JKT ya wapi ilikufundisha hayo???? ulikuwa kambi gani kwanza..........
 
Ungeuliza nina maana gani kusema JK alinywea,wewe unaongelea issues za DRC nani kaandika habari hizo?

PK na M7 ni kweli ni majasusi wa USA,do you know what it takes 2b that?

Je unajua kuwa PK alishamtamkia JK kuwa angemshughulikia na JK hakusubutu kumbuguzi PK?

Soma na fanya tafiti utamjua PK,namuongelea PK kama PK sio habari za majeshi yetu yasiyo na meno,kucha kuvunja matofali wakati watu wanapigana kiakili na tech
Aahhm.we nae ni popomaa tu! Hujui jk alichomfanyia kagame wakat wa mikwara mfu mzee! Sherehe za uhuru mwishon wakat jk anaondoka fuatilia alisema nn na baada ya hapo fuatilia kagame alisemaje..kama hujui mambo tuliza vikalio chini jomba..
 
Kuna propaganda ya hali ya juu sana kuhusu Kagame na Rwanda yake kuwa wamepiga hatua za maendeleo na sisi watanzania tumeingia mkenge kiasi cha kuleta uzi kama huu.Tuwe waangalifu Rwanda kimaendeleo ni kama mji wa kahama tu.kuifananisha Rwanda na Tanzania kiasi cha kusema Kagame alikuwa analiangalia jeshi kwa dharau sio sahihi.
 
Ndugu yangu hata Iddi Amin Dada alidharau sana JWTZ huyo PK ajaribu mwenzake Uhuru anafahamu ndio maana anacheza mbali
 
Back
Top Bottom