MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,296
G Sam , sasa mgombea wa CDM awapitie hao wajumbe 450 "awapike"Hapana aisee kwa haya ni wazi kuwa Paul Makonda kaonewa sana. Nimejikuta nikipata huruma juu yake maana si kwa faulo hii iliyochezwa.
Yani mfano kwa Shinyanga mjini mtu kakataliwa na wajumbe 456 kapata kura 12 tu eti ndiye amepitishwa? Hapana!
Pia nimegundua kumbe ile hama hama ilikuwa ni makubaliano endelevu.
Makonda umeonewa na nasimama na wewe leo.
Madeko jamani wee madeko, haya wee!!! wa-kichina ndiyo gani mtoto? mbona mnavituko wana JF?Mnasahau kwamba huyo Paul hata elimu yake ni shida
Yeye safari hii atabaki kulea mwanae wa kichina tuu hakuna namna
Mlianza kusema atapitishwa, now mmebadili kibao mnasema atateuliwa!! Wapambe bwana mna mambo sanaSasa mkuu ulitaka Makonda apitishwe alafu Upinzani wapate cha kusemaa yani hii ni Tactical move moja makini sanaaa na Atateuliwaa
Makonda ana mchango mkubwa ndani ya CCM bwashee!Haiwezekani makonda kafanyiwa zengwe
Ova
Ohoo!! Yaani Masele kaachwa, kachukuliwa Katambi?Shinyanga mjini kapigwa chini Masele.
Unachanganya Mafaili mkuu..Ohoo!! Yaani Masele kaachwa, kachukuliwa Katambi?
Huyu Masele alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Pan
Uyo alikua na bifu na Ndugai asingerudi au mmesahau ..Ohoo!! Yaani Masele kaachwa, kachukuliwa Katambi?
Huyu Masele alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Pan
Magufuli hakubaliki ndani wala nje ya ccm, hilo hata yeye mwenyewe analijua.Kwa kuwateua wale waliokataliwa na wajumbe kuwa wagombea,ccm[JIWE] imeweka credibility yake on the line. Msije mkashangaa kuwa wote wakashindwa kwani wajumbe ndio wapiga debe huko kwenye constituencies!!!! Kushindwa kwao kutaonesha kutokubalika kwa JIWE.
Hakuna anayejua Jiwe anampangia cheo gani! kama Jiwe atapitaMakonda hakuwa mjanja. Angejikita Kawe angepita. Ndungulile baba yake alikuwa ni mtu wa system. Hao hawakatwi, huoni akina Nape, January wamesarvive pamoja na ukaidi wao hapo nyuma.
Katambi ni kiongozi mahiri ndio maana hata Mbowe alikuwa anamkumbatia.CCM inaangamia kwa watu wake kukosa maarifa yakiwemo hata maarifa madogo tu ya kusoma alama za nyakati.
Kwa kutompitisha Makonda,naweza sema walau hapa wamesoma alama za nyakati kwani kwa kumpitisha, ingewagharimu CCM nchi nzima mpaka mgombea wao wa uraisi.
Kwa upande wa Katambi, Katambi atakataliwa na wana-CCM ,wapinzani na wasio na vyama pia.
Ndio sababu watu hawana imani ya kupigia kura mbunge au diwani kwa tiketi ya upinzani.Hiyo mass exodus waiofanya kuhamia CCM imetuacha njia panda. Ni vigumu kumjua pandikizi au polical prostitute kwa hali ya kawaida ukisikiza tu hotuba murua lakini kumbe ni mafisi.Unafiki ni mmojawapo ya vigezo kupata uongozi huko CCM.
View attachment 1543085