Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Hizo zinakuwa ni kesi za mzazi ambaye hana utimamu wa akili and ni true zipo.

Nakumbuka kuna mzee mmoja mtu mzima i think wa miaka kama 50+ alishakaa sana mbele. Sasa analea watoto wake kimarekani. Fulu kuwachumu mdomo kwa mdomo. Na wale mabinti zake ukiwaona utajiridhisha kitu kuhusu utimamu wa akili zao. Mama mtu yupo tu hapo nae anacheka cheka kizembe.

Mimi na dada wa kazi pekee ndio tulishikwa na butwaa kushangaa hii imekaaje. Ila wanapesa chafu. Hapo nje zimepaki Mercedes Benz ile ya Wagon na sedan.

Wanacheza wanakunywa wine. Mabinti wanatwerk mbele ya baba yao anawatunza pesa mara awapoke kwa kitambaa mara aamke kuwabaishia. Wanakiss ile ya mwaaaaaaaah kwenye mdomo. Aiseee nikasema huyu mzee asipotomba hawa watoto sijui na mama amekaa anachezea tablet huku anaimba imba na kuongeza sauti ya mziki huku anaongea na mzee kwa English kumkumbushia matukio yao ya ujanani mara na yeye aamke acheze kama mabinti zake.

Aiseeee ni aibu na fedheha.
Atakuwa anawala binti zake hiyo hizo familia ukioa uwaga tabu kweli maana mitoto inakuwa na kibri ukishitaki kwa dingi mkwe anakwambia kama umeshindwa kukaa na mwanangu mrudishe
 
Hizo zinakuwa ni kesi za mzazi ambaye hana utimamu wa akili and ni true zipo.

Nakumbuka kuna mzee mmoja mtu mzima i think wa miaka kama 50+ alishakaa sana mbele. Sasa analea watoto wake kimarekani. Fulu kuwachumu mdomo kwa mdomo. Na wale mabinti zake ukiwaona utajiridhisha kitu kuhusu utimamu wa akili zao. Mama mtu yupo tu hapo nae anacheka cheka kizembe.

Mimi na dada wa kazi pekee ndio tulishikwa na butwaa kushangaa hii imekaaje. Ila wanapesa chafu. Hapo nje zimepaki Mercedes Benz ile ya Wagon na sedan.

Wanacheza wanakunywa wine. Mabinti wanatwerk mbele ya baba yao anawatunza pesa mara awapoke kwa kitambaa mara aamke kuwabaishia. Wanakiss ile ya mwaaaaaaaah kwenye mdomo. Aiseee nikasema huyu mzee asipotomba hawa watoto sijui na mama amekaa anachezea tablet huku anaimba imba na kuongeza sauti ya mziki huku anaongea na mzee kwa English kumkumbushia matukio yao ya ujanani mara na yeye aamke acheze kama mabinti zake.

Aiseeee ni aibu na fedheha.
Kiranga na Nyani Ngabu ni kweli huko usa madingi wanakula binti zao wa kuwazaa wenyewe? Kwa kiranga kwa imani yako unadhani baba kusex na binti yake ni dhmbi/kosa ama so kosa? How and why?
 
Kwa baba na binti yake sio sana ila anko kula mtoto wa dada yake, kaka au mdogo wake hiyo ipo sana.
Waafrika ustaarabu kwa kuzingatia utu ni wachache sana wenye kuheshimu hilo.
 
Juzi Kati kwenye familia yetu tumeshuhudia baba kutoka kimapenzi na bintiye wa kumzaa.
Inasikitisha Sana.
 
Wamama na bodaboda, umenena, ukitaka kujua siri ya mwanamke katika eneo fulani, uliza bodaboda wa eneo hilo.
 
Siku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe

Tatizo ni nini wakuu? Ni tamaa za kingono au kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Mhhh!!!,Jambo la Kawaida wapi?,Ni ushetani tu.
 
Kama Gardner G habash nina wasi wasi nae sana yule jamaa na binti yake yule wa kike mzuri ila hana akili sawa sawa.
Mfano ni kama huo brother Gardina na yule binti yake, mkulima kala mbegu ndiyo hii sasa.
 
Back
Top Bottom