Hizo zinakuwa ni kesi za mzazi ambaye hana utimamu wa akili and ni true zipo.
Nakumbuka kuna mzee mmoja mtu mzima i think wa miaka kama 50+ alishakaa sana mbele. Sasa analea watoto wake kimarekani. Fulu kuwachumu mdomo kwa mdomo. Na wale mabinti zake ukiwaona utajiridhisha kitu kuhusu utimamu wa akili zao. Mama mtu yupo tu hapo nae anacheka cheka kizembe.
Mimi na dada wa kazi pekee ndio tulishikwa na butwaa kushangaa hii imekaaje. Ila wanapesa chafu. Hapo nje zimepaki Mercedes Benz ile ya Wagon na sedan.
Wanacheza wanakunywa wine. Mabinti wanatwerk mbele ya baba yao anawatunza pesa mara awapoke kwa kitambaa mara aamke kuwabaishia. Wanakiss ile ya mwaaaaaaaah kwenye mdomo. Aiseee nikasema huyu mzee asipotomba hawa watoto sijui na mama amekaa anachezea tablet huku anaimba imba na kuongeza sauti ya mziki huku anaongea na mzee kwa English kumkumbushia matukio yao ya ujanani mara na yeye aamke acheze kama mabinti zake.
Aiseeee ni aibu na fedheha.