Kwanini siku hizi wanandoa wengi hawapendi kuvaa pete za ndoa?



Sio wana ndoa
 
Kwa kifupi tu mueleze tunawala na Pete zao za ndoa vidoleni.
 
Mi naona wanawake wanavaa ila wanaume nadra sana labda watu wazima sana.
Wanaume wanataka uhuru wa kuchepuka anytime, mambo ya kuulizwa

"Jamani, yaani wewe unanitongoza na naona Pete ya ndoa kidoleni hapo vipi?" Hatutaki
 
Sio lazima, kikubwa wanandoa kuaminiana.Hayo mengine Ni mbwembwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…