Kwanini siku hizi wanandoa wengi hawapendi kuvaa pete za ndoa?

Kwanini siku hizi wanandoa wengi hawapendi kuvaa pete za ndoa?

Embu ashumu mkeo amemuita Basha ake nyumbani kwako amempikia kamuwekea maji yakuoga afu amekandwa namjuba kitandani kwako ivi hiyo Pete Ina nguvu gani ,,,,ndoa zakimila zinafanya vizuri kitakwimu kuliko zamakanisani hayo mapete niubwege tu
 
Hamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...

Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindwa😀😀
🤣🤣🤣🤣Eti ulijaribu umeshindwa,una uhakika hujiendekezi?
 
Misijawahi kuivua pete ya ndoa, na ninaamini kuvaa pete kwangu ni agano kati ya mimi na mke wangu mpenzi.
Pia kuvaa pete ya ndoa ni utambulisho kwa jamii inayo kuzunguka, ingawa pete haimzuii mwenye roho ya usaliti kufanya yake.
Mmmh hii comment mbona kama unaandika wife kakusimamia shemeji 😂😂😂?maana naona wenzio wote wanadiss tu hapa
 
Hakuna usaliti wowote, Mimi zangu nauzaga kwa sonara nikiwa na pesa ya kuchezea ndio nanunuwa nyingine.

Nikikwama cha kwanza ni Pete na ndio maana nanunuwaga ya pesa ndefu, nikienda kwa sonara sikosi laki nane namaliza shida zangu bila kumnyenyekea mtu anikopeshe pesa.
Yaani unawekaje gold kama asset wakati ikifika tu mkononi mwako ina depreciate? Yaani ununue Pete million mbili uje uuze laki Saba?mahesabu Yako umeyapangaje Mzee baba?
 
Hakuna usaliti wowote, Mimi zangu nauzaga kwa sonara nikiwa na pesa ya kuchezea ndio nanunuwa nyingine.

Nikikwama cha kwanza ni Pete na ndio maana nanunuwaga ya pesa ndefu, nikienda kwa sonara sikosi laki nane namaliza shida zangu bila kumnyenyekea mtu anikopeshe pesa.
😅😅😅 hapa nakuunga mkono, na mie ndio naishi hivi aisee pete ya gold inauzika fumba na kufumbua
 
Weeee nani kakwambia?nenda Kwa sonara Sasa hivi kama hajakubamiza bei.....utaiuza bei ikiwa raw imetokea nayo mgodini,ila ikishaonekana imenakshiwa sonara anaitaka Kwa bei cheeee
 
Mmmh hii comment mbona kama unaandika wife kakusimamia shemeji 😂😂😂?maana naona wenzio wote wanadiss tu hapa
Shem, achana na hao wanapenda kuwakula nalikini hawataki wajulikane kama wanawakula.
Anaepinga hii ujue hataku kuonekana kwenye jamii kwamba tayari ana agano.
Kwanza minaona tangu nivae pete ya ndoa ndio kwanza mbususu zinamiminika upande wangu kwamba "huyu ameoa ndie katulia"🤣🤣
 
Shem, achana na hao wanapenda kuwakula nalikini hawataki wajulikane kama wanawakula.
Anaepinga hii ujue hataku kuonekana kwenye jamii kwamba tayari ana agano.
Kwanza minaona tangu nivae pete ya ndoa ndio kwanza mbususu zinamiminika upande wangu kwamba "huyu ameoa ndie katulia"🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Kumbe wanataka kujifanya hawajaoa eeeh?Wangejua wenye Pete ndio wadada wa siku hizi wanawataka!
 
Wewe unaishi dunia ya peke yako, waume za watu ndio wanapendwa na wadada wa kisasa kwa imani wanajuwa care na wana busara.

Na wake za watu ndio wanawindwa kwa imani kwamba hawana gharama.

Pete haina issue yoyote kwa dunia ya leo zaidi ya urembo kama kuvaa cheni na asset.
Sio kweli, naishi dunia hii hii unayoishi wewe.
Ulioandika hapa ni uongo mtupu ni vijisababu vya wapenda ngono kutovaa pete ya ndoa.
 
Shem, achana na hao wanapenda kuwakula nalikini hawataki wajulikane kama wanawakula.
Anaepinga hii ujue hataku kuonekana kwenye jamii kwamba tayari ana agano.
Kwanza minaona tangu nivae pete ya ndoa ndio kwanza mbususu zinamiminika upande wangu kwamba "huyu ameoa ndie katulia"🤣🤣
Mkuu, kwa hiyo sisi tunaopinga kuvaa pete tuna letu jambo? Tunajificha tusionekane kama tumeoa. Hivi kwa umri wangu nikikutana na mdada nina haja ya kumwambia nimeoa/nina mke?

Binafsi sioni tija ya pete, kiimani kwangu haina nafasi yoyote, nikiamua kucheat pete haiwezi kunizuia.
 
Back
Top Bottom