Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,446
- 3,184
Hahaha baada ya ndoa kuna kunenepa fulani hivi mix kuchokanaIla kipindi cha uchumba na harusi zinatanuliwa na kumwagiwa mafuta mpaka ziingie 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha baada ya ndoa kuna kunenepa fulani hivi mix kuchokanaIla kipindi cha uchumba na harusi zinatanuliwa na kumwagiwa mafuta mpaka ziingie 😄
🤣🤣🤣🤣Eti ulijaribu umeshindwa,una uhakika hujiendekezi?Hamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...
Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindwa😀😀
Mmmh hii comment mbona kama unaandika wife kakusimamia shemeji 😂😂😂?maana naona wenzio wote wanadiss tu hapaMisijawahi kuivua pete ya ndoa, na ninaamini kuvaa pete kwangu ni agano kati ya mimi na mke wangu mpenzi.
Pia kuvaa pete ya ndoa ni utambulisho kwa jamii inayo kuzunguka, ingawa pete haimzuii mwenye roho ya usaliti kufanya yake.
Yaani unawekaje gold kama asset wakati ikifika tu mkononi mwako ina depreciate? Yaani ununue Pete million mbili uje uuze laki Saba?mahesabu Yako umeyapangaje Mzee baba?Hakuna usaliti wowote, Mimi zangu nauzaga kwa sonara nikiwa na pesa ya kuchezea ndio nanunuwa nyingine.
Nikikwama cha kwanza ni Pete na ndio maana nanunuwaga ya pesa ndefu, nikienda kwa sonara sikosi laki nane namaliza shida zangu bila kumnyenyekea mtu anikopeshe pesa.
Gold haishuki thamani hivyo, tena unaweza nunua mia ukaiza mia na tano.. au ukanunua mia ukauza 95Yaani unawekaje gold kama asset wakati ikifika tu mkononi mwako ina depreciate? Yaani ununue Pete million mbili uje uuze laki Saba?mahesabu Yako umeyapangaje Mzee baba?
😅😅😅 hapa nakuunga mkono, na mie ndio naishi hivi aisee pete ya gold inauzika fumba na kufumbuaHakuna usaliti wowote, Mimi zangu nauzaga kwa sonara nikiwa na pesa ya kuchezea ndio nanunuwa nyingine.
Nikikwama cha kwanza ni Pete na ndio maana nanunuwaga ya pesa ndefu, nikienda kwa sonara sikosi laki nane namaliza shida zangu bila kumnyenyekea mtu anikopeshe pesa.
Shem, achana na hao wanapenda kuwakula nalikini hawataki wajulikane kama wanawakula.Mmmh hii comment mbona kama unaandika wife kakusimamia shemeji 😂😂😂?maana naona wenzio wote wanadiss tu hapa
🤣🤣🤣🤣Kumbe wanataka kujifanya hawajaoa eeeh?Wangejua wenye Pete ndio wadada wa siku hizi wanawataka!Shem, achana na hao wanapenda kuwakula nalikini hawataki wajulikane kama wanawakula.
Anaepinga hii ujue hataku kuonekana kwenye jamii kwamba tayari ana agano.
Kwanza minaona tangu nivae pete ya ndoa ndio kwanza mbususu zinamiminika upande wangu kwamba "huyu ameoa ndie katulia"🤣🤣
Sio kweli, naishi dunia hii hii unayoishi wewe.Wewe unaishi dunia ya peke yako, waume za watu ndio wanapendwa na wadada wa kisasa kwa imani wanajuwa care na wana busara.
Na wake za watu ndio wanawindwa kwa imani kwamba hawana gharama.
Pete haina issue yoyote kwa dunia ya leo zaidi ya urembo kama kuvaa cheni na asset.
Pete ni alama tu, sio lazimaNani aliyeweka sheria ya kuvaa pete?
Tena miaka mingi sana Joannah, ila nimegonga mwamba ghafla😀😀, siwezi kuwaachia wanaume wenzangu wafaidi vitu vizuri namna hii.🤣🤣🤣🤣Eti ulijaribu umeshindwa,una uhakika hujiendekezi?
Mkuu, kwa hiyo sisi tunaopinga kuvaa pete tuna letu jambo? Tunajificha tusionekane kama tumeoa. Hivi kwa umri wangu nikikutana na mdada nina haja ya kumwambia nimeoa/nina mke?Shem, achana na hao wanapenda kuwakula nalikini hawataki wajulikane kama wanawakula.
Anaepinga hii ujue hataku kuonekana kwenye jamii kwamba tayari ana agano.
Kwanza minaona tangu nivae pete ya ndoa ndio kwanza mbususu zinamiminika upande wangu kwamba "huyu ameoa ndie katulia"🤣🤣
[emoji28][emoji28][emoji28]Sijawahi kuvaa, za nini kwanza?
Huyo ni jamaa mmoja tu alie kuwa na wivu na mkewe ndio aliongea hivowaungwana wanasema kuvaa pete ya ndoa ni ishara kwamba una akili timamu na hupendi maisha ya uasherati na uzinzi, sijui kama wapo right..