moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
broo mbona unahasiraNimeoa na sitaki kuiambia jamii, kwani lazima nitangazie dunia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
broo mbona unahasiraNimeoa na sitaki kuiambia jamii, kwani lazima nitangazie dunia?
daah kazi tunayoHamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...
Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindwa[emoji3][emoji3]
Hata sijakasirika mdogo wangu, ila ukweli si ndio huo. Sio lazima kuzivaa...broo mbona unahasira
Ni bora kuambiwa ukweli kuliko kudanganywa, uliza vidume wa jf wenye wake, kati ya mia labda watano tu ndio hawajawahi kuchepuka.daah kazi tunayo
sasa yule shemeji yako atakuwa ananifariji tu kumbe anachepukaNi bora kuambiwa ukweli kuliko kudanganywa, uliza vidume wa jf wenye wake, kati ya mia labda watano tu ndio hawajawahi kuchepuka.
Kuna siku nilikuwa nimepiga kinoma, nikaiuza ilikuwa ya gold. Nimerudi homa naulizwa pete iko wapi, nikamuambia nimeuza.. paliwaka.. kwakua na miw mzima wa akili, kawakaa sanaaa.. nikaona hizi fujo, nikabeba begi nikasepa nikaenda kulala hotel, asubuhi nakuta na missed call zaidi ya 50 🤣🤣🤣🤣 hakurudia tena kuniuliza mambo ya peteSijawahi kuvaa, za nini kwanza?
Kwani bwashe anasemaje😀sasa yule shemeji yako atakuwa ananifariji tu kumbe anachepuka
Dah kizazi hiki cha zinaa unadhani kinaweza dhibitiwa kwa kuvaa pete?. Hata Pete uzivae mwili mzima, kama huna hofu ya Mungu aliyesema ndoa na iheshimiwe na watu wote ni kazi bure tena hiyo michepuko ndio iko confortable zaidi na hao wenye Pete kuliko hata wasionazo.
Hahaha, binafsi sioni umuhimu wake. Sikuwahi kuzivaa.Kuna siku nilikuwa nimepiga kinoma, nikaiuza ilikuwa ya gold. Nimerudi homa naulizwa pete iko wapi, nikamuambia nimeuza.. paliwaka.. kwakua na miw mzima wa akili, kawakaa sanaaa.. nikaona hizi fujo, nikabeba begi nikasepa nikaenda kulala hotel, asubuhi nakuta na missed call zaidi ya 50 🤣🤣🤣🤣 hakurudia tena kuniuliza mambo ya pete
Kiroho ( inafaida ) yanakuja mambo ya imani tena. ila sio lazima.. na hadi pia muwe mumevalishana kiimani sasa sie tunavaa kifasheni.. Yangu niliinywa safi na sina mpango wa kuja kuvaa tenaa.. hata wife sijuagi nae kama anavaaa 😅😅Hahaha, binafsi sioni umuhimu wake. Sikuwahi kuzivaa.
Sababu mbalimbali ni zipi!?Kuna jambo linanitatiza sana maana nimefanya research kiasi nikuwa huko mikoani na hata nilipofika huku Dar hili nimeliona sana.
Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanya kwa kiasi toka miaka ya 2000 wanandoa wengi japo sio wote hawaonekani kuwa na pete za ndoa kwenye mikono yao, nilijaribu kuuliza baadhi ya wanandoa upande wa jinsia ya Me wengi walitoa sababu mbambali japo nyingi hazina mashiko na Kwa jinsia ya Ke ni hivyo hivyo.
Nimejaribu kutafakari ila naona kama kuna sababu zingine zenye uzito zaidi ambazo zinawafanya wawe si watu wa kuvaa pete za ndoa japo wanaishi wote kama wanandoa na wengi wakiwa sawa tu.
Hii kitalaamu imekaaje wajuvi mje mnifundishe Je, kuvaa pete ya ndoa ni Ushamba? Au si kitu cha maana kwenye utamaduni wetu sisi waafrika?
Huu mtihani kwanza haujawahi kutungwa.Hamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...
Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindwa😀😀
Asante kwa kuweka nyama kwenye hoja yangu mkuu..Huu mtihani kwanza haujawahi kutungwa.
[emoji122]Misijawahi kuivua pete ya ndoa, na ninaamini kuvaa pete kwangu ni agano kati ya mimi na mke wangu mpenzi.
Pia kuvaa pete ya ndoa ni utambulisho kwa jamii inayo kuzunguka, ingawa pete haimzuii mwenye roho ya usaliti kufanya yake.
[emoji38]kuwa hataweza kunisaliti mileleKwani bwashe anasemaje[emoji3]