Kwanini siku hizi wanandoa wengi hawapendi kuvaa pete za ndoa?

Kwanini siku hizi wanandoa wengi hawapendi kuvaa pete za ndoa?

Hamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...

Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindwa[emoji3][emoji3]
daah kazi tunayo
 
Sijawahi kuvaa, za nini kwanza?
Kuna siku nilikuwa nimepiga kinoma, nikaiuza ilikuwa ya gold. Nimerudi homa naulizwa pete iko wapi, nikamuambia nimeuza.. paliwaka.. kwakua na miw mzima wa akili, kawakaa sanaaa.. nikaona hizi fujo, nikabeba begi nikasepa nikaenda kulala hotel, asubuhi nakuta na missed call zaidi ya 50 🤣🤣🤣🤣 hakurudia tena kuniuliza mambo ya pete
 
Misijawahi kuivua pete ya ndoa, na ninaamini kuvaa pete kwangu ni agano kati ya mimi na mke wangu mpenzi.
Pia kuvaa pete ya ndoa ni utambulisho kwa jamii inayo kuzunguka, ingawa pete haimzuii mwenye roho ya usaliti kufanya yake.
 
Gazeti loote hujaelewa pointi yangu. Kuna wengine wanaishi kindoa kabisa bila wenzi wao kufahamu wana ndoa halali eneo jingine. Unakuta binti anaishi na mwanaume ana kuja kufahamu ana ndoa pale jamaa anapofariki au linapotokea fumanizi
Dah kizazi hiki cha zinaa unadhani kinaweza dhibitiwa kwa kuvaa pete?. Hata Pete uzivae mwili mzima, kama huna hofu ya Mungu aliyesema ndoa na iheshimiwe na watu wote ni kazi bure tena hiyo michepuko ndio iko confortable zaidi na hao wenye Pete kuliko hata wasionazo.
 
Kuna siku nilikuwa nimepiga kinoma, nikaiuza ilikuwa ya gold. Nimerudi homa naulizwa pete iko wapi, nikamuambia nimeuza.. paliwaka.. kwakua na miw mzima wa akili, kawakaa sanaaa.. nikaona hizi fujo, nikabeba begi nikasepa nikaenda kulala hotel, asubuhi nakuta na missed call zaidi ya 50 🤣🤣🤣🤣 hakurudia tena kuniuliza mambo ya pete
Hahaha, binafsi sioni umuhimu wake. Sikuwahi kuzivaa.
 
Sasa mtu km ana saliti na kutoka nje ya mkewe au mumewe kwann anavaa Pete? Si ni ubatilii tyuuh.

Bora hata wasivae tyuuh.
 
Hahaha, binafsi sioni umuhimu wake. Sikuwahi kuzivaa.
Kiroho ( inafaida ) yanakuja mambo ya imani tena. ila sio lazima.. na hadi pia muwe mumevalishana kiimani sasa sie tunavaa kifasheni.. Yangu niliinywa safi na sina mpango wa kuja kuvaa tenaa.. hata wife sijuagi nae kama anavaaa 😅😅
 
Kuna jambo linanitatiza sana maana nimefanya research kiasi nikuwa huko mikoani na hata nilipofika huku Dar hili nimeliona sana.

Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanya kwa kiasi toka miaka ya 2000 wanandoa wengi japo sio wote hawaonekani kuwa na pete za ndoa kwenye mikono yao, nilijaribu kuuliza baadhi ya wanandoa upande wa jinsia ya Me wengi walitoa sababu mbambali japo nyingi hazina mashiko na Kwa jinsia ya Ke ni hivyo hivyo.

Nimejaribu kutafakari ila naona kama kuna sababu zingine zenye uzito zaidi ambazo zinawafanya wawe si watu wa kuvaa pete za ndoa japo wanaishi wote kama wanandoa na wengi wakiwa sawa tu.

Hii kitalaamu imekaaje wajuvi mje mnifundishe Je, kuvaa pete ya ndoa ni Ushamba? Au si kitu cha maana kwenye utamaduni wetu sisi waafrika?
Sababu mbalimbali ni zipi!?

Kwanza me sikuwahi ona wazee wangu hata mababu zangu na majirani wakiwa wamevaa pete za ndoa. Hiyo siku hizi reference yako ni lini!?

Me naona siku hizi ndo watu wanazivaa na huwa nashangaa wanawezaje kuzivaa...
 
Hamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...

Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindwa😀😀
Huu mtihani kwanza haujawahi kutungwa.
 
Back
Top Bottom