Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Uzinzi tu, pete ni kielelezo kua una mahausiano. Na si rahisi mtu kukufata kwa lengo la kukutaka kimahusiano ikiwa kaona una pete kidoleni.
Hata mwanaume kutongoza akiwa na pete kidoleni lazima mtongozwaji kama ana akili timamu atajihoji sana na ni rahisi kuchomoa.
Sasa kwakua wengi uzinzi umewatawala basi huzificha hizo pete au lah hawazivai kabisa ili watongozane kwa uhuru.
Huonagi watu wakifumaniwa au mambo kuharibika huwa wanasema alikua hajui kama ni mume/mke wa mtu, sababu ya kwanza ni kua mchepukaji havai pete kuepuka maswali.
Hata mwanaume kutongoza akiwa na pete kidoleni lazima mtongozwaji kama ana akili timamu atajihoji sana na ni rahisi kuchomoa.
Sasa kwakua wengi uzinzi umewatawala basi huzificha hizo pete au lah hawazivai kabisa ili watongozane kwa uhuru.
Huonagi watu wakifumaniwa au mambo kuharibika huwa wanasema alikua hajui kama ni mume/mke wa mtu, sababu ya kwanza ni kua mchepukaji havai pete kuepuka maswali.