Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Si ungesema tu toka mwanzo kuwa makanisa na taasisi za kikristu zirudishe serikalini ardhi zinazohodhi. Ila kumbuka kuwa ziliwahi kunyang'anywa hata shule na hospitali lakini mwisho wa siku serikali ya Mwinyi ikawaomba wakubali kurudishiwa.Basi ndiyo hawahodhi tena, wanaohodhi zirudishwe serikalini wapewe raia au unasemaje?
Ocean Road Hospital ilijengwa 1895 na Ikulu ilijengwa 1905. Miaka yote hiyo waislam mlishindwa kujipatia meneo mbadala?Zimenyang'anywa na serikali zote, mfano mzuri ni eneo lote la Ikulu na Ocean Road Hospital Dar. Ni eneo la Waislam hilo.
Walijipatia maeneo mbadala walikuwa nayo emngi sana, lakini Uislam uliwafundisha kuchukuwa maeneo wanayoweza kufanyia kazi tu, siyo kuyshodho bils ksxi wskivizia yawe na thamani. Hiyo inaitwa "hoarding" na "hoarding" ni dhambi Kiislam.Ocean Road Hospital ilijengwa 1895 na Ikulu ilijengwa 1905. Miaka yote hiyo waislam mlishindwa kujipatia meneo mbadala?
Amandla...
una chuki sana na wakatoliki, badili tu dini uwe mkristo ili umiliki nao pamoja kama vipi. limemtapeli nani? kati ya makanisa ambayo hayatapeli ni hili. hakuna kiwanja au ardhi waliwahi tapeli mtu, though sikubaliani na imani yao ya kuabudu mariam na wafu imani itakayowapeleka motoni, ila kwa mambo ya duniani hasa hilo unalowasingizia, hakika unawaonea.Hasa Roman Catholic...Hili kanisa linatapeli sana watu.
ukweli halisi ni kwamba, ni wivu tu. kama katoliki huwa wanapenda kujitenga kabisa na jamii,wanaenda kujenga misheni pembeni ya mji kabisa au hata kijijini, wakijenga shule, hospitali na huduma zingine watu wanakuja kujenga karibu yao, panachangamka afu watu wale wale waliowafuata wanaanza kulalamika kuwa kanisa linahodhi ardhi yao. kama sio ujinga na wivu ni nini hii?Yako Madhehebu wakati wanakamata hayo maeneo yanakuwa ni mapori. Wanapofanya uwekezaji wa miundo mbinu muhimu huwa mnawafuata wenyewe, halafu baaade mnabaki kushangaa kama sio kuwaonea kijicho !!!
Usijiulize sana bali unatakiwa kujua ni Akili Kubwa, Mipango Mkakati, Kuangalia Mbele, Mawazo Chanya na Mwisho Utekelezaji !!
Sasa hilo la mwanzo walilipataje maana bila shaka hawakuwa na uwezo wa kulihudumia. Ukweli ni kuwa marais wamisheni wamekuwa wema sana kwa waislamu. Nyerere alinyang'anya shule zote za taasisi za kikristu na kuzifanya kuwa za serikali na hivyo kufanya waislamu waweze kujiunga nazo kirahisi. Mkapa alichuku Chuo cha Tanesco kilichojengwa kwa fedha zetu wote, akawapa waislamu. Chuo hicho mpaka sasa kinasua sua. Labda nacho waombwe wenzetu wa Middle East wakisaidie. Bahati mbaya hao wenzetu hawawekezi sana kwenye elimu. Labda waturuki wanaweza kukisaidia.Walijipatia maeneo mbadala walikuwa nayo emngi sana, lakini Uislam uliwafundisha kuchukuwa maeneo wanayoweza kufanyia kazi tu, siyo kuyshodho bils ksxi wskivizia yawe na thamani. Hiyo inaitwa "hoarding" na "hoarding" ni dhambi Kiislam.
Na hayo amadogo ya kazi tuliyokuwa nayo Nyerere akaja kuwapa vibaraka wake BAKWATA wayasimamie. Ajiib.
Kwani hao raia hawajaona hayo maeneo ambayo taasisi za dini zinahodhiKwani raia wanapovamia maeneo ya jeshi au ardhi za wawekezaji au watu wengine, ardhi sehemu zingine inakuwa imekwisha?
Maskini,aibu naona mimi!Tena kwa kuongezea, taasisi za Kiislam ndiyo zinahodhi maeneo makubwa makubwa kila sehemu Tanzania hii, kuliko taasisi yoyote ya kidini Tanzania, serikali ikazirudishe wapewe wananchi.
Hakuna makanisa ya nje Wala ya ndaniMakanisa ya nje yanamiliki zaidi ya hekta hizo Tanzania. Huelewi hilo?
Hakuna kanisa linaloiywa Roman Catholic Church Dunia."Roman Catholic church" tafsiri yake ni ipi?
Tafuta bango lolote la kanisa Katholiki kama utakuta jina la Roman Catholic ulete kama ushahidi"Roman Catholic church" tafsiri yake ni ipi?
Sina ufahamu kuhusu "Anglican Church" hivyo siwezi kuzungumzia"Anglican Church" maana yake nini?
Mmejenga tumisikiti wala hamna mpango wa kujenda shule wana vyuo wala hospital nyie maeneo ya nini.Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.