Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Wew umenyimwa kuhold jamani
Tanzania ni robo tu ya nchi ndio ina watu wenye shughuli na makazi asilimia 75 ya ardhi yote mfano Tanzania bara ni mapori matupu yasiyotumika kwa chochote iwe kilimo,ufugaji wala makazi

Watu hawataki kuanzisha maisha kwenye mamilioni ya eka za mapori wNakomaa na visehemu vidogo vidogo.vya mijini hasa

Utasikia ohh yule Ms ekari yote hayo mjini au karibu na mji serikali ichukue!!

Ndiko mleta maada naona ndio.mlengo wake

Jiji na miji hutakiwa kupumua pia kwa kuwa na open space undeveloped area.Hizo ni.pua za mji au jiji kupumua na watu kuvuta hewa safi

Haifai jiji au mji kuwa kila eneo ni.mijengo tu

Tuwashukuru hao washika maeneo makubwa na kuweka kibanda tu.Na tuwaombee kwa Mungu wasije nao kupata tamaa ya kuweka majengo .Miji na majiji yayajaa pollution ambayo hakutakuwa na eneo la ku I absorb

Concept ya mleta maana haiko sasa from environmental point of view.Anatak kila eneo aone mi structure ya msjengo ndio maana anasema maeneo kama hayo yako idle!! Hayako Idle yako busy ku safisha hewa ya Ukaa
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Kabla huyawasakama taasisi za dini tafiti kwanza viongozi wa chama na serikali wanamiliki hectres ngapi huko mikoani na wilayani
 
Kama hawaitumii wapewe raia. Kama ambavyo tunashauri hapa kuhusu za kidini.
Tatizo lako una mawazo mafupi sana. Unajua kidogo halafu unaamini unajua sana.

Unaelewa kwa nini UDSM pale wana eneo kubwa, na miaka 10 iliyopita, mtu mwenye upeo mdogo kama wewe angesema mbona wamehodhi eneo kubwa sana wakati hawalitumii?

UDOM wana eneo kubwa sana lisilofanyiwa kitu kwa sasa. Omba na lenyewe wagawiwe wanachi kwa sababu sasa hivi watu wanahangaika kupata viwanja pale Dodoma.

Ninyi ndio wale watu weusi ambao mbaguzi wa rangi, Botha alisema, 'mipango ya mtu mweusi inaishia miaka mitatu'.

Kikwete kama vice chancelor wa UDSM amekataa kulipokea eneo la ekari 40 kule Mbeya kwaajili ya kujenga University kwa sababu ni dogo, na alisema wazi kuwa halina nafasi ya maendelezo kwa siku za mbeleni.

Faizafox, ujue kuwa binadamu tunatofautiana. Wapo ambao mawazo yao yanaishia, tutakula nini leo jioni. Akiwa na jibu la hilo, ana amani kabisa. Lakini kuna watu ambao wanajiuliza, miaka 50 ijayo, watoto wetu wataishije. Wasipokuwa na jibu, watahangaika sana ili wapate majibu.
 
Tatizo lako una mawazo mafupi sana. Unajua kidogo halafu unaamini unajua sana.

Unaelewa kwa nini UDSM pale wana eneo kubwa, na miaka 10 iliyopita, mtu mwenye upeo mdogo kama wewe angesema mbona wamehodhi eneo kubwa sana wakati hawalitumii?

UDOM wana eneo kubwa sana lisilofanyiwa kitu kwa sasa. Omba na lenyewe wagawiwe wanachi kwa sababu sasa hivi watu wanahangaika kupata viwanja pale Dodoma.

Ninyi ndio wale watu weusi ambao mbaguzi wa rangi, Botha alisema, 'mipango ya mtu mweusi inaishia miaka mitatu'.

Kikwete kama vice chancelor wa UDSM amekataa kulipokea eneo la ekari 40 kule Mbeya kwaajili ya kujenga University kwa sababu ni dogo, na alisema wazi kuwa halina nafasi ya maendelezo kwa siku za mbeleni.

Faizafox, ujue kuwa binadamu tunatofautiana. Wapo ambao mawazo yao yanaishia, tutakula nini leo jioni. Akiwa na jibu la hilo, ana amani kabisa. Lakini kuna watu ambao wanajiuliza, miaka 50 ijayo, watoto wetu wataishije. Wasipokuwa na jibu, watahangaika sana ili wapate majibu.
Hujakosea, mimi sina nnachokijuwa, ndiyo maana daima nimebaki kuwa mwanafunzi.


Mwanafalsafa wa Kiarabu anasema (tafsiri ni yangu) "Yule anayejuwa hana kipya cha kujifunza, yule asiyejuwa daima anajifunza mapya na ndiye Maalim (Mwalimu) mzuri".
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Si useme unawalenga Catholic tu? Kwani maeneo mmemaliza?
 
Nchi nyingi za duniani zinamiliki ardhi Tanzania. Hata Tanzania tuna miliki ardhi nchi za nje.

Ni makubaliano ya Kimataifa.
Faizafox, nakupa ushauri. Umri umeenda. Kama ulizembea huko nyuma, wakati huu ni wa kujiweka karibu na Mola wako kuliko kujitenga. Wivu, chuki na roho mbaya ulivyo navyo, ni matunda ya shetani.

Mungu wa kweli ni Mungu wa upendo.

Chuki, wivu na roho mbaya ulivyovibeba ni ushuhuda wa kuwa unamwinua, unamwabudu na kumtukuza shetani, ambaye kwa vyovyote hawezi kukupa ushindi wa kudumu.

Omba sana ubadilike, ili maneno na matendo yako, kila uwapo, yaongeze upendo, umoja na furaha, na siyo kinyume chake.
 
Tatizo lako una mawazo mafupi sana. Unajua kidogo halafu unaamini unajua sana.

Unaelewa kwa nini UDSM pale wana eneo kubwa, na miaka 10 iliyopita, mtu mwenye upeo mdogo kama wewe angesema mbona wamehodhi eneo kubwa sana wakati hawalitumii?

UDOM wana eneo kubwa sana lisilofanyiwa kitu kwa sasa. Omba na lenyewe wagawiwe wanachi kwa sababu sasa hivi watu wanahangaika kupata viwanja pale Dodoma.

Ninyi ndio wale watu weusi ambao mbaguzi wa rangi, Botha alisema, 'mipango ya mtu mweusi inaishia miaka mitatu'.

Kikwete kama vice chancelor wa UDSM amekataa kulipokea eneo la ekari 40 kule Mbeya kwaajili ya kujenga University kwa sababu ni dogo, na alisema wazi kuwa halina nafasi ya maendelezo kwa siku za mbeleni.

Faizafox, ujue kuwa binadamu tunatofautiana. Wapo ambao mawazo yao yanaishia, tutakula nini leo jioni. Akiwa na jibu la hilo, ana amani kabisa. Lakini kuna watu ambao wanajiuliza, miaka 50 ijayo, watoto wetu wataishije. Wasipokuwa na jibu, watahangaika sana ili wapate majibu.
Bibi mpuuzi sana, muache aishie kuwekeza kwenye majungu, chuki, husda, na umbea, huku wengine wanaitazama miaka 50 ijayo..
 
Taasisi za dini zina hela. Tafuta hela

1. Unajua Magufuli amehodhi robo ya ardhi ya Jimbo la Bashungwa?

2. Unafahamu Sumaye alihodhi nusu ya ardhi ya wilaya ya Mvomero? Alinyang'anywa baada ya kuhamia chadema.
3. Unafahamu mama Anne Makindq ana mahekari ya ardhi kule Bagamoyo?
4. Unaelewa kwamba maeneo mengi yanayotwaliwa na serikali kwa fidia kubwa ili kuweka EPZ mkoani Pwani yanamilikiwa na nani?

5. Unajua kuwa rais Samia ana eneo kubwa Sana Bagamoyo?

6. Unaelewa kuwa Bashe ana maekari ya ardhi Morogoro ambayo ameyafanya kuwa ranch ya mifugo yake ?
7. Umelisikia sakata la Mpina hivi karibuni? Amehodhi ardhi ya vijiji 3.
Mhh ndugu umeongeza chumvi sana , ukisema robo ya ardhi jombo la bashungwa sio kweli ni kishamba la ekari kama 500 hivi ambayo ni kawaida , 2. Mvomero ndo nina uhakika kabisa mashamba ya sumaye nadhani hata knye top 30 ya wenye mashamba makubwa hayupo lake halifiki hata ekari 500 nadhani i 300 ila wapo watu wengi maprofesor na wafanyabiashara wenye ekari zaidi ya 1000 kila moja Mvomero. Hao wengine siwajui nisiseme uongo ila mimi namzidi Sumaye Morogoro hilo nina uhakika tofauti yeye kaendeleza lote mimi sehemu kubwa pori, Waarabu na wahindi Morogoro ndo wanaongoz kwa kushika maelfu ya ekari
 
Roman Catholic wamepora eneo la ukoo wetu tuliloliendeleza kwa kupanda miti ya matunda enzi na enzi... Hawa watu ni hovyo Sana.
 
Hii nchi, wengi walioenda shule walienda kusomea ujinga.

Mfano mzuri ni wewe na wengine wengi walio kama wewe. Mna "ujinga wa Kiafrika", anasema Dhahabu Nyeusi. Umemsikiliza Dhahabu nyeusi?
hii nchi gani unaongelea? manake wewe ni mla urojo.
 
Kama ni ruksa taasisi za kidini kuhodhi ardhi popote, Waislam warudishiwe ardhi na majengo yao waliodhulumiwa, bofya chini ujionee 👇🏾

ikulu ni ya wajerumani, ilijengwa na wajerumani. ongea lingine.
 
Bakwata waliuza kila kitu palibakia pale Kinondoni tu

Sema tu Shujaa na Makonda waliingilia Kati na kuleta mfadhili wa kujenga Msikiti wangeshapauza!

Kimbweru!
Hivi lile jengo junction ya morogoro road na kuelekea mnazi mmoja ilirudishwa bakwata

Ova
 
Faiza kwa ligi naona sahv yuko on fire [emoji91]

Dp world waanze haraka sana kazi bandarini tunataka dar iwe kama yaani angalau kama dubai

Ova
 
Back
Top Bottom