Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Faiza unalipwa shi ngapi kwa hii fitna yako unayoieneza humu?
Huoni aibu ktk umri kama wako kuyafanya haya? Hizi chuki unataka ku achieve nini?
Jiulize wanaoikataa Dubai isipewe mkataba wa kuwekeza kuendesha baadhi ya gati za bandari ya Dar ambazo zitatuletea maendeleo kwa muda mfupi. Wanalipwa nini?
 
Kama ni ruksa taasisi za kidini kuhodhi ardhi popote, Waislam warudishiwe ardhi na majengo yao waliodhulumiwa, bofya chini ujionee 👇🏾

Wakristo Wakatoliki ndio ambao wahanga wakubwa wa kadhia hii, majengo yao mengi yalitwaliwa na utawala wa Nyerere hapa nchini. Mali ardhi na majengo ya Waislamu zilizochukuliwa na Serikali ni chache sana ukilinganisha na za Wakristo. Endapo kama ardhi hizo zote zitarejeshwa tena mikononi mwa wamiliku wake wa awali, madhara take ni kwamba WAHANGA wakubwa watakuwa Waislamu kwa sababu waislamu wengi zaidi watakosa shule na vyuo vya kusoma, watakosa huduma za afya kwa kuwa vyuo, shule na hospitali nyingi za Serikali zilizopo hapa nchini ziliporwa kutoka kwa Wakristo nabzitarejrshwa kwa Wakristo mahali ambako Waislamu hawana nafasi ya kuingia. Mfano hai ni Mimi mwenyewe, katija shule zote sita nilizosoma pamoja na Waislamu hapa nchini(Msingi shule 2+Sekondari 4), zote ziliporwa na Nyerere kutoka kwa madhehebu ya dini ua Kikristo, specifically Wakristo Wakatoliki, na baadhi ya Shule hadi leo zipo zimezungukwa na Eneo la kanisa na majengo ya Ofisi za Maaskofu, shule zipo katikati.
 
Wewe si ndiye ulishauri wasio na ardhi Dodoma waende CBD baada ya Mimi kuhoji Ikulu kuhodhi 8473 hectares?

Kulikoni tena? Kwa nini wasiende huko CBD wenye uhitaji wa ardhi?
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
We sema tu wapewe Waarabu wa Dubai maana taasisi za dini zimeshindwa kuendeleza ardhi.
 
Jiulize wanaoikataa Dubai isipewe mkataba wa kuwekeza kuendesha baadhi ya gati za bandari ya Dar ambazo zitatuletea maendeleo kwa muda mfupi. Wanalipwa nini?
FYI:- Maendeleo ya kweli ktk nchi yoyote ile hapa duniani huletwa na Wananchi wa nchi husika, siyo wageni wa kuja kutoka ktk nchi nyingine.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Wanasiasa vigogo wa CCM ndio wanaoongoza kwa kumiliki ardhi wasiyoitumia, mwambie huyo sa100 aanzie chumbani kwake
 
Wakristo Wakatoliki ndio ambao wahanga wakubwa wa kadhia hii, majengo yao mengi yalitwaliwa na utawala wa Nyerere hapa nchini. Mali ardhi na majengo ya Waislamu zilizochukuliwa na Serikali ni chache sana ukilinganisha na za Wakristo. Endapo kama ardhi hizo zote zitarejeshwa tena mikononi mwa wamiliku wake wa awali, madhara take ni kwamba WAHANGA wakubwa watakuwa Waislamu kwa sababu waislamu wengi zaidi watakosa shule na vyuo vya kusoma, watakosa huduma za afya kwa kuwa vyuo, shule na hospitali nyingi za Serikali zilizopo hapa nchini ziliporwa kutoka kwa Wakristo nabzitarejrshwa kwa Wakristo mahali ambako Waislamu hawana nafasi ya kuingia. Mfano hai ni Mimi mwenyewe, katija shule zote sita nilizosoma pamoja na Waislamu hapa nchini(Msingi shule 2+Sekondari 4), zote ziliporwa na Nyerere kutoka kwa madhehebu ya dini ua Kikristo, specifically Wakristo Wakatoliki, na baadhi ya Shule hadi leo zipo zimezungukwa na Eneo la kanisa na majengo ya Ofisi za Maaskofu, shule zipo katikati.
Kuna kanisa lolote la wakatoliki lilichukuliwa?

Kaisome link nilikuyokuwekea. Huelewi unachokiongea.

Unafahamu Nyerere mali zote za Waislam aliwapa taasisi aliyoianzisha ikauza uza mali zote. Unafahamu hilo au haufaham? Jisomee 👇🏾

 
Ni kweli hasa kanisa katoliki wamehodhi sana ardhi. Ingefaa kuangalia wao na madhehebu zingine waliyohodhi ardhi kuliko mahitaji yao halisi wapokonywe na kugawa kwa wananchi wenye uhitaji wa ardhi au kwa shughuli zingine za kijamii.

Kwamba nchi hii ardhi imeisha ama chuki binafsi tu.
 
Kuna kanisa lolite la wajatiliki lilichukuliwa?

Kaisome link nilikuyokuwekea. Huelewi unachokiongea.

Unafahamu Nyerere mali zote za Waislam aliwapa taasisi aliyoianzisha ikauza uza mali zote. Unafahamu hilo au haufaham? Jisomee 👇🏾

BAKWATA ambayo imeuza mali, ardhi, viwanja na majengo ya Waislamu ni taasisi ya Waislamu. BAKWATA haimilikiwi na Wakristo.
BAKWATA ni ya Waislamu na Mufti ni wa Waislamu, mambo na migogoro yenu mtajuana niynyi wenyewe Waislamu kama ambavyo ilivyo kwa Wakristo pia.
 
HATA MISIKITI YENU INATUPIGIA MAKELELE MENGI ASUBUHI MBONA TUMENYAMAZA? KWANI MKISWALI KIMYA KIMYA KUNA SHIDA?

AFU HAKUNA ALIEWAKATAZA WAISLAM KUMIKIKI ARDHI YA KUTOSHA, KUNA MAMBO SIO YA KUULIZA ULIZA, HAYAJENGI YANABOMOA
 
Kwamba nchi hii ardhi imeisha ama chuki binafsi tu.
Jionee juzi mama kafanya nini 👇🏾

 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Hawahodhi

Wanamiliki kihalalali

Wakati wananunua kwa sadaka zetu…. Sisi tulikua bize na majungu
 
Jionee juzi mama kafanya nini [emoji1484]


Hii nchi kama suala la ardhi sio tatizo mapori mengi sana hayana kazi wakachukue huko.
 
HATA MISIKITI YENU INATUPIGIA MAKELELE MENGI ASUBUHI MBONA TUMENYAMAZA? KWANI MKISWALI KIMYA KIMYA KUNA SHIDA?

AFU HAKUNA ALIEWAKATAZA WAISLAM KUMIKIKI ARDHI YA KUTOSHA, KUNA MAMBO SIO YA KUULIZA ULIZA, HAYAJENGI YANABOMOA
Unaitwa ujasali shetani wewe.

Ukiona mtu wito wa kusali aka "adhana" unamkera ujuwe hilo shetani.

Hamjifichi.
 
Hawahodhi

Wanamiliki kihalalali

Wakati wananunua kwa sadaka zetu…. Sisi tulikua bize na majungu
Uhalali gani ardhi zinakaa bila kuendelezwa? Uhalali huo kwa sheria ipi?
 
Kuna nchi jirani inahodhi pale bagamoyo hekari 6000 hizo zimebainika tuu ila inahodhi ardhi nyingi zaidi. Nchi hii jirani laia wake wanahidhi sana ardhi huku kwetu wakati kwao hatauwezi kumiliki. Nashauri tunyang'anye
Kama ni mapori wapewe wamatumbi wafuge
Kama ni mashamba wapewe wamatumbi walime
Kama ni apartment wapewe wamatumbi waishi na wake zao
Hii itaendana vizuri na mpango wa FaizaFoxy wa BBT
Naomba kuwasilisha
Uko sahihi Mtwa Mkulu.
 
Back
Top Bottom