Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
unahitaji heka ngapi ukakosa bibie
 
Waanze serikali wenyewe, mfano chuo cha sokoine Morogoro kina eneo kubwa kati kati ya mji , kwa nini wasiwape raia wakajenga makazi then wao wakaenda maporini huko kuandaa mashamba
 
Jiulize wanaoikataa Dubai isipewe mkataba wa kuwekeza kuendesha baadhi ya gati za bandari ya Dar ambazo zitatuletea maendeleo kwa muda mfupi. Wanalipwa nini?
Hapo ndipo unaponichanganya zaidi. Kwani hii mada inahusu DP World?????????
Aisee pamoja na yote ninayocoment humu sijawahi kuacha kukuheshimu kwa umri na elimu yako ila katika kipindi hiki ukweli ni kuwa umejishusha sana.
Hapa inshu ni maeneo yanayohodhiwa na taasisi za dini. Lakini wewe ukapeleka mawazo ktk DP world. Maana yake umehusisha uwekezaji wa bandari za Tanganyika na masula ya dini.

Ndiyo maana unapowatetea sana waarabu ktk suala la uwekezaji ktk nyuzi zako, haukai ktk maslahi ya taifa kama taifa wewe unawaza dini ya wawekezaji. Hapa ndipo tunapofeli.

Hili suala linatugawa sana.
 
Waanze serikali wenyewe, mfano chuo cha sokoine Morogoro kina eneo kubwa kati kati ya mji , kwa nini wasiwape raia wakajenga makazi then wao wakaenda maporini huko kuandaa mashamba
Pori katikati ya mji ni Muhimu kwa mazingira
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Ingawa hujataka kutaja taasis ipi lkn tunaelewa unawalenga akina nani. Wee bibi udini utakupindisha mdomo!!
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Najua unawalengwa RC.
Bakwata hamjazuiwa kumiliki maeneo, kutwa mnavihujumu vya mjini, fungueni macho muwe na maeneo makubwa mfanye miradi ya kusaidia jamii kama shule na vituo vya afya
 
Najua unawalengwa RC.
Bakwata hamjazuiwa kumiliki maeneo, kutwa mnavihujumu vya mjini, fungueni macho muwe na maeneo makubwa mfanye miradi ya kusaidia jamii kama shule na vituo vya afya
Kwanini?
 
Ingawa hujataka kutaja taasis ipi lkn tunaelewa unawalenga akina nani. Wee bibi udini utakupindisha mdomo!!
"udini" ulete wewe, majnga yanikumbe mimi. Kwanini ufikirie hivyo?

Hii ni honest opinion.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Wewe unadhani Tanganyika ni kama Zanzibar. Zanzibar, ukubwa wa eneo lake lote ni dogo kuliko eneo la wilaya moja tu ya Sengerema, mkoani Mwanza.

Mimi ni eneo la ekari 700, na hata ningetaka ekari 1,000 ningezipata. Kampuni ambayo napakana nayo, ina eneo la ukubwa wa ekari laki 3. Wenzangu wengine kwa karibu wana ekari 1,000 - 3,000.

Hizo taasisi za dini, ebu taja hata moja tu ambayo inamiliki hata ekari 300 sehemu moja.

Huku kwetu Tanganyika tatizo letu siyo ardhi bali matumizi ya ardhi.
 
Tatizo kubwa kwa upande wa taasisi za dini za kwa mleta mada (Faiza Fox) kukosa kumiliki maeneo mengi au ardhi kubwa ni kutokana na ukosefu wa elimu dunia kiasi cha kuwafanya wasiwe na muono wa kuweza kuona mbali kifikra.
Waliosema "elimu ni ufunguo wa maisha" hawakukosea kabisa.
Sure
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Waislamu wakipata kaswende au UTI ni kiguu na njia hadi hospitali za «masista». Mtoto akiumwa ni hospitali za parokia. Dispensary, hospitali, day care, shule, vyuo, vinahitaji maeneo makubwa. Ungeanza na kutufahamisha ni vigezo gani vya kisheria vilivyotumika kuwapa ardhi taasisi za dini, halafu ndiyo ungejenga hoja kulingana na hivyo vigezo.
 
Kanisa katoliki ndo linaongoza kuwa na maeneo makubwa ya ardhi, hii inatokana na mipango yake ya baadae kuchenga vyuo vikuu, mahosptali, makanisa, mashule n.k
 
Kwani raia wanapovamia maeneo ya jeshi au ardhi za wawekezaji au watu wengine, ardhi sehemu zingine inakuwa imekwisha?
Fikra hasi kabisa. Kwa hiyo vibaka wakija nyumbani kwako wakavamia hilo eneo la kijumba chako, tuligawe kwa hao vibaka?
 
Usijifananishe na uchawi wa Ronaldinho, huu wako ni uchawi wa roho mbaya, unayeumizwa na mafanikio ya wengine.
Watu wa namna hiyo, ni uzao wa ibilisi. Ibilisi hataki mafanikio ya mwanadamu. Anafanya kila jitihada awaangushe ili wawe mali ya shetani.
 
Fikra hasi kabisa. Kwa hiyo vibaka wakija nyumbani kwako wakavamia hilo eneo la kijumba chako, tuligawe kwa hao vibaka?
Upo out of topic kabisa.

Ushauri wangu umelenga kutatutuwa taizo la uvamizi wa ardhi.
 
Back
Top Bottom