Leo utalikana kanisa:Hakuna kanisa linaloiywa Roman Catholic Church Dunia.
Kanisa linaitwa Katholiki
Wikipedia siyo relevant source ya taarifa. Niletee hata angalau barua yoyote iliyoandikwa Roman CatholicLeo utalikana kanisa:
Roman Catholic Archdiocese of Dar-es …
The Roman Catholic Archdiocese of Dar-es-Salaam (Latin: Archidioecesis Daressalaamensis) is a Latin Metropolitan archdiocese of the Roman Catholic Church in Tanzania. The archdiocese's motherchurch and seat of its archbishop is St. Joseph's Cathedral. The Archdiocese has been led by Archbishop … See more
Tatizo miji mingi huanzishwa around makanisa yalikojengwa yalikoweka huduma za jamiiHadi ile miti mitaa ya ikulu,karimjee etc walipanda wajerumani
Ova
Nacho wakubalia hawa jamaa hawa hodhi ardhi bila kuiendeleza, Tofauti na Baaz ya ViongozMkiambiwa pangeni mipango ya muda mrefu mnaona ni ujinga.
Mkiambiwa nendeni mpate elimu dunia iliyo bora, mnaona ujinga.
Kwa taarifa yako,taasisi za dini (Hasa Za Kikristo) ndizo zinazoongoza katika kuhudumia Watanzania wengi masikini (hasa kwenye sekta ya afya).
Anataka ardhi ambayo wenzake wameiendeleza kwa miaka 100. Hataki kutafta pori na yeye aliendelezeKwani ardhi imeisha mpaka wapewe. Mbona Tanzania ardhi ipo kubwa tu ni bikra kabisa au wivu wako tu. Sasa tuzungumzia bandari imeuzwa kingese sana
Tatizo baadhi ya wanasisa ni kupenda free rideHadi ile miti mitaa ya ikulu,karimjee etc walipanda wajerumani
Ova
AlhamduliLllah nilisema utalikataa kanis teh teh teh.a, haijapita hata dakika.Wikipedia siyo relevant source ya taarifa. Niletee hata angalau barua yoyote iliyoandikwa Roman Catholic
Wewe unaweza kujiita mzanzibari lakini ni uraia huitwi mzanzibari bali mtanzaniaAlhamduliLllah nilisema utalikataa kanis teh teh teh.a, haijapita hata dakika.
Maana ile page ya wikipedia huwa anaandika FaizaFoxy?
Wewe umeshasema hakuna "Roman Catholic Church", sina haja ya kukubishia. MImi halinihusu.
Kumbe ni hivyo, sasa tatizo nini?Wewe unaweza kujiita mzanzibari lakini ni uraia huitwi mzanzibari bali mtanzania
Angalia picha hapo chini ya sample za kanisa Katholiki hutakitana na Neno RomanView attachment 2674400
Halafu juzi nimesikia wafugaji wanahangaika hawana maeneo ya kulishia mifugo yao.ni ukweli mtupu hasa roman catholic wanaongoza kuwa na maeneo makubwa ambayo ayatumiki,haiwezekani sisi tukosea ardhi wao wajimilikishe maekari na maekari
Pumba wewe. Wenzenu hadi sasa wananua maeneo nyie endeleeni kuoa wake wanne na kusubiri misaada mjengewe misikitiSiyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
Kwa hiyo ndio maana mnatuletea mikataba ya hovyo kisa kanisa wanahodhi maeneo makubwa?Wewe unalijuwa Roman Catholic Church?
We dume jike kwani wapi walisema wamepewa bure.Vipi kanisa la Kirumi lenye makao makuu Italy, Vatikano lihodhi ardhi wakati wa Tanzania wanahangaika kulisha mifugo yao?
Mwambie aje Bugando tu aone Kanda ya ziwa inavyopata huduma wakati Hospitali ya Seko Toure ya serikali ipo hoi!
Pale unapotetea dini baada ya kujib hojanyerere ndio aliyewapa viwanja vikubwa makanisa na kudhulumu mali za waislamu na kuipa NHC ndio maana mpaka leo na mpaka mwisho wa dunia watanzania wanaoneana kila sekta na ufisadi utaendelea dhambi itawatafuna sana, Bugando hospital nyerere aliigawa kwa wagalatia na mshahara unatoka serikalini, nyerere akatuletea bakwata kuuwa uislamu na kuwafunga waislamu na kunyamaza kimya pale wakristo wanahodhi kila kitu bakwata ni wagalatia waliovishwa kazu na kilemba