Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Tokea tarehe 22/04/2020 Rais wetu, John Magufuli, alipofanya kikao maalum kule Chato na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19, tumeshuhudia kimya kizito kwa upande wa mamlaka za utoaji taarifa wa Tanzania Bara ya maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo

Tukumbuke pia katika kikao hicho tulimsikia Rais wetu, akipiga "mkwara" mzito, kuwa haridhishwi na namna taarifa zinazotolewa na wizara ya Afya, kuhusu maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo wa corona

Tulishuhudia pia akifanya "mini reshuffle" kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na kumteua mwingine

Tumeshuhudia waziri wa Afya, Ummy Mawalimu ambaye amekuwa akitupa "updates" za ugonjwa huo, akipata ghafla "kigugumizi" baada ya kikao hicho cha Mheshimiwa Rais kwa kutoweza tena kutupa taarifa zinazohusiana na ugonjwa huo

Ndipo hapo tunapomuuliza waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, nini kimekutokea hadi usitishe kutupa "updates" za maendeleo ya ugonjwa huo nchini?

Tunashuhudua kwenye nchi jirani za Zanzibar, Kenya na nchi nyingine za mbali za Uingereza na Marekani wakitoa "updates" za ugonjwa huo kila siku.

Tunafahamu pia kuwa Taifa la Tanzania limetoka kwenye maombi mazito ya kumlilia Mungu wetu atuepeshie na janga hili la corona.

Ikiwa hakuna maambukizi mapya wala vifo kutokana na maombi tuliyoyafaya kwa Mungu, basi ni vyema waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akawa anatupatia "daily briefing" na sisi wananchi turejeshe utukufu kwa Mungu wetu, kwa kutuondolea janga hili la corona

Kwa kuendelea kukaa kimya kwa serikali, kunatoa mwanya kwa wananchi wasiolitakia mema Taifa letu, kwa kutangaza wao taarifa wanazozijua wao za maambukizi mapya na vifo vinavyotokea nchini kutokana na ugonjwa huo wa corona

Naziomba mamlaka zinazohusika za wizara ya Afya zitujibie utata huu wa suala nyeti sana la ugonjwa wa corona hapa nchini, ili sisi wananchi zituondolee hofu kubwa inayotukabili hivi sasa kuwa wananchi wa Taifa hili, hususani wa Jiji la Dar, wanapukutika kwa wingi sana

Ni lazima pia tuwajulishe watawala wetu kuwa kupewa taarifa za maendeleo ya ugonjwa huu wa corona siyo hisani kwa watawala wetu, bali ni kitu cha LAZIMA kwa wananchi wake

Ninyi si mlisema mnapewa taarifa na Kigogo? Hahahaha


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Tokea tarehe 22/04/2020 Rais wetu, John Magufuli, alipofanya kikao maalum kule Chato na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19, tumeshuhudia kimya kizito kwa upande wa mamlaka za utoaji taarifa wa Tanzania Bara ya maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo

Tukumbuke pia katika kikao hicho tulimsikia Rais wetu, akipiga "mkwara" mzito, kuwa haridhishwi na namna taarifa zinazotolewa na wizara ya Afya, kuhusu maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo wa corona

Tulishuhudia pia akifanya "mini reshuffle" kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na kumteua mwingine

Tumeshuhudia waziri wa Afya, Ummy Mawalimu ambaye amekuwa akitupa "updates" za ugonjwa huo, akipata ghafla "kigugumizi" baada ya kikao hicho cha Mheshimiwa Rais kwa kutoweza tena kutupa taarifa zinazohusiana na ugonjwa huo

Ndipo hapo tunapomuuliza waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, nini kimekutokea hadi usitishe kutupa "updates" za maendeleo ya ugonjwa huo nchini?

Tunashuhudua kwenye nchi jirani za Zanzibar, Kenya na nchi nyingine za mbali za Uingereza na Marekani wakitoa "updates" za ugonjwa huo kila siku.

Tunafahamu pia kuwa Taifa la Tanzania limetoka kwenye maombi mazito ya kumlilia Mungu wetu atuepeshie na janga hili la corona.

Ikiwa hakuna maambukizi mapya wala vifo kutokana na maombi tuliyoyafaya kwa Mungu, basi ni vyema waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akawa anatupatia "daily briefing" na sisi wananchi turejeshe utukufu kwa Mungu wetu, kwa kutuondolea janga hili la corona

Kwa kuendelea kukaa kimya kwa serikali, kunatoa mwanya kwa wananchi wasiolitakia mema Taifa letu, kwa kutangaza wao taarifa wanazozijua wao za maambukizi mapya na vifo vinavyotokea nchini kutokana na ugonjwa huo wa corona

Naziomba mamlaka zinazohusika za wizara ya Afya zitujibie utata huu wa suala nyeti sana la ugonjwa wa corona hapa nchini, ili sisi wananchi zituondolee hofu kubwa inayotukabili hivi sasa kuwa wananchi wa Taifa hili, hususani wa Jiji la Dar, wanapukutika kwa wingi sana

Ni lazima pia tuwajulishe watawala wetu kuwa kupewa taarifa za maendeleo ya ugonjwa huu wa corona siyo hisani kwa watawala wetu, bali ni kitu cha LAZIMA kwa wananchi wake
Ninasikitishwa sana na ukimya wa mamlaka kutotupa updates kama ilivyokuwa hapo awali. Hali hii ya 'covid-19 updates lockdown' ni hatari sana kuliko covid-19 yenyewe. Taarifa kwa wakati inafanya watu kuwa makini zaidi. Tafadhali mamlaka badilikeni. Tusiwe kama China au Korea kaskazini ambao wananchi wao hunyimwa taarifa sahihi kwa wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tokea tarehe 22/04/2020 Rais wetu, John Magufuli, alipofanya kikao maalum kule Chato na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19, tumeshuhudia kimya kizito kwa upande wa mamlaka za utoaji taarifa wa Tanzania Bara ya maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo

Tukumbuke pia katika kikao hicho tulimsikia Rais wetu, akipiga "mkwara" mzito, kuwa haridhishwi na namna taarifa zinazotolewa na wizara ya Afya, kuhusu maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo wa corona

Tulishuhudia pia akifanya "mini reshuffle" kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na kumteua mwingine

Tumeshuhudia waziri wa Afya, Ummy Mawalimu ambaye amekuwa akitupa "updates" za ugonjwa huo, akipata ghafla "kigugumizi" baada ya kikao hicho cha Mheshimiwa Rais kwa kutoweza tena kutupa taarifa zinazohusiana na ugonjwa huo

Ndipo hapo tunapomuuliza waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, nini kimekutokea hadi usitishe kutupa "updates" za maendeleo ya ugonjwa huo nchini?

Tunashuhudua kwenye nchi jirani za Zanzibar, Kenya na nchi nyingine za mbali za Uingereza na Marekani wakitoa "updates" za ugonjwa huo kila siku.

Tunafahamu pia kuwa Taifa la Tanzania limetoka kwenye maombi mazito ya kumlilia Mungu wetu atuepeshie na janga hili la corona.

Ikiwa hakuna maambukizi mapya wala vifo kutokana na maombi tuliyoyafanya kwa Mungu, basi ni vyema waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akawa anatupatia "daily briefing" na sisi wananchi turejeshe utukufu kwa Mungu wetu, kwa kutuondolea janga hili la corona

Kwa kuendelea kukaa kimya kwa serikali, kunatoa mwanya kwa wananchi wasiolitakia mema Taifa letu, kwa kutangaza wao taarifa wanazozijua wao za maambukizi mapya na vifo vinavyotokea nchini kutokana na ugonjwa huo wa corona

Naziomba mamlaka zinazohusika za wizara ya Afya zitujibie utata huu wa suala nyeti sana la ugonjwa wa corona hapa nchini, ili sisi wananchi zituondolee hofu kubwa inayotukabili hivi sasa kuwa wananchi wa Taifa hili, hususani wa Jiji la Dar, kuwa wanapukutika kwa wingi sana

Ni lazima pia tuwajulishe watawala wetu kuwa kupewa taarifa za maendeleo ya ugonjwa huu wa corona siyo hisani kwa watawala wetu, bali ni kitu cha LAZIMA kwa wananchi wake
wewe binafsi hali yako ya Corona ni ipi?
a. umeambukizwa
b. ni mzima
c. uliugua na kupona
d. uliwekwa karantini ukaruhusiwa
e. hujawahi kupimwa corona
f. yote hapo juu siyo sahihi
 
Ni wajibu wetu wananchi kuzipata taarifa hizo, kwa kuwa wanaoambukizwa na ugonjwa huo wa corona ni ndugu na jamaa zetu

Vile vile ni sharti na takwa mojawapo la WHO kuwa ni lazima kuwepo na "transparency" katika kutangaza ugonjwa huo kwa wananchi wote

Tukumbuke pia ule msemo unaosema mficha ficha maradhi mwisho kilio kitamwumbua.........
Pengine na wewe unalojukumu la kumtangaza ndugu yako aliyeambukizwa ili asiambikize wengine kama serikali inaficha. Vinginevyo na wewe unaficha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shetani na wafuasi wake wanataka kusikia mitazamo hasi tu na wala si chanya

Furaha ya wafuasi wa shetani ni kisikia mnaambiwa watu kadhaa wamefariki

Ukitaka kumchanganya shetani na wafuasi wake basi tangaza yaliyo mema huwa hapendi kusikia kabisa watu wa MUNGU wakifurahia

Tusiruhusu shetani na wafuasi wake washinde.
 
Shetani na wafuasi wake wanataka kusikia mitazamo hasi tu na wala si chanya

Furaha ya wafuasi wa shetani ni kisikia mnaambiwa watu kadhaa wamefariki

Ukitaka kumchanganya shetani na wafuasi wake basi tangaza yaliyo mema huwa hapendi kusikia kabisa watu wa MUNGU wakifurahia

Tusiruhusu shetani na wafuasi wake washinde.
Kutangaza tu mazuri haiondoi uhalisia kuwa watu hawafi. Hivi hizo buku 7 mnazopewa kuja kuandika uharo huku, hamjui kuwa ni jasho letu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni nywanoko kabisa hivi unaweza kuandika upuuzi kama huu ukiwa na akili zako timamu

Lakini sikulaumu maana ubongo wako haupo kichwani upo kwenye wowowo yako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutangaza tu mazuri haiondoi uhalisia kuwa watu hawafi. Hivi hizo buku 7 mnazopewa kuja kuandika uharo huku, hamjui kuwa ni jasho letu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupenda kutangaziwa watu kufa ni dalili ya uchawi Kama alivyo seme mleta mada utalilia vp usikie watu wanakufa? Kama si uchawi nini? Ukisikia vifo ndio Corona itakimbia ama kweli wafuasi wa shetani wako wengi
 
Kizazi Cha nyoka ndio kinapenda kusikia/kuona majanga
 
Shetani na wafuasi wake wanataka kusikia mitazamo hasi tu na wala si chanya

Furaha ya wafuasi wa shetani ni kisikia mnaambiwa watu kadhaa wamefariki

Ukitaka kumchanganya shetani na wafuasi wake basi tangaza yaliyo mema huwa hapendi kusikia kabisa watu wa MUNGU wakifurahia

Tusiruhusu shetani na wafuasi wake washinde.
Akili pana tena yenye maono ndo inaweza elewa andiko lako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shetani na wafuasi wake wanataka kusikia mitazamo hasi tu na wala si chanya

Furaha ya wafuasi wa shetani ni kisikia mnaambiwa watu kadhaa wamefariki

Ukitaka kumchanganya shetani na wafuasi wake basi tangaza yaliyo mema huwa hapendi kusikia kabisa watu wa MUNGU wakifurahia

Tusiruhusu shetani na wafuasi wake washinde.
achana na hyo biashara ya kuuza papa ndo maana akili yako inawaza mavi mavi, huyo shetani ni bibi yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom