KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
Hakuna mtu mkabila kama huyo marehemu wenu.Magufuli alikuwa rais wa Tanzania nzima wewe ndiyo unahamasisha ukabila
Hawa warundi wanataka kutuletea matatizo, dawa yao ipo jikoniHiyo picha itawaletea matatizo hatutaki vyama vya kikabila sisi
SukumagangMdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Wanachekewa sana, ifike wakati sasa hawa cockroach kuwaambia imetosha waanze kulamba shubiri kama walivyotesa wenzao kwa miaka 6.Hawa warundi wanataka kutuletea matatizo, dawa yao ipo jikoni
Dawa yao ishaiva! Bado kuinywa tuWanachekewa sana, ifike wakati sasa hawa cockroach kuwaambia imetosha waanze kulamba shubiri kama walivyotesa wenzao kwa miaka 6.
Unajua kuwa unajifurahisha......Baba mwenye legacy yake alitaka kuisafiria 2020, alipoona meli inataka kuzama akatoa amri Kwa kila kikapu Cha kura kichukuliwe na kubadilishwa!! Kama yeye hakujiamini ni nani atathubutu kujiaminisha na legacy inayokaribia kuzama!?
Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Mmeanza kujishutukia,Cdm bana?
😂😂😂Hicho ni chama cha wajane.
Ni kweli, jina la Dkt Magufuli linauzika. Sijui Mama Samia atasemaje maana ana mkana wazi wazi
Magufuli ni mtaj mkubwai kwenye siasa za Tanzania hilo liko wazi.
Magufuli ni mtaji mkubwa sana kwa siasa na wanasiasa wa Tanzania hii na itaenda mpaka kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 au zaidi.
Magufuli ni jina na sera tayari zinazouzika zenyewe.
wapo watakaoitumia vibaya au vizuri brand yake.
Kwa siasa za kipindi hiki ni ngumu kumuacha magufuli.
Binafdi nafikiri vyama vingebakia CCM, CHADEMA NA ACT. HIVYO VIDOGOVIDOGO VYOTE VIJIUNGE NA HIVI VIJIONAVYO VIKUBWA
Chadema kilishakufa, ACT ni chama cha waislamu na kina agenda ya ukabila na udini, CUF udini, TLP cha moshi etc. Kwa ufupi hakuna chama mbadala ya CCM
Sawa.[emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa bado......sera zinaishi.
Nisharekebisha.
Hicho chama kitachukua dola 2025