Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa haya mawazo ataishia kusikojulikana mkuu[emoji16][emoji23]Ataishia wapi mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazo zuri, nashangaa wapuuzi wanamnanga. Ila barrier ya namna hii inataka four lane sio two lane.Safi sana kwa kufikiri vyema mtoa mada. Usifadhaishwe na wapumbavu wanaoamini wanatunza familia kwa mawazo yao bora ilhali hawana uwezo wa kufikiri.
Naamini ulilenga kuwasilisha kitu kama Concrete Barriers, yes inawezakana concrete ni urefu 2 to 4 feat na inaweza kuzuiza magari kuintervene. Mamlaka zifanyie kazi wazo lako.
View attachment 2196430
Kama picha inavyoenesha ukianza kwenda hadi tamati au eneo rasmi la kuingia njia nyingine hii imesaidia sana mataifa mbalimbali kupunguza ajali.
kabisa mkuu Jamaa kaleta wazo badala ya kumchallenge kwa hoja wanasema tu haiwezekani ndiyo nin sasWazo zuri, nashangaa wapuuzi wanamnanga. Ila barrier ya namna hii inataka four lane sio two lane.
Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.
Nimeona njia 9 left na njia 9 right na njia 4 na 2 nyingi sana. Soma reply yako hii vizuri uelewe andiko lako. “Sehemu zenye ulazima”Nadhani huna idea hizo njia mbili zinavyojengwa. Kawaida hizi za highway huwa zinaacha nafasi kubwa katikati. Ukishajenga hivyo huhitaji tena kuweka hizo kuta kwani ni upotevu wa fedha. Kuta zinawekwa sehemu zenye ulazima tu.
Inasikitisha hawa wanatoa maneno ya ajabu ni watu wanaohusika kulijenga taifa. Watu hawajiulizi ni mada zipi za utani na zipi zinahitaji umakini na mawazo halisi.Wazo zuri, nashangaa wapuuzi wanamnanga. Ila barrier ya namna hii inataka four lane sio two lane.
Naona unaanza kuomba ''po'' kiaina. Rudi post yako no 20 uone fyongo uliyoandika. Utaungaje mkono wazo wa kijinga eti barabara zetu tatizo la ajali litatatuliwa kwa kujenga ukuta katikati? Mkibanwa mna-google na kuja na picha za barabara zenye barrier ambazo zimewekwa sehemu muhimu kwa sababu maalaum.Nimeona njia 9 left na njia 9 right na njia 4 na 2 nyingi sana. Soma reply yako hii vizuri uelewe andiko lako. “Sehemu zenye ulazima”
Hamna mtu kasema barabara itoke Kagera hadi Mtwara na concrete barriers.
Wanaobisha hawasemi kuwa kuna sehemu ambazo hazistahili kuwekwa ukuta. Umesoma mtoa mada? Yeye anataka kwa mfano barabara ya Arusha mpaka Dar ibaki hivyo hivyo, na wembamba wake halafu uwekwe ukuta katikati.Watu wengi wanamdhihaki jamaa harafu hawajui kitu na hawana exposure yeyote zipo Nchi nyingi zilizoendelea ukuta mdogo wa Zege iliyoshiba inapangwa katika kati ya bara ili ajali za upande mwingine zisihusishe upande huu mbona kawaida sana hiyo tena unakuta concrete linewekwa kilomita za kutosha tuu ni vile ameongea kitu ambacho watu hawajui kama kipo Duniani...
Google inapotumiwa bila uelewa inakuwa ni kituko. Ona huyu naye ka-google nakupa vipicha vyenye ukuta halafu anafanya conclusion hapo hapo. Nadhani hujaelewa mwanzisha mada kasema nini na wewe hujui unajaribu kutetea nini.Mtoa mada yupo sahihi,Haya mambo yapo wala sio mageni pesa umaskini ndio unafanya tumshangae....
View attachment 2197170
View attachment 2197171
View attachment 2197172
Google bila akili inafanya wengine waonekane vituko. Ona wewe hujajua mwanzisha mada kasema nini na watu wanambshia nini, umeingia google na kuja na kituko chako.Inawezekana mkuu sema jamaa ameshindwa kuelezea ni ukuta wa aina gani huo!.
Huyu jamaa alitaka kusema kingo ngumu za zege ambazo kuna nchi kadhaa hata hapo Kenya zimejengwa kwenye ile High Way ya kuelekea kasikazini, hata mtu wa kutembea kwa miguu huwezi kuruka kwa haraka.
Hii kitu ni nzuri sana tatizo ni mfumo na serikali kuamua kuwekeza kwenye eneo hilo.
View attachment 2196546View attachment 2196547
Inawezekana Ila hela mnayo nchi Kama nchi.ujenzi wa road huwa ni very fucking expensiveUnachekesha sana aise
Jibu ni haiwezekani kujenga ukuta
Jamaa kaongea kitu ambacho wengi wamekitafsiri kwa namna ya Low IQ watu wanadhani jamaa alimaanisha ukuta mrefu lakini sio... pia back to the point barabara zetu hasa za mkoani ni nyembamba sana magari yanapopishana yanaacha nafasi ndogo mnoo kiasi kwamba ile nafasi haitoshi hata kuweka separation blocks anachosema muandishi kinawezekana barabara zikiwa panaWatu wengi wanamdhihaki jamaa harafu hawajui kitu na hawana exposure yeyote zipo Nchi nyingi zilizoendelea ukuta mdogo wa Zege iliyoshiba inapangwa katika kati ya bara ili ajali za upande mwingine zisihusishe upande huu mbona kawaida sana hiyo tena unakuta concrete linewekwa kilomita za kutosha tuu ni vile ameongea kitu ambacho watu hawajui kama kipo Duniani...