namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
OkNi kweli, Ila ni muhimu watu wakaelimika Mara kwa Mara juu ya jambo hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkNi kweli, Ila ni muhimu watu wakaelimika Mara kwa Mara juu ya jambo hili
Hata kwenye kugawana Mali pasu-pasu, mshahara wa mwamke hauwekwi!
Hii kitaalamu inaitwa kufumua mshono.Kipato Tsh 500,000. Mahitaji Tsh 700,000.
Hapo savings inatoka wapi?
Savings inaweza kupatikana iwapo baba na mama wanaoamka asubuhi kwenda kazini wanagawana majukumu... Baba akilipia umeme, mama alipie maji!
Tatizo wanawake wengi siku hizi ni goi goi. Kazi za nyumbani anatakiwa azifanye yeye. Basi kama yeye kaamua kwenda kazini kutafuta basi mama ndio alitakiwa amlipe house girl mshahara kwa kumsaidia majukumu yake lakini kinyume chake unakuta baba ndio anamlipa house girl mshahara. Huu ni unyonyaji.
Kwenye familia za kiafrika, baba ni mtu anayenyonywa sana kwa kuwa yeye ndie anayebebeshwa mzigo mkubwa wa kuendesha familia hata kama mama ana kipato kizuri unakuta contribution yake ni ndogo sana...
Ndio maana nawafurahia waarabu walioamua kuwa 'mama awe ni mtu wa kukaa nyumbani'! It saves cost.
Piga picha mtu anakaa Tegeta, ana mke anafanya kazi Posta, unakuta badala ya mke aweke mafuta kwenye gari yake kwa mshahara anaopata kazini, baba wa watu anajipiga hapo unakuta kiwese kinamgharimu laki tatu. Pia house girl anamgharimu laki.
Unaona! Kama huyu mama angekaa tu nyumbani huyu baba wa watu angeokoa Tsh laki nne! Ya mafuta na ya kumlipa house girl... Hivyo kumfanya awe na savings...
Kwanini ?!!Kupigia bajeti mshahara wa mwanamke huo ni upungufu wa nguvu za kiume
Its high time to man up.Hata kwenye kugawana Mali pasu-pasu, mshahara wa mwamke hauwekwi!
Hii ajabu sana!
Watu wengi wanashindwa kusave kwa sababu ya asilimia zinazowek2a na watoa ushauri wa saving.je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
Unazungumzia walimu au watumishi wote wa umma?maana kuna wengine wanalipwa zaidi ya hapo.Fikiria mtumishi analipwa take home 500,000
Weka mchanganuo wa matumizi utakaobakisha saving
Hivi ndio watumishi wanavyofanya kamchezo ka-savings🐒Fikiria mtumishi analipwa take home 500,000
Weka mchanganuo wa matumizi utakaobakisha saving
Hatari sana...mshahara 50k matumizo 200k...unasave nini kama sio kujidanganya tu.Hivi ndio watumishi wanavyofanya kamchezo ka-savings[emoji205]
View attachment 2197944
Unaongelea wafanyabiashara umewasahau wanasiasa..hao ndio hatari kwa wizi na ufisadi.Za kusave zitatoka Wapi Mzee?? MATAJIRI wenyewe wanafanya dili kubwa wanatajirika ukisimamisha matajiri hao ukajua mambo yao kuanzia ukwepaji kodi..kupata tenda kubwa kwa ujanja na kutotimiza hizo kazi ni wizi sana...ila sasa ukasikia mtumishi kaiba mil 50 utaona magazeti yoote yanaandika
Hana majukumu huyo..anaishi kwa shemeji...kiuno cha dada ndio kinampa hifadhi.Siku ukiwa na kazi urudi jukwaani kutupa mrejesho.
Na hiyo 200k ni matumizi ya kawaida bado halijaja janga ambalo linahitaji 500k ya papo kwa hapoHatari sana...mshahara 50k matumizo 200k...unasave nini kama sio kujidanganya tu.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Mimi naona kusave angalau 5% ya kipato inatosha kwa mtu wa hali ya chini asijitutumue kutaka kusave 20% watakuwa wanatumia daily.Na hiyo 200k ni matumizi ya kawaida bado halijaja janga ambalo linahitaji 500k ya papo kwa hapo
Fikiria mtumishi analipwa take home 500,000
Weka mchanganuo wa matumizi utakaobakisha saving