Kwanini waajiriwa wengi hawana utamaduni wa kufanya savings nchini?

Kwanini waajiriwa wengi hawana utamaduni wa kufanya savings nchini?

Usave 20% wakati NSSF kuna 20% zako kila mwezi?
Mi naona zile hela za NSSF watu wapewe kwa kiwango fulani kwa maendeleo sio zote zisubiri uzeeni
Bonge la point, tatizo wamekula zote, wamejengea magorofa, reli na mradi wa umeme, hamna kitu kule
 
Kipato Tsh 500,000. Mahitaji Tsh 700,000.
Hapo savings inatoka wapi?
Savings inaweza kupatikana iwapo baba na mama wanaoamka asubuhi kwenda kazini wanagawana majukumu... Baba akilipia umeme, mama alipie maji!
Tatizo wanawake wengi siku hizi ni goi goi. Kazi za nyumbani anatakiwa azifanye yeye. Basi kama yeye kaamua kwenda kazini kutafuta basi mama ndio alitakiwa amlipe house girl mshahara kwa kumsaidia majukumu yake lakini kinyume chake unakuta baba ndio anamlipa house girl mshahara. Huu ni unyonyaji.
Kwenye familia za kiafrika, baba ni mtu anayenyonywa sana kwa kuwa yeye ndie anayebebeshwa mzigo mkubwa wa kuendesha familia hata kama mama ana kipato kizuri unakuta contribution yake ni ndogo sana...
Ndio maana nawafurahia waarabu walioamua kuwa 'mama awe ni mtu wa kukaa nyumbani'! It saves cost.
Piga picha mtu anakaa Tegeta, ana mke anafanya kazi Posta, unakuta badala ya mke aweke mafuta kwenye gari yake kwa mshahara anaopata kazini, baba wa watu anajipiga hapo unakuta kiwese kinamgharimu laki tatu. Pia house girl anamgharimu laki.
Unaona! Kama huyu mama angekaa tu nyumbani huyu baba wa watu angeokoa Tsh laki nne! Ya mafuta na ya kumlipa house girl... Hivyo kumfanya awe na savings...
Mkuu sasa unatuletea tamaduni kutoka kwa mabeberu mke na mume kujenga familia kiuchumi pamoja kitu ambacho Africa hakipo jukumu la kujenga familia kiuchumi ni jukumu la mume ndiyo maana ukienda kupeleka posa kwa wazaz wa mwanamke lazima wazaz watamuuliza mtoto anayetaka kukuoa je anajishugulisha na kazi gani na uchumi wake upoje
 
Kipato Tsh 500,000. Mahitaji Tsh 700,000.
Hapo savings inatoka wapi?
Savings inaweza kupatikana iwapo baba na mama wanaoamka asubuhi kwenda kazini wanagawana majukumu... Baba akilipia umeme, mama alipie maji!
Tatizo wanawake wengi siku hizi ni goi goi. Kazi za nyumbani anatakiwa azifanye yeye. Basi kama yeye kaamua kwenda kazini kutafuta basi mama ndio alitakiwa amlipe house girl mshahara kwa kumsaidia majukumu yake lakini kinyume chake unakuta baba ndio anamlipa house girl mshahara. Huu ni unyonyaji.
Kwenye familia za kiafrika, baba ni mtu anayenyonywa sana kwa kuwa yeye ndie anayebebeshwa mzigo mkubwa wa kuendesha familia hata kama mama ana kipato kizuri unakuta contribution yake ni ndogo sana...
Ndio maana nawafurahia waarabu walioamua kuwa 'mama awe ni mtu wa kukaa nyumbani'! It saves cost.
Piga picha mtu anakaa Tegeta, ana mke anafanya kazi Posta, unakuta badala ya mke aweke mafuta kwenye gari yake kwa mshahara anaopata kazini, baba wa watu anajipiga hapo unakuta kiwese kinamgharimu laki tatu. Pia house girl anamgharimu laki.
Unaona! Kama huyu mama angekaa tu nyumbani huyu baba wa watu angeokoa Tsh laki nne! Ya mafuta na ya kumlipa house girl... Hivyo kumfanya awe na savings...
Napia zile PPF na NSSF sio servings ? sera zingependeza kama wafanyakazi walipaswa kukopa kwa Kila mwaka kwa maendeleo yao zinawekezwa kwenye miradi ambayo mchangiaji hunufaiki
 
Napia zile PPF na NSSF sio servings ? sera zingependeza kama wafanyakazi walipaswa kukopa kwa Kila mwaka kwa maendeleo yao zinawekezwa kwenye miradi ambayo mchangiaji hunufaiki
Yeah. Those are compulsory savings...
 
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
Mishahara midogo sana
 
Kipato Tsh 500,000. Mahitaji Tsh 700,000.
Hapo savings inatoka wapi?
Savings inaweza kupatikana iwapo baba na mama wanaoamka asubuhi kwenda kazini wanagawana majukumu... Baba akilipia umeme, mama alipie maji!
Tatizo wanawake wengi siku hizi ni goi goi. Kazi za nyumbani anatakiwa azifanye yeye. Basi kama yeye kaamua kwenda kazini kutafuta basi mama ndio alitakiwa amlipe house girl mshahara kwa kumsaidia majukumu yake lakini kinyume chake unakuta baba ndio anamlipa house girl mshahara. Huu ni unyonyaji.
Kwenye familia za kiafrika, baba ni mtu anayenyonywa sana kwa kuwa yeye ndie anayebebeshwa mzigo mkubwa wa kuendesha familia hata kama mama ana kipato kizuri unakuta contribution yake ni ndogo sana...
Ndio maana nawafurahia waarabu walioamua kuwa 'mama awe ni mtu wa kukaa nyumbani'! It saves cost.
Piga picha mtu anakaa Tegeta, ana mke anafanya kazi Posta, unakuta badala ya mke aweke mafuta kwenye gari yake kwa mshahara anaopata kazini, baba wa watu anajipiga hapo unakuta kiwese kinamgharimu laki tatu. Pia house girl anamgharimu laki.
Unaona! Kama huyu mama angekaa tu nyumbani huyu baba wa watu angeokoa Tsh laki nne! Ya mafuta na ya kumlipa house girl... Hivyo kumfanya awe na savings...
Live within your means, dont act rich
 
Kwenye heading umesema waajiriwa wengi hawafanyii savings zao nchini (Tanzania) lakini haukusema nchi ambayo huwa wanafanyia savings zao.
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
 
Mimi naona kusave angalau 5% ya kipato inatosha kwa mtu wa hali ya chini asijitutumue kutaka kusave 20% watakuwa wanatumia daily.

Mtu anachukua 300,000 kwa mwezi alafu asave 60000 nzima kisa tu ni 20% no asave japo 20000 kwa mwezi inatosha kwa mwaka ana 240000 ambayo ipo tu imetulia.

Watu hawajui siri moja ya saving ili uizoee basi lazima uanze na kuweka kiwango ambacho hautakiwazia hata kidogo kama sio mzoefu.

.mfano mtu Anaweza akawwa anapokea 500,000 kwa mwezi akiweka laki moja kwa mkupuo ghafla kama akiba yaani ataiwazia sana hiyo pesa na hatokaa aisahau,mwezi ujao anaweza ingine na ingine na ingine mwisho wa siku anaenda kuchukua anatumia.

Ila kwenye hiyo 500k wewe weka akiba 10000 tuu tuone kama utaiwazia kwamba inaweza kukutatulia shida yako,haitakuwa akilini mwako kabisa kwamba eti kuna pesa nimeweka akiba itanisaidia nikipata shida ,na utaoionea huruma kuitoa.

Ukiweka 10000 kila mwezi itafikia hatua utataka kuongeza utaweka 20000.

Kitu chochote ambacho hujakizoea kianze taratibu saana kwa kiwango cha hali ya chini ambacho hautaweza kuhisi kama umefanya kitu.

Hata mazoezi anza kukimbia mita 200 badala ya kuanza kukimbia 2km.

Ukianza taratibu na kudumu kidogokidogo basi unatengeneza tabia imara itakayodumu milele na milele.

"Kinachofanywa kwa mkupuo basi kitaachwa kufanywa kwa mkupuo pia"
Hiyo 20% ni mfano tu lakini mmeishupaliwa utafikiri dhima nzima ya ku save inaishia hapo, unaweza ku save hata 10% au hata 50% kulingana na pato lako.
 
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
20% ya 450,000 ukitunza itakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom