Kwanini waajiriwa wengi hawana utamaduni wa kufanya savings nchini?

Kwanini waajiriwa wengi hawana utamaduni wa kufanya savings nchini?

Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
NIMETEMBEA DSM KARIBU MAENEO YOTE NYUMBA NYINGI NA MAENEO MENGI WANAKOISHI MATAJIRI MAENEO YANAYOMILIKIWA NA WAAJIRIWA AU WALIWAHI KUAJIRIWA KUANZIA OYSTERBAY,MASAKI,MIKOCHENI,MBEZI BEACH,KUNDUCHI ,KIJICHI,MBWENI, SASA KAMA HAWAWEKI AKIBA WALIWEZAJE KUISHI HUKO?
 
mtu anayelipwa laki 9 ni sawa na elfu 30 kutwa

mama na baba 200000
pango 150000
chakula 300000
pretrol 100000
saluni, bar, michepuko, fegi, bangi n.k 100000
nguo, viatu, na mpesa kwa ndugu 100000

kila mwezi unabaki na deni la 50000
Hapo kwenye bangi umenichekesha sana, Mimi kwa Mwezi nafuta around bangi ya 15,000/= at maximum
 
Pole sana mtoto ukikua utayaona!!! Hata mm nikiwa mdogo nikimshangaa sana baba yangu kwann hakuwa na gari!!! Nilivyokua na Mimi sina gari naona ugumu baba alioupitia!!!hivyo Hata wewe ukikua utaona kufanya saving ilivyo ngumu
 
Pole sana mtoto ukikua utayaona!!! Hata mm nikiwa mdogo nikimshangaa sana baba yangu kwann hakuwa na gari!!! Nilivyokua na Mimi sina gari naona ugumu baba alioupitia!!!hivyo Hata wewe ukikua utaona kufanya saving ilivyo ngumu
Ukubwa gani, na Nina zaidi ya nusu muongo
 
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
Wazo huenda likawa zuri lakini ujue kuwa mfumo wetu wa maisha ni tofauti na wa Wazungu.

Sisi tunaongozwa na matukio,yani,panapokuwa na tukio ndiyo tunawajibika. Kwahiyo,haijalishi kuna matukio mangapi. Huwezi kubajeti. Hapa muda si mrefu nimepigiwa simu baba mkubwa ni hoi taabani. Ana watoto wake,lakini, wamechoka. Mimi mtoto wa mdogo wake ndiyo naokoa jahazi hapo. Huku nina watoto wa dada ambao baba zao hawajawahi kujitokeza ninawasomesha.

Aidha, nikija afya yangu mwenyewe. Bima ya afya haitoi huduma kwa 💯. Nikiugua hapa gonjwa kuubwa, mshahara huohuo uniuguze.

Hapo mke wangu ni mama wa nyumbani, zigo la home mke na watoto ni mimi.

Mzungu anafanikiwa kwakuwa wao mfumo wao wa maisha ni nyoofu, linear. Mzungu anaweza kujua katika miaka mitano ijayo ,ataishi na watu wangapi. Anajua kabisa mtoto wake X ,ikifika mwaka Y anaondoka home. Sisi fanya tathmini tu, kwa mfano, hili kundi limemaliza vyuo mtaani wanaishi wapi.

Haya ni machache tu, hiyo akiba tunaweka haikai. Ndiyo maana baadhi wanakuwa wabadhirifu. Pesa ya mbongo haiwekeki kwenye bajeti. Wengi wakipata fursa wanajilimbikizia mali ili kukabiliana na majanga yasiyotabirika.Sisi unaweza kuwa mbunge au waziri na bado ukafa masikini. Maana jamii nzima inakutazama wewe.

Ungeshauri tujiongeze labda, kuwa na vyanzo vingine vya mapato.Hii inasaidia sana.
 
Research topic nzuri hii ... Ila usiweke leading questions
 
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
Kwa hiyo unatuona kama hatuna akili au?
Hivi unadhani mishahara inatosha mpaka kufikia hatua ya kuweka akiba? Mtu wa daraja C.. anapokea 400000,hapo ni hana mkopo, hivi huyu mtu anaweza kuweka akiba?
 
Kwa hiyo unatuona kama hatuna akili au?
Hivi unadhani mishahara inatosha mpaka kufikia hatua ya kuweka akiba? Mtu wa daraja C.. anapokea 400000,hapo ni hana mkopo, hivi huyu mtu anaweza kuweka akiba?
Co ugomvi ndugu, ni wazo. Hiyo ni changamoto nimeiona hata kwangu
 
Watu wengi wanashindwa kusave kwa sababu ya asilimia zinazowek2a na watoa ushauri wa saving.


Mtu anapokea mshahara 400,000 alafu anaambiwa asave 20% yaani 80000 nzima wakati huo ana majukumu kibao yanamsubiri.

Tuangale mtu kama huyu wa kipato hiko anaweza akasave asilimia tano inatosha kwa sababu hakuna akiba ndogo kamwe.

Mtu anapokea laki nne sio mbaya akaweka pembeni 20000 ambayo hatoigusa kwa lolote,lakini akiiweka 80000 akilini mwake itakuwa anasema ipo 80000 ipo 80000 ipo 80000 ipo 80000 yaani akipata shida kidogo tu anarudi kwenye 80000 anaanza kuitawanya.

aatleast ukiweka 20000 au hata 15000 inatosha sana hakuna akiba ndogo kamwe wakuu.

usifuate ushauri wa watu wanaosema weka 20% au 30% wakati hawajui unaishi vipi na unapokea pesa ngapi na una majukumu gani.

Hakikisha unaweza akiaba hata kama ni 5000 kwa mwezi hiyo ni kubwa na ni yako.

Haya mambo ya asilimia tusiyazingatie sana..
Akiba ya kimasikini haikai benk mkuu.Weka genge la nyanya au mkaa au matunda au kiduka n.k hapo utakuwa umefanya saving..
 
Mimi naona kusave angalau 5% ya kipato inatosha kwa mtu wa hali ya chini asijitutumue kutaka kusave 20% watakuwa wanatumia daily.

Mtu anachukua 300,000 kwa mwezi alafu asave 60000 nzima kisa tu ni 20% no asave japo 20000 kwa mwezi inatosha kwa mwaka ana 240000 ambayo ipo tu imetulia.

Watu hawajui siri moja ya saving ili uizoee basi lazima uanze na kuweka kiwango ambacho hautakiwazia hata kidogo kama sio mzoefu.

.mfano mtu Anaweza akawwa anapokea 500,000 kwa mwezi akiweka laki moja kwa mkupuo ghafla kama akiba yaani ataiwazia sana hiyo pesa na hatokaa aisahau,mwezi ujao anaweza ingine na ingine na ingine mwisho wa siku anaenda kuchukua anatumia.

Ila kwenye hiyo 500k wewe weka akiba 10000 tuu tuone kama utaiwazia kwamba inaweza kukutatulia shida yako,haitakuwa akilini mwako kabisa kwamba eti kuna pesa nimeweka akiba itanisaidia nikipata shida ,na utaoionea huruma kuitoa.

Ukiweka 10000 kila mwezi itafikia hatua utataka kuongeza utaweka 20000.

Kitu chochote ambacho hujakizoea kianze taratibu saana kwa kiwango cha hali ya chini ambacho hautaweza kuhisi kama umefanya kitu.

Hata mazoezi anza kukimbia mita 200 badala ya kuanza kukimbia 2km.

Ukianza taratibu na kudumu kidogokidogo basi unatengeneza tabia imara itakayodumu milele na milele.

"Kinachofanywa kwa mkupuo basi kitaachwa kufanywa kwa mkupuo pia"
Mbunge aliwakumbusha kuwa wafanya kazi wanakopa mpaka SONGESHA!Sasa hiyo 10000 hatakuwanayo?.
 
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
Sio kwamba watu wana bweteka. U can only save if there is surplus.
Mshahara wenyewe kumaliza mwezi shida mpka ukope, hiyo saving utaipataje?
 
Za kusave zitatoka Wapi Mzee?? MATAJIRI wenyewe wanafanya dili kubwa wanatajirika ukisimamisha matajiri hao ukajua mambo yao kuanzia ukwepaji kodi..kupata tenda kubwa kwa ujanja na kutotimiza hizo kazi ni wizi sana...ila sasa ukasikia mtumishi kaiba mil 50 utaona magazeti yoote yanaandika
Bado magendo,bidhaa feki na biashara zingine haramu,lkn yule mtu anaetafute kihalali kamwe hawezi toboa

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kufanya tathmini na nimegundua watanzania hasa hawa waajiriwa wa Serikalini hawana tamaduni za kutunza pesa, Wazungu wanaita savings.

Ni vema watanzania wengi tukaanza kupiga mfumo wa Wazungu kuwa unapopata kamshahara kako basi angalau asilimia 20 itunze, halafu ndo uanze matumizi kwa hiyo 80 iliyobaki. Hali hii ya kutotunza pesa imekuwa mbaya kiasi kwamba mtu amefanya kazi miaka 10 lakini akisimamishwa kazi Mwezi mmoja anageuka kuwa omba omba, na anashindwa kuendesha familia hata kwa miezi miwili Bali ni mizinga tu.

Hali hii pia inachangiwa na ugonjwa unaoitwa spending/shopping addiction yaani ukipata pesa unakuja na kimuhemuhe Cha kuzitumia. Pia kutunza pesa kwa waajiriwa ni changamoto wengi wakisema extended family zinawanyonya sana kiasi kwamba huwezi kutunza shilingi kumi.

Wafanyabiashara Tanzania kwenye hili wanajitahidi sana, na wengi ni watunza pesa wazuri kuliko waajiriwa.
Na Hali ya uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa Mwezi unafanya watu kubweteka.

Ukitunza pesa itakusaidia wakati wa emergency na kukuondolea aibu ya kuomba omba pindi unapopata na shida.

Mnaonaje wadau, je ni muhimu kutunza angalau asilimia 20 ya mshahara wako wa Mwezi au ni kuzitandika zote?
Wazo Bora kabisa,umenena vyema kabisa mfano halisia ktk halmashaurinnayofanyia KAZI ,mama mmoja amebakisha miaka5 asitaafu kutoka ktk utumishi wake ,alifukuzwa KAZI,lkn hakua amesave kitu chochote wala hakuna kitegauchumi kokote Kule,kwasasa anaishi maisha yafedheha nakulima kmaa mlalahoi mwingine tu.umetutoa gizani nakutukumbusha Jambo la maana Sana.
 
Kusave ni kujinyima, Sasa watumishi wengi hawako tayari kujinyima ili wawe na akiba kwasababu wana uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi, tofauti na wafanyabiashara ambao asilimia kubwa ni wabahili
 
Back
Top Bottom