Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

warab kuoa weus syo weusi kuoa warab
 
Kwann kweny din kuwekw vgezo kama ivyo?
 
Pia dini inaruhusu vip mtu kuoa malaya mfano naona watu maarufu hutumia dini na kufungishwa ndoa na malaya mfano yule ustadh mganga wa kienyeji alooa Diva Malinzi
 
ndio maana hao watoto wa rangi nkiwaotea huwa napita na nyum pia ili kuwakomoa [emoji57]
 
Mwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?
Unatafuta ugomvi na Waarabu weusi wa kwa mtogole wewe...[emoji6]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote
Ilo ilikuwa zuga kwa waafrika kunyonywa viZuri na kilaini kabisa.
Ungejua mwafrika unavyodharaulika na hao jamaa wote wenye ngozi za nguruwe usingedhubutu kusema Ilo nakuambia.
Afrika tunajulikana kuwa ndio si unit ya umasikini,akili ndogo,maradhi,ujinga,wapenda anasa na ngono na miziki yaani tunapenda anasa kuliko kazi ama kuwaza kizazi chetu kitaishi vipi incoming 100/200 yrs to come.yaani sie Ni mbususu kwenda mbele na pia magonjwa yetu uchafu wetu udumavu wa akili Ni wetu yaani Mambo yote mabaya Ni ya kwetu ,tunadharaulika mno nje ungejua Basi. Yaani mfano Black uoe Ile white elite society Ni never. Kuna mkenya walipendana na binti wa Bill Clinton mbona mapema Kijana alirudishwa kwao Kenya ili USA isije ikachafua damu ama DNA.
 
Pia dini inaruhusu vip mtu kuoa malaya mfano naona watu maarufu hutumia dini na kufungishwa ndoa na malaya mfano yule ustadh mganga wa kienyeji alooa Diva Malinzi
Sasa umeshamwita ustaadh mganga wa kienyeji hiyo ni sawa na kusema ustaadh Padri
 
[emoji16][emoji16]kiuwel hawa jamaa ni sengez.com
 
Hiyo siyo ishu, ishu ni kwa nini wao hawalili na kulazimisha kuoa kwenu kama wewe unavyotamani kuoa kwao?
Kwanini walilie wakati akitaka anytime anapata? Unaweza kulilia kitu ambacho ni rahisi kukipata?
Unadhan wangeruhusu wabongo kuwaoa wabongo wangelilia?
Ushasikia watu wanalilia kuoa wazaramo au wasukuma?
 
Hee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…