Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Una proof? Sina data kuthibitisha ila eye test nikiangalia ndugu jamaa na marafiki interacial ya waarabu na weusi ni kubwa kuliko race yoyote ile,

Unaangalia world cup sasa hivi angalia Qatar tu ile muingiliano wake, na Qatar si maarufu sana Nchi kama Oman, Yemen, Saudi etc kuna mixture kubwa sana ya watu weusi.
warab kuoa weus syo weusi kuoa warab
 
Dini uislam au
kama una,ungumzia DINI ya UISLAM hawafanyi ubaguzi wanafata DINI inavyotaka na mwanamke ndo mchaguzi wa mwisho
Lbda useme TAMADUNI zao lakini kidini wako sahihi

Uislam unamtaka mwanaume AOE

Kwa
NASABA ya mwanamke
DINI yake
Uzuri wake
Tabia yake

Kinyume chake pia MWANAMKE anapoletewa POSA ni lazima wazazi wake
wajiridhishe hayo mambo manne pia kwa huyo mletaji POSA kidha wanamshauri bint yao kisha yeye binti ndo uamua kama amempenda NDOA hufungwa

Hvyo kama wao WAZAZI hawajaridhika na
NASABA ya ukoo wako
Eidha DINI yako
Tabia yako mbaya
Na binti pia ajakupenda kwakua sio mnzuri (sio HANDSOME) au sio mweupe kama yeye
Au wazazi wakamuambia huyu sio katika NASABA tunazozitaka sisi hawakosei KIDINI
Hawajakosea KIDINI wako sawa kumshauri BINTI yao Asiolewe na wewe MZARAMO mpiga MADOGORI
Au BINTI kakukataa wewe kwa kuwa wewe mmatumbi lakini ELIMU ya dini unayo hajakosea KIDINI 7bu NASABA yako hawajaipenda

Lakini kama BINTI MWARABU kakupenda wewe hvyohvyo MSUKUMA MSHAMBA hata wakikataa hawawezi kumfanya CHOCHOTE ataolewa tu na wewe na hata wakitoa RADHI haimpati
Kwann kweny din kuwekw vgezo kama ivyo?
 
Pia dini inaruhusu vip mtu kuoa malaya mfano naona watu maarufu hutumia dini na kufungishwa ndoa na malaya mfano yule ustadh mganga wa kienyeji alooa Diva Malinzi
 
Akili za mtu mweusi zipo kuhisi kuonewa tu. Mtu umepauka lakini unataka eti kuoa mtoto wa mtu ambaye hata shida hazijui kisa dini? Mwanamke kwa mujibu wa dini ya Kiislam anahitaji kupewa ulinzi, makazi, chakula na mavazi, Sasa ndugu zetu nyinyi hamtaki kutafuta hela ila mnalazimisha kuoa kwa waarabu eti kisingizio ni dini. Wapo watu wameoa waarabu tena bila shida.
Ukitaka waarabu tu nenda hata Palestine, Syria wapo, ila kama unataka Bakhersa na wa aina yake wakuozeshe wewe kapuku unakosea, Hata kina Kikwete, Kimei, Mwinyi, Makame, Mengi hawawezi kukupa watoto wao kama wewe ni hohehahe
ndio maana hao watoto wa rangi nkiwaotea huwa napita na nyum pia ili kuwakomoa [emoji57]
 
Mwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?
Unatafuta ugomvi na Waarabu weusi wa kwa mtogole wewe...[emoji6]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote
Ilo ilikuwa zuga kwa waafrika kunyonywa viZuri na kilaini kabisa.
Ungejua mwafrika unavyodharaulika na hao jamaa wote wenye ngozi za nguruwe usingedhubutu kusema Ilo nakuambia.
Afrika tunajulikana kuwa ndio si unit ya umasikini,akili ndogo,maradhi,ujinga,wapenda anasa na ngono na miziki yaani tunapenda anasa kuliko kazi ama kuwaza kizazi chetu kitaishi vipi incoming 100/200 yrs to come.yaani sie Ni mbususu kwenda mbele na pia magonjwa yetu uchafu wetu udumavu wa akili Ni wetu yaani Mambo yote mabaya Ni ya kwetu ,tunadharaulika mno nje ungejua Basi. Yaani mfano Black uoe Ile white elite society Ni never. Kuna mkenya walipendana na binti wa Bill Clinton mbona mapema Kijana alirudishwa kwao Kenya ili USA isije ikachafua damu ama DNA.
 
Pia dini inaruhusu vip mtu kuoa malaya mfano naona watu maarufu hutumia dini na kufungishwa ndoa na malaya mfano yule ustadh mganga wa kienyeji alooa Diva Malinzi
Sasa umeshamwita ustaadh mganga wa kienyeji hiyo ni sawa na kusema ustaadh Padri
 
Ilo ilikuwa zuga kwa waafrika kunyonywa viZuri na kilaini kabisa.
Ungejua mwafrika unavyodharaulika na hao jamaa wote wenye ngozi za nguruwe usingedhubutu kusema Ilo nakuambia.
Afrika tunajulikana kuwa ndio si unit ya umasikini,akili ndogo,maradhi,ujinga,wapenda anasa na ngono na miziki yaani tunapenda anasa kuliko kazi ama kuwaza kizazi chetu kitaishi vipi incoming 100/200 yrs to come.yaani sie Ni mbususu kwenda mbele na pia magonjwa yetu uchafu wetu udumavu wa akili Ni wetu yaani Mambo yote mabaya Ni ya kwetu ,tunadharaulika mno nje ungejua Basi. Yaani mfano Black uoe Ile white elite society Ni never. Kuna mkenya walipendana na binti wa Bill Clinton mbona mapema Kijana alirudishwa kwao Kenya ili USA isije ikachafua damu ama DNA.
[emoji16][emoji16]kiuwel hawa jamaa ni sengez.com
 
Hiyo siyo ishu, ishu ni kwa nini wao hawalili na kulazimisha kuoa kwenu kama wewe unavyotamani kuoa kwao?
Kwanini walilie wakati akitaka anytime anapata? Unaweza kulilia kitu ambacho ni rahisi kukipata?
Unadhan wangeruhusu wabongo kuwaoa wabongo wangelilia?
Ushasikia watu wanalilia kuoa wazaramo au wasukuma?
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Hee
 
Back
Top Bottom